Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huyoHivi mrangi huyu nyandu to s yule dogo HAMIDU au
Maana nayeye ashawah kuwa punda Sana na bro angu mmoja sahiz yeye n mteja mazima
Ukiangalia alivyokuwa mpuz,unaenda kmteka mtu na makamera juu..yaani unajiwekea ushahidi...Mama yake na hiyo dgo naye ndio wale wale...anamlazimisha Harmo chizi akane mtoto sio wake...sema yule baunsa wa clouds alisaidia sana kumlinda rapa mathifa.
Hana cha namba 26 wala 27 ni mlamba midomo tu.Jamaa anajiona mwamba kwelikweli na kujisifu
Ubabe asioweza
HahahaJAMAA MJANJA KWA SABABU KAZAA KATUNI NA KAHABA
HamorapaKamteka Harmolapa
Labda hana kizazi.kumbe ndo huyuu anatembea na dem wa Mzee wa kuwachetua Morrison
sema jamaa ni boya mnooo
mwanaume hagombei mtoto kihivyo na kidume mwenziee
suluhishoo ni vipimo tuu ndo angejua wake au si wakeee
ukute kijamaa kimemtafuna kweli huyooo dem mtembea uchiii
Hata huko kwa madiba hawatekani kishamba namna hiyoMambo ya kwa madiba unayaleta bongo
Unamteka mtu raia wa jamuhuri fulani mbele ya kamera je hujui kuwa iyo jamuhuri ina serikali na serikali ina katiba yake ambayo inafatwa na raia wake wooote je unataka kutuma picha gani kwa majirani wa iyo jamuhuri kwamba jamuhuri iyo ina serikali ambayo ni nyoka wa kibisa means haiwezi ata kutetea haki za raia wake
Tena wengi wenye kimbelembele cha kujionesha wamewahi kuwa huko South Ni mateja na mashoga,Siyo kila alieishi SA yupo timamu wengine wavuta unga huko sA
Post haielewekiSerious mtu unahejisifu kuwa umekaa sough Africa kwa miaka kadhaa unaenda kumteka mtu mbele ya kamera na kumlazimisha akili maneno ya uwongo ambayo umeyapanva wewe.
Seripusly mtu mwenye exposurw kama EMBa botion unafanya ujinga na upumbavu mbele ya kamera ya unafanya uvunjifu wa sheria na amani mbele ya kamera yani namqanisha kamera zikiwa on zinakurekodi live
Ivi Emba botion hana washauri wenye akili timamu ama haajui kuwa jamuhuri ya Tanzania ina serikali halali ilioapishwa ili kulinda katiba ya jamuhuri ya Tanzania unafanya upumbavu na uvunjifu wa sheria mbele ya kamera ukitegemea kwamba wewe utakuwa safe kweli
Yaani kijikundi cha vijana wavuta bangi wa kinondoni mjiunde na kwenda kumteka na kumtishia amani na maisha mtanzani mwenzinu tena mbele ya kamera alafu mtegemee serikali kukaa kimya kweli seriouly
Yaani nilikuwaga nadhani Uyo Emba botion ni mjanja kumbe ni bonge la kolo tena nadhanikoko kishinda ata makalo wooooooooooooote duniani nachomaanisha ni Emba botion ni mtu asiye tumia akili kabisa
Unaawezaje kufanya utekaji wa binadamu mwenzio tena mtanzania mwenzio mbele ya kamera namna ile ivi unafikiri kuwa Harmolapa sio mtanzania halisi ama hana haki zoooote ambazo anapaswa kuwa nazo mtanzania
Mwisho Emba botion wewe ni mshamba wa kiwango cha lami yaani wewe una usela mavi ule uswla wa kizamani na sheria za jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni lazims zikuhukumu mzer
Jukumu la kwanza la serikali ya jamuhuri ya muungano waTanzania ni kulinda amani ustawi na haki ya kila mtanzaniakuwa huru kabla ya mahakamakumuhukumu
Kweli kabisa mkuu mtu anajiita msanii angeonyesha busara kama angefuata sheria juu ya mtuhumiwa wake na kumpeleka panapostahili siyo kumteka na kumdhalilisha kijna wa watuHana cha namba 26 wala 27 ni mlamba midomo tu.
Namba 26 keshawahi kuua mtu?
Kuna mengi nyuma ya namba 26 ,,
Yeye anadhani namba unajipa mwenyewe .
Ukimwambiya atoe ishara za hiyo namba 26 akikutana na wenzie ili ajitambulishe pia hujuwi..
Kwa kawaida wahuni wa south wanatambuana kwa namba.
Ni kama rank fulani hivi.
Hivi huyu huwa ni mtu kweli?
WakwanguHuo mdomo wakwako peke yako au umeunganishwa na wa hamorapa