Ushamba, ujinga na usela mavi wa EMBER BOTION

Mama yake na hiyo dgo naye ndio wale wale...anamlazimisha Harmo chizi akane mtoto sio wake...sema yule baunsa wa clouds alisaidia sana kumlinda rapa mathifa.
 
Mama yake na hiyo dgo naye ndio wale wale...anamlazimisha Harmo chizi akane mtoto sio wake...sema yule baunsa wa clouds alisaidia sana kumlinda rapa mathifa.
Ukiangalia alivyokuwa mpuz,unaenda kmteka mtu na makamera juu..yaani unajiwekea ushahidi...
Misifa au ndy kutaka aonekane mhuni sanaaa

Ova
 
Nyie wanawake leo mlipaswa mjiheshimu siku ya Wamama. Bado mnagombania wanaume mtaani mnakuja kusemana huku utadhani nasi tunawafahamu madanga yenu. Mna bore sana
 
Jamaa anajiona mwamba kwelikweli na kujisifu
Ubabe asioweza
Hana cha namba 26 wala 27 ni mlamba midomo tu.

Namba 26 keshawahi kuua mtu?

Kuna mengi nyuma ya namba 26 ,,

Yeye anadhani namba unajipa mwenyewe .

Ukimwambiya atoe ishara za hiyo namba 26 akikutana na wenzie ili ajitambulishe pia hujuwi..

Kwa kawaida wahuni wa south wanatambuana kwa namba.
Ni kama rank fulani hivi.
 
Labda hana kizazi.

Sasa kusingiziwa mtoto kaona kalamba dume
 
Yan hawa wasanii wasanii wapumbavu sana mbona huwa hawajeti kwa masela kama sisi ? pumbavu kabisa mwache akacheezee mashine ya mnyampala
 

Nini tofauti kati Jamhuri na Serikali?
 
Post haieleweki
 
Kweli kabisa mkuu mtu anajiita msanii angeonyesha busara kama angefuata sheria juu ya mtuhumiwa wake na kumpeleka panapostahili siyo kumteka na kumdhalilisha kijna wa watu
Lile jamaa la hovyo
 
Watoto wa ufipa wengi wameharibikiwa tulio tuliza vichwa ni wachache maana ule mtaa kwa kipindi hiko hakukuwa wanaishi watu wa kawaida baada nyumba hukosi wadangaji au muuza ngada tapeli jambazi au mateja ndio mtaa South Africa ya bongo kuja hadi mtaa wa Togo kuelekea stendi ya magari ya mwananyamala posta stesheni mitaa hatari sana kwa malezi ya watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…