Ushamba, ujinga na usela mavi wa EMBER BOTION

Ushamba, ujinga na usela mavi wa EMBER BOTION

Unamteka mtu raia wa jamuhuri fulani mbele ya kamera je hujui kuwa iyo jamuhuri ina serikali na serikali ina katiba yake ambayo inafatwa na raia wake wooote je unataka kutuma picha gani kwa majirani wa iyo jamuhuri kwamba jamuhuri iyo ina serikali ambayo ni nyoka wa kibisa means haiwezi ata kutetea haki za raia wake
Kwani mgomvi hapo ni Nani ? Maana harmo ndio mchokozi sasa wamuachie ?
 
Hivi Amber Luli useme naye ni mke kabisa[emoji23][emoji23]
Anaweza kuwa wife material lakini kwa mwanaume huwezi kumwekea dhamana cha msingi jamaa angeenda tu kupima DNA basi hayo mengine uyo emba kajitakia tu maujinga ujinga
 
Huyu dogo usela,unyamwezi au
Ila ninachojua alivyolelewa tu lbda
Ila ana sifa za kijinga alafu yule mtu
Mrefu ndiyo aliwapa jeuri
Mimi alipotoka ndani nlijua atajirekebisha
Kumbe ndiyo kwanza bado

Ova
Bado ana usela mavi, mkino huyu hawezi kubadilika wenzake Sasa hivi tunakomaa na life mambo yanaenda . Yeye kakalia usema mavi
 
Serious mtu unahejisifu kuwa umekaa sough Africa kwa miaka kadhaa unaenda kumteka mtu mbele ya kamera na kumlazimisha akili maneno ya uwongo ambayo umeyapanva wewe.

Seripusly mtu mwenye exposurw kama EMBa botion unafanya ujinga na upumbavu mbele ya kamera ya unafanya uvunjifu wa sheria na amani mbele ya kamera yani namqanisha kamera zikiwa on zinakurekodi live

Ivi Emba botion hana washauri wenye akili timamu ama haajui kuwa jamuhuri ya Tanzania ina serikali halali ilioapishwa ili kulinda katiba ya jamuhuri ya Tanzania unafanya upumbavu na uvunjifu wa sheria mbele ya kamera ukitegemea kwamba wewe utakuwa safe kweli

Yaani kijikundi cha vijana wavuta bangi wa kinondoni mjiunde na kwenda kumteka na kumtishia amani na maisha mtanzani mwenzinu tena mbele ya kamera alafu mtegemee serikali kukaa kimya kweli seriouly

Yaani nilikuwaga nadhani Uyo Emba botion ni mjanja kumbe ni bonge la kolo tena nadhanikoko kishinda ata makalo wooooooooooooote duniani nachomaanisha ni Emba botion ni mtu asiye tumia akili kabisa

Unaawezaje kufanya utekaji wa binadamu mwenzio tena mtanzania mwenzio mbele ya kamera namna ile ivi unafikiri kuwa Harmolapa sio mtanzania halisi ama hana haki zoooote ambazo anapaswa kuwa nazo mtanzania


Mwisho Emba botion wewe ni mshamba wa kiwango cha lami yaani wewe una usela mavi ule uswla wa kizamani na sheria za jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni lazims zikuhukumu mzer

Jukumu la kwanza la serikali ya jamuhuri ya muungano waTanzania ni kulinda amani ustawi na haki ya kila mtanzaniakuwa huru kabla ya mahakamakumuhukumu
kamteka nani?
 
kumbe ndo huyuu anatembea na dem wa Mzee wa kuwachetua Morrison
sema jamaa ni boya mnooo
mwanaume hagombei mtoto kihivyo na kidume mwenziee
suluhishoo ni vipimo tuu ndo angejua wake au si wakeee
ukute kijamaa kimemtafuna kweli huyooo dem mtembea uchiii
 
Back
Top Bottom