Ushamba wa msukuma upo wapi?

Ushamba wa msukuma upo wapi?

Nipo na nyanda Maghembe na mkewe Minza na watoto wao Nyanzara na Masanja, karibu na siti yangu tunaelekea Mwanza kutokea Bariadi. Ni full raha na ukarimu napewa mahindi ya kuchemsha kisha nakaribishwa michembe toka mkobani na nimenunuliwa mayai ya kuchemsha hapa Dutwa na Magu nimenunuliwa miwa nitafune.

Hongereni watani zangu kwa kula kwenye safari na kubishia makondakta.
 
Nipo na nyanda Maghembe na mkewe Minza na watoto wao Nyanzara na Masanja, karibu na siti yangu tunaelekea Mwanza kutokea Bariadi. Ni full raha na ukarimu napewa mahindi ya kuchemsha kisha nakaribishwa michembe toka mkobani na nimenunuliwa mayai ya kuchemsha hapa Dutwa na Magu nimenunuliwa miwa nitafune.

Hongereni watani zangu kwa kula kwenye safari na kubishia makondakta.
Hahahah Kama ni hivyo kweli wasukuma wachangamfu
 
.
IMG_20210712_222042.jpg
 
Back
Top Bottom