Ushauri: Alinikataa, sasa ana mtoto anadai ananipenda anataka turudiane!

Ushauri: Alinikataa, sasa ana mtoto anadai ananipenda anataka turudiane!

Wewe ni chaguo lake la mwisho baada ya kufeli kote; kama upo tayari, endelea naye.

Note: Siku machaguo yake ya mwanzo yakitaka kupasha yatapewa yote.
Halafu akikaa sawa baada ya jamaa kumuinua kiuchumi atapigwa chini tena
 
Songa mbele mkuu, kwanini MTU akufanye chaguo la pili baada ya mambo yake kufeli huko? Huyo anatafuta mtu wa kumlelea mtoto wake. Pisi kibao kitaa!
Piga chini, mwambie hata wewe unampenda ila kwa sasa una mtu. Usionee huruma mwanamke.
 
Mwambie akale alikopeleka mboga.
Huyo hajakupenda bali njaa na kutishiwa soko ndio sababu ya kutaka muwe wote.
Upendo hauko hivyo, ukiishi na mtu asiyekupenda mwisho ni kilio
Pia anaweza akampenda zaidi na kumuheshimu milele kwani keahajifunza makosa yake
 
Mwambie akale alikopeleka mboga.
Huyo hajakupenda bali njaa na kutishiwa soko ndio sababu ya kutaka muwe wote.
Upendo hauko hivyo, ukiishi na mtu asiyekupenda mwisho ni kilio
sio kwamba ana njaa mkuu maana ameajiriwa NGO flani yupo vizuri wastani ila hafiki level zangu mkuu
 
Muoe arudi Kwa ex wake uje hapa kulia lia!


Single Maza haolewi labda uone kaburi la ex wake na uoneshwe picha za mazishi ikiwezekana kama una nguvu fukueni kaburi kapime DNA za mifupa kama kweli ni baba wa mtoto.


Kuoa single Maza na ex wake ni mzima ni sawa na kuoa bomu siku yoyote utapigwa Chuma.


Ni hayo tu
 
Unahangaika kulea mtoto wa mwanaume mwenzio akikua anaanza kumtafuta baba yake na kuimba nani kama mama
 
Japo utakuwa umeokoa jahazi lakini kwa mwanamke atazidi kukuona wewe ni mjinga Hawa viumbe wakiwa mabinti wanachagua sana wanaume wakutoka nao
 
Cc Mzee wa kupambania aione kwenye jalada.
●Kuoa single maza ni kujipotezea heshima. Familia, watu wa ukoo, marafiki lazima wamshushe thamani. Jamii pia lazima imuone fara mabinti kibao hawajazaa wanasubiri waume wa kuwaoa yeye anataka afanye maisha na malaya aliyezalishwa

●Anajishusha thamani sana. Malaya alimkataa wakati anajitafuta halafu malaya kawa broke na damaged na umri umeenda ndio afanye naye maisha. Hii ni dharau kubwa sana

●Kujipa majukumu yasiyo yake. Anaanza maisha ya ndoa kwa kulea bao la mwanaume mwenzake badala ya kumlea mtoto wake, ni upumbavu wa hali ya juu

Mungu mwenyewe alishasema mwanaume aanzishe familia yake yeye anapingana naye anaenda kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzake

He'll learn the hard way
 
Fanya vile moyo wako na nafsi yako inaridhika

BTW; baadhi yao wakishazaa kama hivo wanakuwa na maQQu tamu mno!
 
Back
Top Bottom