FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Mmh, sio 3 kweli?Akikupiga sana 5M
Ndomaana nikakwambia akikupiga sana. Hata 3 mnaweza kufanya biashara resale value ya hizo gari huwa ni ndogo sanaMmh, sio 3 kweli?
Je, inapatikana madukani au mpaka kuagiza njeInterior imechakaa sana. Engine V6.
Alipe kiasi gani kuinunua?
Duuh, kwahiyo 2 au 😅😅Hata 3M ni hasara unatupa hela yako hapo kama unabisha jaribu.
Sawa unauziwa box tupu ndani hakuna kituAchana na hiyo gari usinunue hata akisema laki 5
Murano inafanana na discovery 3-4 za mkononi.Kununua Murano inayosumbua
Sawa ya kuijaribu sumu kwa kuilamba[emoji4]
Hizi gari hazina thamani kwa kiwango hichi?Duuh, kwahiyo 2 au 😅😅
Nadhani ukiweka engine yake ukaitunza inakuwa poa zaidi kuliko kubadili aina ya engine.Hivi hizi huwezi kubadili Engine na ikawa poa??
Hii mbona ni nyingiAkikupiga sana 5M