[emoji849][emoji849][emoji16][emoji16][emoji1787]Kwanini amuache sasa kisa kutmba kina Marry??? Hiyo sio sababu ya kumuacha mwanaume yani namshauri akomaeeee hakuna kumuacha
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji122][emoji122]Tumpe na taji kabisa[emoji72][emoji72][emoji72]
Njoo PMWit nipasie na mimi kwakweli [emoji16]
Mleta mada keshapigwa tukio la kibuti tangu jana ninauhakika[emoji817].
Weka hapa.. mod wako vacay ππNjoo PM
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]hunipendiWeka hapa.. mod wako vacay [emoji23][emoji23]
[emoji73][emoji73][emoji73][emoji73][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji122][emoji122]
Bora wa mtaani kuliko wa humu ndani[emoji849][emoji849][emoji16][emoji16][emoji1787]
Uke wenza we unauweza? Tena wa jf? Haahaaa
Jitose chaap mwendo wa chopper π[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]hunipendi
Wa mtaani ndo balaa.... Sababu unajua kabisa fulani tunachangia alolo.... Mkipishana naye karoho kanataka kutoka[emoji23][emoji23][emoji23]Bora wa mtaani kuliko wa humu ndani
ππ sasa wa humu si mtapishana pia kwa threads? Na comments za vijembe zitakuhusu π€£π€£Wa mtaani ndo balaa.... Sababu unajua kabisa fulani tunachangia alolo.... Mkipishana naye karoho kanataka kutoka[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha hakuna usalama...Bora tuchukue wa mikoani[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Wa mtaani ndo balaa.... Sababu unajua kabisa fulani tunachangia alolo.... Mkipishana naye karoho kanataka kutoka[emoji23][emoji23][emoji23]
Bora, humu unaweza kubadili hata username.[emoji23][emoji23] sasa wa humu si mtapishana pia kwa threads? Na comments za vijembe zitakuhusu [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha hakuna usalama...Bora tuchukue wa mikoani[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
Tunaimport kabisa
πππ najaribu kupata pichaBora, humu unaweza kubadili hata username.
Mtaani huwezi badilisha kitu, tena ukute mshajenga? Alafu unasikia mama fulani anapita na mumeo, hiyo torture ni [emoji91]
Nimechoka kabisa yaniHahahaha ulivyoandika hiyo lol dah
Hehehehe...kabisa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ama mjiexport nyie.
So bora humu, bibi jf wakae chini na jamaa wayajenge, yaliyopita si ndwele wagange yajayo.[emoji23][emoji23][emoji23] najaribu kupata picha
Na mimi naomba kuja PM jamani maana sielewiNjoo PM
Mungu amtie nguvu bibi JF, inaumiza Sana π€£π€£So bora humu, bibi jf wakae chini na jamaa wayajenge, yaliyopita si ndwele wagange yajayo.
Jamani ulivyoomba π€£π€£