Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Kwani ukisema ni wewe kuna ubaya gani?
Weka wazi ili baraza la wazee wa jf tukae kikao cha dharura kumuweka sawa huyo jamaa yetu.
Jf ni reputable platform anatakikana aendane nayo, kama mmekutana humu jf msituangushe bwana.
View attachment 1998461
Alaaaah!
Kumbe mleta mada ni mwanadamu mwenye jinsi ya kike???
Ndio maana nilipouona huu uzi jana sikutaka poteza muda kutoa ushauri...
Wapambane na hali zao, utamu wapate wao, ushauri tutoe sisi...eboh!