Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Ah mambo mengine kushauri ni kaz sana,yaache yawe hivyohivyo
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ngoja nilale zikitumwa fanya kusevu for further reference [emoji23][emoji23]! Ila nahisi soon muvi jingine litakuja humu nahisi tu.
Wameanza wenyewe kwa wenyewe sasa mimi yangu macho tu!!!! Have a good night guys!!
[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
 
Seriously mpaka sasa bilabila??? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Mary bonge la mwanamke ana mwili unashawishi balaaaa!! Ana hilo trako linaonekana lainiii afu limenonaaaa[emoji12][emoji12]
Muhanga nambari wani [emoji23][emoji23]hebi fanya connection basi
 
Mambo zenu wana jf,poleni kwa jua na karibuni pepsi baridi tupunguze machungu ya dunia,nisiwachoshe kwa maneno mengi ni hivi.

Bwana amepata Bibi hapahapa mtandaoni Jf na maisha yameendelea kwa mahaba na bashasha kemkem chaajabu bibie kagundua Bwanajf ana account nyingine tofauti na waliyopatiana na anaendeleza kuwalamba alolo mabinti wa jf kama kawaida.

Nimeombwa ushauri na me nikaamua kulileta humu labda naweza nikapata chakuongezea kwenye kumshauri

Note,
Bibi jf ni mke mtarajiwa + mjamzito wa Bwana Jf.View attachment 1998429
Kuna watu wanatongozana humu na ID hizi fake?wanakubaliana?na wanakulana?

Humu napo wajinga wengi japo watumiaji huu mtandao wanajiita wenye akili na maarifa...

95% ya watu wanaotumia huu mtandao kwa ID fake sio watu wa kuwaamini kwenye kila jambo kabisa si KE wala ME.
 
eti atawafanya kitu kibaya daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mtu wa kutishia tishia huwa ananiboa sana.
mpaka anakuja kulia lia JF ina maana hadi hapo keshafeli hiyo Battle
Mimi kutishiwa ndio huwa siogopi kabisa tena kwa nature ya Hawa wanaume wetu teeina
 
Nakutafuta pm sikupati..hebu angalia pm yako latest news kwanza au ina jumbe nyingi???
Afu zamu yako mi nalala ukeshe hapa ids zikitumwa fanya kusevu kesho asubuhi unikonect!
Ahahaa, acha niingie lindo sasa[emoji23][emoji23],we kapumzike
 
Back
Top Bottom