Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shooo kilichoendelea itv ni nini?Ukuje umfahamu shemeji
Ngoja nilale zikitumwa fanya kusevu for further reference [emoji23][emoji23]! Ila nahisi soon muvi jingine litakuja humu nahisi tu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hiyo connection vepeeWenzio tunapambana huku we upo kwenye uzi wa Sefika utajua hujui[emoji51][emoji51][emoji51][emoji41][emoji41]
Kizuri kula ndugu yako bhana,shogaa ajue duniani cha peke ako ni kaburi tu[emoji23][emoji23]Ukimuona huyo H.B lazima utamanii kuwa nae so naogopa kumuongezea wake wenza shoga angu[emoji51]
Muhanga nambari wani [emoji23][emoji23]hebi fanya connection basiSeriously mpaka sasa bilabila??? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Mary bonge la mwanamke ana mwili unashawishi balaaaa!! Ana hilo trako linaonekana lainiii afu limenonaaaa[emoji12][emoji12]
Kuna watu wanatongozana humu na ID hizi fake?wanakubaliana?na wanakulana?Mambo zenu wana jf,poleni kwa jua na karibuni pepsi baridi tupunguze machungu ya dunia,nisiwachoshe kwa maneno mengi ni hivi.
Bwana amepata Bibi hapahapa mtandaoni Jf na maisha yameendelea kwa mahaba na bashasha kemkem chaajabu bibie kagundua Bwanajf ana account nyingine tofauti na waliyopatiana na anaendeleza kuwalamba alolo mabinti wa jf kama kawaida.
Nimeombwa ushauri na me nikaamua kulileta humu labda naweza nikapata chakuongezea kwenye kumshauri
Note,
Bibi jf ni mke mtarajiwa + mjamzito wa Bwana Jf.View attachment 1998429
Nakutafuta pm sikupati..hebu angalia pm yako latest news kwanza au ina jumbe nyingi???Muhanga nambari wani [emoji23][emoji23]hebi fanya connection basi
Mimi kutishiwa ndio huwa siogopi kabisa tena kwa nature ya Hawa wanaume wetu teeinaeti atawafanya kitu kibaya daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mtu wa kutishia tishia huwa ananiboa sana.
mpaka anakuja kulia lia JF ina maana hadi hapo keshafeli hiyo Battle
Yaan hata kama umenichukulia mume sio kwa kujificha huko...plz let us get in touch bhana mm navyokupendaga nitakusamehe tu hata kama tuhuma ni za kweli😜😄😄😄😄[emoji28] Umeona eeh!
Nimekuham sana mpendwa
Umepitwa dearHiyo connection vepee
Dah nitumie pm aisee mambo yalikuwa mengi nimesikitika sana wallahUmepitwa dear
Ahahaa, acha niingie lindo sasa[emoji23][emoji23],we kapumzikeNakutafuta pm sikupati..hebu angalia pm yako latest news kwanza au ina jumbe nyingi???
Afu zamu yako mi nalala ukeshe hapa ids zikitumwa fanya kusevu kesho asubuhi unikonect!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani watu ni matapeli, mtu anaweza kukutapeli pesa akakutapeli hadi uchi...
Upo naomba konekisheni pm kwanguHuu Uzi umefungwa au??
😂😂😂😂😀😀😀kwani shoga angu hii mada ni yako au ya mtu mwingine kama ulivyoandika kwenye uzi wako 😀😀😀
Hahahaha ulivyoandika hiyo lol dah
Nenda PM fastaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]