Ushauri: Amejifungua lakini hataki niwaone watoto wangu. Nimshtaki?

Ushauri: Amejifungua lakini hataki niwaone watoto wangu. Nimshtaki?

Kinjekitile Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
566
Reaction score
1,583
Wakuu Salaam!!!!!

Nilikuwa nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hivi,tuli-date na mwisho wa siku akawa amenasa ujauzito na akaniambia kuwa Mimi ndio Muhusika,basi nikakubali japo nilikuwa nina mashaka sana

Kuna muda niliambiwa kuwa yuko kwenye mahusiano na jamaa yangu na wakati bado ana ujauzito ikanibidi nimpige chini na ata kuhudumia ujauzito nikaacha kabisa

Baadae tukarudiana ila kwa masharti ya kutokufanya tena mapenzi akakubali,wiki Jana akawa amepost picha WhatsApp kuwa amejifungua mapacha na akanitumia picha zao kabisa

Nilivyo waangalia nikaona kabisa wanafanana na watu wa nyumbani kwetu kwa kiasi kikubwa sana

Ila sasa jambo baya na la kushangaza hataki niende kwao nikawaone watoto kwa kisingizio kwamba Baba yake ana hasira na mimi na hataki ata kuniona………Kutoka ninapoishi hadi kwao sio mbali sana coz tunaishi hapa hapa Dar ila tu hataki nipajue anapokaa

Juzi nilivyo-force sana kuwa nataka niwaone hao mapacha ata niwape majina ya nyumban kwetu akasema eti Baba yake ameshawapa majina kwa sababu eti wakat akiwa mjamzito nilikuwa siihudumii sasa itakuwaje niwape majina!!! Imeniuma sana hili jamani

Sasa naombeni ushauri nitumie njia gani ili niweze kuwapa majina hao watoto au kuwatazama tu ili roho yangu isuuzike!??

Msaada Tafadhali
 
"watoto wanafanana na watu wa nyumbani kwetu kwa kiasi kikubwa sana"



😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
download (3).jpeg
 
Wakuu Salaam!!!!!

Nilikuwa nipo kwenye mahusiano na binti mmoja hivi,tuli-date na mwisho wa siku akawa amenasa ujauzito na akaniambia kuwa Mimi ndio Muhusika,basi nikakubali japo nilikuwa nina mashaka sana

Kuna muda niliambiwa kuwa analiwa na jamaa yangu na wakati bado ana ujauzito ikanibidi nimpige chini na ata kuhudumia ujauzito nikaacha kabisa

Baadae tukarudiana ila kwa masharti ya kutokufanya tena mapenzi akakubali,wiki Jana akawa amepost picha WhatsApp kuwa amejifungua mapacha na akanitumia picha zao kabisa

Nilivyo waangalia nikaona kabisa wanafanana na watu wa nyumbani kwetu kwa kiasi kikubwa sana

Ila sasa jambo baya na la kushangaza hataki niende kwao nikawaone watoto kwa kisingizio kwamba Baba yake ana hasira na mimi na hataki ata kuniona………Kutoka ninapoishi hadi kwao sio mbali sana coz tunaishi hapa hapa Dar ila tu hataki nipajue anapokaa

Juzi nilivyo-force sana kuwa nataka niwaone hao mapacha ata niwape majina ya nyumban kwetu akasema eti Baba yake ameshawapa majina kwa sababu eti wakat akiwa mjamzito nilikuwa siihudumii sasa itakuwaje niwape majina!!! Imeniuma sana hili jamani

Sasa naombeni ushauri nitumie njia gani ili niweze kuwapa majina hao watoto au kuwatazama tu ili roho yangu isuuzike!??

Msaada Tafadhal
Kwapime DNA kuna baadhi ya wanawake ni makatili angalia usiingie kichwa kichwa
 
Wewe huyo mwanamke keshakuona akili yako ndogo.. Kwa hiyo unacheza ngoma yake anavyotaka yeye. Kama watoto ni wako kuna haja gani kugombania.. !!!

Hapo ndiyo mwanamke anakuona huna akili.. Wewe ulipaswa kupiga kimya na kumpotezea... Utapata majibu ya kustajabisha..

Huo unafanya ni utoto. Watu tushahudumia mimba miezi tisa ile mtoto kazaliwa tunaambiwa hatu tambuliki na hatuna hata haki ya kutoa jina.

Nika komaa nikasema damu ya mtu haipotei na hakuna baba wawili baba ni mmojaa tu duniani. Kama sistahili Mungu atanilipia..

Kilichofuata ni kutafuta mwanamke mwingine nika jisahaulisha. Ilipita miezi mitatu tu nilipigiwa simu kuombwa msamaha.
 
Tulia kikubwa ulishajirudi acha alee kama ni wako ipo siku atawaleta, au washirikishe wazee wako kama watoto ni wenu hayo mambo yanaongeleka na kuisha ila kwa kuwatumia wazee wq busara. Ukiona huyo mwanamke wako anakwepesha hilo jua hao sio wanao.
 
"watoto wanafanana na watu wa nyumbani kwetu kwa kiasi kikubwa sana"



😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂View attachment 3237734
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom