Ushauri: Anakataa kunipa penzi licha ya kuwa tunaishi pamoja, tutafika kweli?

Ushauri: Anakataa kunipa penzi licha ya kuwa tunaishi pamoja, tutafika kweli?

Paul dybala

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
524
Reaction score
2,097
Wakuu,

Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.

Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake inakuwa vita hatari, wanaume nahisi mnanielewa.

Yaani nimechoka hatari na huyu mwanamke kwa sababu kuna siku nilijribu kutaka kutumia nguvu ndio akanimbia ataniaachia nimbake ila atakachonifanyia sitokuja kusahau maisha yangu yote. Yaani wakuu huyu manzi hana huruma hata kidogo kwenye mambo mengine tunaishi vizuri tu.

Hoja zake sasa;

1. Ananiambia kuwa mimi naamini papuchi ndio mapenzi kitu ambacho sio kweli kwa sabb nimejikaza wiki mbili hadi naona kazi haziendi.

2. Ananiambia akili yangu nimeiweka kuwaza ngono sana.

3. Anataka nimpe muda wa kutosha sana itafika wakati atanipa yeye mwenyewe na wakati toka tumeanza kuishi tunamaliza week saivi na kila siku nahesabu tu mabati, halafu yeye ndio kwanza mzungu wa nne.

4. Anasema yeye kaniona mimi mtu mzima naweza kuwa tofauti na vivulana vya miaka 20 kwa hiyo napaswa kuwa msikivu, yeye ana 25 mimi nina 32 hana mtoto.

5. Anasema kuna vitu ananiangalia kwanza ndio atanipa papuchi, yaani sijawahi kunyanyaswa na demu kisa papuchi kwa kiasi hichi, namjali, namlisha namvalisha wakuu nakosea wapi?

Je, huyu kuna sehemu tutafika? Ila ni demu anakibuli sana hilo nalijua sio mtu wa kuchekacheka hata kidogo; anapenda sana nifanye kazi, hapendi uchafu nikiingia ndani inbidi nitembee kama napaa.

Shida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?
 
Wakuu,

Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.

Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake inakuwa vita hatari, wanaume nahisi mnanielewa.

Yaani nimechoka hatari na huyu mwanamke kwa sababu kuna siku nilijribu kutaka kutumia nguvu ndio akanimbia ataniaachia nimbake ila atakachonifanyia sitokuja kusahau maisha yangu yote. Yaani wakuu huyu manzi hana huruma hata kidogo kwenye mambo mengine tunaishi vizuri tu.

Hoja zake sasa;

1. Ananiambia kuwa mimi naamini papuchi ndio mapenzi kitu ambacho sio kweli kwa sabb nimejikaza wiki mbili hadi naona kazi haziendi.

2. Ananiambia akili yangu nimeiweka kuwaza ngono sana.

3. Anataka nimpe muda wa kutosha sana itafika wakati atanipa yeye mwenyewe na wakati toka tumeanza kuishi tunamaliza week saivi na kila siku nahesabu tu mabati, halafu yeye ndio kwanza mzungu wa nne.

4. Anasema yeye kaniona mimi mtu mzima naweza kuwa tofauti na vivulana vya miaka 20 kwa hiyo napaswa kuwa msikivu, yeye ana 25 mimi nina 32 hana mtoto.

5. Anasema kuna vitu ananiangalia kwanza ndio atanipa papuchi, yaani sijawahi kunyanyaswa na demu kisa papuchi kwa kiasi hichi, namjali, namlisha namvalisha wakuu nakosea wapi?

Je, huyu kuna sehemu tutafika? Ila ni demu anakibuli sana hilo nalijua sio mtu wa kuchekacheka hata kidogo; anapenda sana nifanye kazi, hapendi uchafu nikiingia ndani inbidi nitembee kama napaa.

Shida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?
MKuu acha malalamiko

Mbona papuchi zinakodishwa mkuu
 
Mkuu ni kupe pole Sana, kwa Hali hiyo unayo pitia. Lakini nijuze jambo moja, hakuna kiumbe dhaifu kama mwanamke na Tena mwanamke ni mwepesi Sana katika mapenzi Wala hutumii nguvu tumia akili tu na relax.

Wewe binafsi jiangalie unafeli wapi, ikijumuisha usafi wako kimwili na kiroho, toa huduma kwa wakati, ukipewa show fanya kweli kwa ustadi na ufundi yaani mpe Raha kimapenzi Hilo linaweza kuchangia kukunyima penzi kama haumridhishi mpenzi wako. Kila la kheri mkuu.
 
Mkuu ni kupe pole Sana, kwa Hali hiyo unayo pitia. Lakini nijuze jambo moja, hakuna kiumbe dhaifu kama mwanamke na Tena mwanamke ni mwepesi Sana katika mapenzi Wala hutumii nguvu tumia akili tu na relax.

Wewe binafsi jiangalie unafeli wapi, ikijumuisha usafi wako kimwili na kiroho, toa huduma kwa wakati, ukipewa show fanya kweli kwa ustadi na ufundi yaani mpe Raha kimapenzi Hilo linaweza kuchangia kukunyima penzi kama haumridhishi mpenzi wako. Kila la kheri mkuu.
Mkuu nachelea kukwambia kuwa huwajui vizuri hao viumbe
 
Wakuu,

Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.

Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake inakuwa vita hatari, wanaume nahisi mnanielewa.

Yaani nimechoka hatari na huyu mwanamke kwa sababu kuna siku nilijribu kutaka kutumia nguvu ndio akanimbia ataniaachia nimbake ila atakachonifanyia sitokuja kusahau maisha yangu yote. Yaani wakuu huyu manzi hana huruma hata kidogo kwenye mambo mengine tunaishi vizuri tu.

Hoja zake sasa;

1. Ananiambia kuwa mimi naamini papuchi ndio mapenzi kitu ambacho sio kweli kwa sabb nimejikaza wiki mbili hadi naona kazi haziendi.

2. Ananiambia akili yangu nimeiweka kuwaza ngono sana.

3. Anataka nimpe muda wa kutosha sana itafika wakati atanipa yeye mwenyewe na wakati toka tumeanza kuishi tunamaliza week saivi na kila siku nahesabu tu mabati, halafu yeye ndio kwanza mzungu wa nne.

4. Anasema yeye kaniona mimi mtu mzima naweza kuwa tofauti na vivulana vya miaka 20 kwa hiyo napaswa kuwa msikivu, yeye ana 25 mimi nina 32 hana mtoto.

5. Anasema kuna vitu ananiangalia kwanza ndio atanipa papuchi, yaani sijawahi kunyanyaswa na demu kisa papuchi kwa kiasi hichi, namjali, namlisha namvalisha wakuu nakosea wapi?

Je, huyu kuna sehemu tutafika? Ila ni demu anakibuli sana hilo nalijua sio mtu wa kuchekacheka hata kidogo; anapenda sana nifanye kazi, hapendi uchafu nikiingia ndani inbidi nitembee kama napaa.

Shida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?
Fanya kitu hvi Mkuu.
Nina imani kuwa wewe ni rijali bin Khalfan kabsa, sasa tafuta pisi moja uilete home halafu vunga kama unaitaka huitaki. Halafu tulizana ipo siku akikuomba mechi wewe pambania kombe mpaka achemshe maji kukikanda kipochi manyoya. Kwa sasa kula karanga mbichi na nazi tu! Zikifika dakika za jioni! Atajua hajui!
 
Wakuu,

Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.

Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake inakuwa vita hatari, wanaume nahisi mnanielewa.

Yaani nimechoka hatari na huyu mwanamke kwa sababu kuna siku nilijribu kutaka kutumia nguvu ndio akanimbia ataniaachia nimbake ila atakachonifanyia sitokuja kusahau maisha yangu yote. Yaani wakuu huyu manzi hana huruma hata kidogo kwenye mambo mengine tunaishi vizuri tu.

Hoja zake sasa;

1. Ananiambia kuwa mimi naamini papuchi ndio mapenzi kitu ambacho sio kweli kwa sabb nimejikaza wiki mbili hadi naona kazi haziendi.

2. Ananiambia akili yangu nimeiweka kuwaza ngono sana.

3. Anataka nimpe muda wa kutosha sana itafika wakati atanipa yeye mwenyewe na wakati toka tumeanza kuishi tunamaliza week saivi na kila siku nahesabu tu mabati, halafu yeye ndio kwanza mzungu wa nne.

4. Anasema yeye kaniona mimi mtu mzima naweza kuwa tofauti na vivulana vya miaka 20 kwa hiyo napaswa kuwa msikivu, yeye ana 25 mimi nina 32 hana mtoto.

5. Anasema kuna vitu ananiangalia kwanza ndio atanipa papuchi, yaani sijawahi kunyanyaswa na demu kisa papuchi kwa kiasi hichi, namjali, namlisha namvalisha wakuu nakosea wapi?

Je, huyu kuna sehemu tutafika? Ila ni demu anakibuli sana hilo nalijua sio mtu wa kuchekacheka hata kidogo; anapenda sana nifanye kazi, hapendi uchafu nikiingia ndani inbidi nitembee kama napaa.

Shida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?
pole sana kaka ila ni wazi kwamba yuko na wewe kwasababu unamuhudumia na kumtimizia mahitaji yake ila hakupendi
 
Back
Top Bottom