Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Ila manzi kajipata maana hakuna raha anayoiona mwanamke mbabe kama kupata mwanaume wa kumburuza 😁😁
Halafu uzuri zaidi umemzidi akili, umri, maisha hadi dhambi Ila dhiki ya ngono tu ndio inakutesa hivyo 😁😁.. Mpe hongera zake maana kakuzidi maturity mkuu
Ngoja nikanywe chai
Halafu uzuri zaidi umemzidi akili, umri, maisha hadi dhambi Ila dhiki ya ngono tu ndio inakutesa hivyo 😁😁.. Mpe hongera zake maana kakuzidi maturity mkuu
Ngoja nikanywe chai