Ushauri: Anakataa kunipa penzi licha ya kuwa tunaishi pamoja, tutafika kweli?

Ushauri: Anakataa kunipa penzi licha ya kuwa tunaishi pamoja, tutafika kweli?

Ukimpelekea dera la kisomali, chumbani mbali, kama sebuleni hakuna wageni, unapewa penzi hapo hapo, tena anaikamata anaitia mdomoni na kujichomeka mwenyewe... Hawa you know, you know.. Wanataka kutuletea mapenzi ya kina yna na angelo, mapenzi ya kihindi na kikorea😂

Ukijichanganya kumpelekea infinix mama yangu wee, umemuua utapewa mguu bara mguu kisiwani, pozi la YOGA, tena bora umnunulie umpelekee nyumbani, ukienda nae dukani anaweza kutaka kukupea dukani. 🤣😂😂
Hawana mambo mengi hawa! Ila wakina Queen Lovely sijui nani! Ni majanga! Kula Chuma hicho Ashura!
 
Watoto wadogo mnatia aibu

Unaomba papuchi?

Huwa natoa iishara tu siombi mzigo kama Fala ndio maana unakataliwa

Ushauri: Vua nguo ujaribu kula mzigo saa nane usiku akizingua timua aende kwao usiku huo wa manane.
Kama hapo ana ndugu karibu mpeleke hotel ya mbali na kitaa akizingua fukuza akaumwe na mbu.
 
Acha ujinga wewe,unadhani kwa upopoma huo utaweza kuhandle familia,hilo suala sio la kuja kulia lia humu mwanaume wewe.
Cha kufanya hapo kesho mwambie aondoke huyo ni malaya tu sema hakutaki.Mwanamke unalalaje na mwanaume bila kumpa tunda?fukuza akalale kwao
 
Kwani ana Papuchi ya dhahabu mpaka umgande yeye tu?

Wewe ni Mwanaume dhaifu sana,fukuza hiyo Mbuzi ikajitafutie chakula njiani huko,

Hapo umegeuzwa kua ni mtoa huduma tu,anaogopa ukisha mla Papuchi utakua humuhitaji tena,ndio maana anakukazia,

Kua Mwanaume mwenye maamuzi,hiyo ni himaya yako,na wewe ndio mtawala wa hiyo himaya,na unahudumia,

Namalizia kwa kusema "Fukuza hiyo Mbuzi"
 
Njia nzuri ya yeye kukupa unyumba ni kumtawala kiakili mwanamke wako. Mkatalie mambo mengi anayohitaji na akija juu kwa kukukosea heshima muoneshe msimamo kuwa upo tayari kuachana naye. Akianza kukubali mamlaka yako ujue na sex utapata. Sasa ili uwe na mamlaka juu yake ni lazima uwe na mamlaka juu yako, anza kujidhibiti wewe kwenye mambo mengi ya kijinga unayofanya ili akuone unafaa kuaminiwa, tatizo lako kubwa lipo hapo, thamani yako umeiweka chini kuliko anavyotarajia.
 
Ashikilie apoapo tena akaze mpaka amuoe rasmi ndo amvulie chupi, mimi mwanamke nikishamlala zaidi ya mara 5 mawazo ya kumuoa yanapotea na naisi ni nature yetu wanaume
Unaogopa kukazwa alafu unaenda kulala kwa mwanaume,mimi hata rumu siwezi kwenda.sasa limtu linakuja kulala eti wiki mbili?
 
Tatzo umpe akil zote
Mkuu tafuta malaya nje huko maliza shida zako ukifka kula ugali ushibe ili ukifka ktandan usingz huo hadi unakoroma hadi asubuhi, nyakat za kulala wew kuwa busy na ucngz mpe mgongo

Akikuleta mitego mwambie hujickii kwa lolote (hili zoez lifanye hvyo.maisha yako yote utakuw unapewa tuu hadi sebleni ) ila kama hamna malengo ya pamoja TIMUA anakuchora
 
Kama Una 32 yrs nadhani haupaswi kuwa MTU wa kugombana na MTU kisa ngono.

Wanawake wataendelea kukusumbua Sana .

Umri wako ni mkubwa unapaswa kuwa Una-drive mambo na sio kuwa driven with sex, women ,material stuffs and so on.

Akiwa MTU wako hataki kukupa sex just Cool and focus on important matters.
 
Ameshindwa kuheshimu hisia zako, tafuta atakaye heshimu hisia zako
 
Broo huyu msichana yupo sahihi Kwa upande wangu, nafikiria inatakiwa usubiri Hadi siku 90 Yani(miezi3) ndo Hilo suala uanze kupewa Ili apate muda na yeye wa kukujua vizuri. Kwa msichana anajielewa ndivo inavokuwa hivo subiria muda huo ufike usimlazimishe.
Wakati huo wa kusubiri atakuwa anakula wapi!
 
Wakuu,

Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.

Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake inakuwa vita hatari, wanaume nahisi mnanielewa.

Yaani nimechoka hatari na huyu mwanamke kwa sababu kuna siku nilijribu kutaka kutumia nguvu ndio akanimbia ataniaachia nimbake ila atakachonifanyia sitokuja kusahau maisha yangu yote. Yaani wakuu huyu manzi hana huruma hata kidogo kwenye mambo mengine tunaishi vizuri tu.

Hoja zake sasa;

1. Ananiambia kuwa mimi naamini papuchi ndio mapenzi kitu ambacho sio kweli kwa sabb nimejikaza wiki mbili hadi naona kazi haziendi.

2. Ananiambia akili yangu nimeiweka kuwaza ngono sana.

3. Anataka nimpe muda wa kutosha sana itafika wakati atanipa yeye mwenyewe na wakati toka tumeanza kuishi tunamaliza week saivi na kila siku nahesabu tu mabati, halafu yeye ndio kwanza mzungu wa nne.

4. Anasema yeye kaniona mimi mtu mzima naweza kuwa tofauti na vivulana vya miaka 20 kwa hiyo napaswa kuwa msikivu, yeye ana 25 mimi nina 32 hana mtoto.

5. Anasema kuna vitu ananiangalia kwanza ndio atanipa papuchi, yaani sijawahi kunyanyaswa na demu kisa papuchi kwa kiasi hichi, namjali, namlisha namvalisha wakuu nakosea wapi?

Je, huyu kuna sehemu tutafika? Ila ni demu anakibuli sana hilo nalijua sio mtu wa kuchekacheka hata kidogo; anapenda sana nifanye kazi, hapendi uchafu nikiingia ndani inbidi nitembee kama napaa.

Shida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?
Be humble! Time Will Tell. Over
 
Easy tu.

Hakikisha umepiga kimoja kabla ya kuja kulala hapo nyumbani. Then punguza attention kwake, lkn kama ni wife material tu ila kama ni senge senge, timua likalale kwake
Mwambie muhudumu akuongezee mbili, tafadhali!
 
Kuna kadada kalisema bila pesa haoni faida yangu! mimi nikamjibu uwa yeye bila bikra yake sioni faida yake kwangu! Mpaka leo ni maadui 😀
Hapana mkuu ulikosea kumjibu kwa kejeli na kurudisha mashambulizi. Ukae kimya kwa maana ukimya nayo ni jibu lakini muda pia utazungumza kuhusu hilo, usipende ubishani ni mwanamke.
 
Wakuu,

Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.

Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake inakuwa vita hatari, wanaume nahisi mnanielewa.

Yaani nimechoka hatari na huyu mwanamke kwa sababu kuna siku nilijribu kutaka kutumia nguvu ndio akanimbia ataniaachia nimbake ila atakachonifanyia sitokuja kusahau maisha yangu yote. Yaani wakuu huyu manzi hana huruma hata kidogo kwenye mambo mengine tunaishi vizuri tu.

Hoja zake sasa;

1. Ananiambia kuwa mimi naamini papuchi ndio mapenzi kitu ambacho sio kweli kwa sabb nimejikaza wiki mbili hadi naona kazi haziendi.

2. Ananiambia akili yangu nimeiweka kuwaza ngono sana.

3. Anataka nimpe muda wa kutosha sana itafika wakati atanipa yeye mwenyewe na wakati toka tumeanza kuishi tunamaliza week saivi na kila siku nahesabu tu mabati, halafu yeye ndio kwanza mzungu wa nne.

4. Anasema yeye kaniona mimi mtu mzima naweza kuwa tofauti na vivulana vya miaka 20 kwa hiyo napaswa kuwa msikivu, yeye ana 25 mimi nina 32 hana mtoto.

5. Anasema kuna vitu ananiangalia kwanza ndio atanipa papuchi, yaani sijawahi kunyanyaswa na demu kisa papuchi kwa kiasi hichi, namjali, namlisha namvalisha wakuu nakosea wapi?

Je, huyu kuna sehemu tutafika? Ila ni demu anakibuli sana hilo nalijua sio mtu wa kuchekacheka hata kidogo; anapenda sana nifanye kazi, hapendi uchafu nikiingia ndani inbidi nitembee kama napaa.

Shida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?
je ni bikra kama ndio basi asilimia ya wanawake wengi bikra wanakuwa na hizo x-stics soo usiwe na papala

nakama sio mwanamke huyo anaongea na wewe indirectly kama wanawake wengine wanavyo ongeaga
yani her at 25 years yupo na expectation za kuwa na mwanaume sasa at your age of 32 jee do you act as man she wants or a man she needs???

the answer is 50/50 nilikuambia anaongea indirectly kwa maana angalia words play mwanamke anazotumia kuongea hapo
1.ukilazimksha atakuachia umbak means that to a dominant man anaweza mpa sababu hapo ndipo itakuw uzaifu wake kwan hajui how easier atakavokupea anataka u work for it simaanishi umbak no i mean show her your dominance... as a man demands and most important earn your respect as a man let her know who's the man in the house hautochukua muda sana utapewa sasa wewe unaenda directly unataka anajua unataka na unavyo omba nikama ukikupa sawa asipo kupa sawa anakuona kama tamaa ya mwili hakupi anakupiga pending kidogo

play her mind utaweza kumdominate kwa asilimia na kama ukishindwa another man will eat for free kama mshkaj hapo juu kasema a hard expensive woman is easier to another dominant man who eats her for free sasa wee jiulize how can he and why can't you
 
Back
Top Bottom