Ushauri: Anakataa kunipa penzi licha ya kuwa tunaishi pamoja, tutafika kweli?

Ushauri: Anakataa kunipa penzi licha ya kuwa tunaishi pamoja, tutafika kweli?

Kwahiyo akitoka bafuni anabadilisha nguo mbele yako? Au ukioga?
 
Ashikilie apoapo tena akaze mpaka amuoe rasmi ndo amvulie chupi, mimi mwanamke nikishamlala zaidi ya mara 5 mawazo ya kumuoa yanapotea na naisi ni nature yetu wanaume
Upo sawa, ukimlala kabla ya ndoa ni rahisi sana kukinai na kuvunja uchumba, ndiyo maana wahenga waliliona hilo na kuzuia kukaribiana kabla ya ndoa.

Sasa unachokishauri kina changamoto yake, mwanamke kajilengesha hadi chumbani kitandani kwa jamaa.

Uliona wapi puge(mbwa mwitu) likastahimiliana na swala na wakawekwa cage moja?

Wajuzi wa mambo tunachombeza lazima huyo jamaa amlale ndiyo tutapoa.
 
Wakuu,

Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.

Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake inakuwa vita hatari, wanaume nahisi mnanielewa.

Yaani nimechoka hatari na huyu mwanamke kwa sababu kuna siku nilijribu kutaka kutumia nguvu ndio akanimbia ataniaachia nimbake ila atakachonifanyia sitokuja kusahau maisha yangu yote. Yaani wakuu huyu manzi hana huruma hata kidogo kwenye mambo mengine tunaishi vizuri tu.

Hoja zake sasa;

1. Ananiambia kuwa mimi naamini papuchi ndio mapenzi kitu ambacho sio kweli kwa sabb nimejikaza wiki mbili hadi naona kazi haziendi.

2. Ananiambia akili yangu nimeiweka kuwaza ngono sana.

3. Anataka nimpe muda wa kutosha sana itafika wakati atanipa yeye mwenyewe na wakati toka tumeanza kuishi tunamaliza week saivi na kila siku nahesabu tu mabati, halafu yeye ndio kwanza mzungu wa nne.

4. Anasema yeye kaniona mimi mtu mzima naweza kuwa tofauti na vivulana vya miaka 20 kwa hiyo napaswa kuwa msikivu, yeye ana 25 mimi nina 32 hana mtoto.

5. Anasema kuna vitu ananiangalia kwanza ndio atanipa papuchi, yaani sijawahi kunyanyaswa na demu kisa papuchi kwa kiasi hichi, namjali, namlisha namvalisha wakuu nakosea wapi?

Je, huyu kuna sehemu tutafika? Ila ni demu anakibuli sana hilo nalijua sio mtu wa kuchekacheka hata kidogo; anapenda sana nifanye kazi, hapendi uchafu nikiingia ndani inbidi nitembee kama napaa.

Shida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?
Hizi kamba ni za kitoto sana
 
🤣🤣🤣🤣 hii dunia inavituko nyie 😂😂😂 yani we jamaa ni kolo sijapata ona demu anadinywa nje uyo alafu wewe anakubania yani nmelia sana 🤣🤣🤣
 
We jamaa mtoe nduki uyo demu yani unamgharamia mahitaji yote alafu ataki kukupa mzigo kweli embu acha huruma ya mshumaa
 
Nimecheka unatembea km paa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji2][emoji119]
 
Kama ni kweli umemtongoza tu alafu ukamshawishi uishi nae hupajui kwao na una wiki nae tu jiandae siku siyo nyingi utaleta uzi wa kulalamika umeibiwa vitu vya ndani.

Sahivi anatafuta dereva wa kirikuu
Nacheka km mchana vile [emoji3][emoji1787][emoji1787]
 
Ukimpelekea dera la kisomali, chumbani mbali, kama sebuleni hakuna wageni, unapewa penzi hapo hapo, tena anaikamata anaitia mdomoni na kujichomeka mwenyewe... Hawa you know, you know.. Wanataka kutuletea mapenzi ya kina yna na angelo, mapenzi ya kihindi na kikorea[emoji23]

Ukijichanganya kumpelekea infinix mama yangu wee, umemuua utapewa mguu bara mguu pwani, pozi la YOGA, tena bora umnunulie umpelekee nyumbani, ukienda nae dukani anaweza kutaka kukupea dukani. [emoji1787][emoji23][emoji23]
Nyie wajinga ujue[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu huyo itakua hana nguvu za kike (kwa mujibu wa hoja zao kama ungekua niww umezingua)


Endelea kutembea kama unapaa mkuu
 
M
Wakuu,

Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.

Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake inakuwa vita hatari, wanaume nahisi mnanielewa.

Yaani nimechoka hatari na huyu mwanamke kwa sababu kuna siku nilijribu kutaka kutumia nguvu ndio akanimbia ataniaachia nimbake ila atakachonifanyia sitokuja kusahau maisha yangu yote. Yaani wakuu huyu manzi hana huruma hata kidogo kwenye mambo mengine tunaishi vizuri tu.

Hoja zake sasa;

1. Ananiambia kuwa mimi naamini papuchi ndio mapenzi kitu ambacho sio kweli kwa sabb nimejikaza wiki mbili hadi naona kazi haziendi.

2. Ananiambia akili yangu nimeiweka kuwaza ngono sana.

3. Anataka nimpe muda wa kutosha sana itafika wakati atanipa yeye mwenyewe na wakati toka tumeanza kuishi tunamaliza week saivi na kila siku nahesabu tu mabati, halafu yeye ndio kwanza mzungu wa nne.

4. Anasema yeye kaniona mimi mtu mzima naweza kuwa tofauti na vivulana vya miaka 20 kwa hiyo napaswa kuwa msikivu, yeye ana 25 mimi nina 32 hana mtoto.

5. Anasema kuna vitu ananiangalia kwanza ndio atanipa papuchi, yaani sijawahi kunyanyaswa na demu kisa papuchi kwa kiasi hichi, namjali, namlisha namvalisha wakuu nakosea wapi?

Je, huyu kuna sehemu tutafika? Ila ni demu anakibuli sana hilo nalijua sio mtu wa kuchekacheka hata kidogo; anapenda sana nifanye kazi, hapendi uchafu nikiingia ndani inbidi nitembee kama napaa.

Shida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?
Mhhhh
 
Huo ujinga siwezi fanya im so straight nimekutongoza umenikubali sawa umenikataa i cut off the contacts sina rafiki wa kike yaan yule kupiga story big no sasa wewe mwana unakuwa mjinga achana naye anaweza hata akakuuwa haujuwi anakunyima wewe anampa nani dont act like stupid grow up man
 
Back
Top Bottom