Ushauri: Anakataa kunipa penzi licha ya kuwa tunaishi pamoja, tutafika kweli?

Ushauli wangu muonyeshe upendo wa dhati kisha tafta namna ya kumuingia akupe historia yake kisha umfanyie canceling aondoe hofu akuamin kuwa hautamuumiza. Usitumie nguvu dili na saikolojia yake atakukabidi moyo hisia na mawazo yake yote yatakuwa juu yako na atakupenda mpaka utashangaa ndo yule au ni mwingine. Usiumie kwa ajili yake mpaka amekubali kuja kuishi na wewe hiyo ni hatua kubwa hicho kipengele kilichobaki ni rahisi sana
 
Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.
Unapaswa ufikishe malalamiko yako kwa dawati la jinsia watakusaidia kumkanya manzi wako aache kukunyima.
 
Endelea kutembea tu kama unapaaa mkuu
 
Acha uongo mala mmejaa wiki mbili mala wiki moja uongo kabisa
 
Fukuza acha ujinga.
Huyo demu namjua, anakijamaa kinamtesa sana, demu amekufa na kuoza kwa huyo jamaa alafu jamaa hana future naye.

Demu yupo kwako kwa kuzuga tu, ndiyo maana hakuzingatii..demu anaimani atakubaliwa na huyo jamaa.

Kijana...Fukuza huyo....ni kurusi hicho.
 
Yaaani wengine wanakimbia pochi za manyoya za kati wengine wananyimwa,kwani huna mpango B hapo,siku moja mtoe out mwende kwenye club kubwa za burudani,then mwangalie wanaume anaowatamani huenda wewe uko low key.
 
Anza kuwa unatoka nyumbani na usirudi siku nzima afu unarudi kesho yake asubuhi saa kumi na mbili au saa kumi na moja...

Siku nyingine unapitiliza siku mbili bila taarifa...

Hakikisha siku za kupotea zinaongezeka everyday na mwisho wa siku nenda jumla... Ukijiskia kurudi unarudi...
 

πŸ˜‚πŸ˜‚
"Eti maana sio kwa kunitafuta huko"
Ndohivo Mkuu kashakua huyo na baada ya kutafakari kashaona for really u deserve it
 
Nyie ndio ma-simp tunaowapa somo kila siku, halafu manzi mwenyewe unakuta hata sio bikira na kipindi anakubania wewe kuna wahuni wanamfumua kama kawaida

Embu pitia threads zangu unaweza kujifunza kitu.
 
Mchango wa mwanamke kwenye mahusiano ni sex tu sasa jamaa hata sex yenyewe hapewi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
"Eti maana sio kwa kunitafuta huko"
Ndohivo Mkuu kashakua huyo na baada ya kutafakari kashaona for really u deserve it
Ndio hivyo mkuu ukiona demu aliyekuwa anakutesa kihisia alafu ghafra tu anakutafuta tena kwa hali na Mali muonane shtuka unaweza Kuta keshapigwa mimba anakutafuta akutegeshee ulee mimba ya mwanaume mwenzako
 
Nenda kamshitaki kwa wazazi wake.
 
Muoe...
 
Mmh akikupa tena uchi, muombe tigo Marco Polo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…