Ushauri: Anapendwa na Mke wa mtu

sio kwel,,sikuiz wao ndo wanatuchuna sisi,, kwaio wamejua ni makapuku ndomana wanatukimbia
Nimecheka kama fala. Haha. Bado sijawahi kutunzwa na mwanamke tangia nizaliwe na sidhani kama itawahi kutokea hata kwa bahati mbaya. Hela za kupewa na wanawake nachojua ni ngumu sana na zinakuja na kila aina ya dharau, whether its noticed or unnoticed.
 
omba Mungu hapo ulipo usianguke na hata ikitokea umeanguka usianguke kizembe
 
Miaka ya nyuma kuna mmoja aliambiwa achague kuvunjwa meno mawili pamoja na mkono au apakwe mafuta na waume watatu.

Alipita mtaani akiwa na P.O.P mkononi na meno hana baada ya week hivi.
Hatari sana
 
πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Hivii hii adhabu ya ulawitii kwa wagoni, ni fashion au? Si ndo mnazalisha mashoga hivi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…