Kiparamoto
Senior Member
- Oct 1, 2015
- 100
- 100
Wakuu,
Mimi ni kijana wa makamo, on my early 30s, sina familia (mke & mtoto), vipaumbele vyangu kwenye maisha ni kujitoa kwenye dimbwi la umasikini uliokithiri kwenye familia zetu hizi za kiswahili, ukijumlisha nilishawahi kupigwa matukio huko nyuma na wachumba kwa kukosa vijisenti hata vya mboga basi focus yangu kubwa kwa mda mrefu imekuwa ni kufanya kazi kwa bidii na kutafuta financial freedom.
It's been a while, over 5+ years sijakuwa kwenye mahusiano serious, hata mabinti ninaokutana nao huwa nawaambia toka mwanzo kuwa sina mpango wa kufanya mahusiano nao ya serious, just having some fun na kuzagamuana tu, wengi wamekuwa wakielewa hilo.
Hivi karibuni nimejikuta kwenye penzi zito na mtoto wa "kiburushi" toka kusini (anaishi dar) nimekuwa nae kwa kipindi Cha miezi kadhaa naona anakila sifa za kumfanya awe wife, shida inakuja moja, huyu binti amekuwa akilalamika mno kuwa nimezidisha Usela sana kwake, hata ninavyomtreat ni kama msela mwenzangu, kuanzia kumtext, na hata mazungumzo yetu, anadai anataka ajifeel kama mtoto wa kike/mpenzi na si vinginevyo, anasema sipo romantic kwake kitu ambacho mimi kinanipa wakati mgumu coz ninavyoishi ndio maisha yangu huko kuwa romantic anavyotaka yeye mimi najionea shida, nampa mahitaji yake yote, namfanya rafiki lakini changamoto ndio hiyo binti anataka mapenzi ya kwenye sinema na luninga mimi sijazoea ukizingatia nina mda mrefu sipo kwenye mahusiano.
Mnisaidie ndugu zangu msela Mimi nisimpoteze mrembo huyu.
Mimi ni kijana wa makamo, on my early 30s, sina familia (mke & mtoto), vipaumbele vyangu kwenye maisha ni kujitoa kwenye dimbwi la umasikini uliokithiri kwenye familia zetu hizi za kiswahili, ukijumlisha nilishawahi kupigwa matukio huko nyuma na wachumba kwa kukosa vijisenti hata vya mboga basi focus yangu kubwa kwa mda mrefu imekuwa ni kufanya kazi kwa bidii na kutafuta financial freedom.
It's been a while, over 5+ years sijakuwa kwenye mahusiano serious, hata mabinti ninaokutana nao huwa nawaambia toka mwanzo kuwa sina mpango wa kufanya mahusiano nao ya serious, just having some fun na kuzagamuana tu, wengi wamekuwa wakielewa hilo.
Hivi karibuni nimejikuta kwenye penzi zito na mtoto wa "kiburushi" toka kusini (anaishi dar) nimekuwa nae kwa kipindi Cha miezi kadhaa naona anakila sifa za kumfanya awe wife, shida inakuja moja, huyu binti amekuwa akilalamika mno kuwa nimezidisha Usela sana kwake, hata ninavyomtreat ni kama msela mwenzangu, kuanzia kumtext, na hata mazungumzo yetu, anadai anataka ajifeel kama mtoto wa kike/mpenzi na si vinginevyo, anasema sipo romantic kwake kitu ambacho mimi kinanipa wakati mgumu coz ninavyoishi ndio maisha yangu huko kuwa romantic anavyotaka yeye mimi najionea shida, nampa mahitaji yake yote, namfanya rafiki lakini changamoto ndio hiyo binti anataka mapenzi ya kwenye sinema na luninga mimi sijazoea ukizingatia nina mda mrefu sipo kwenye mahusiano.
Mnisaidie ndugu zangu msela Mimi nisimpoteze mrembo huyu.