Mdau jf
Senior Member
- Sep 10, 2020
- 182
- 313
Wasalaam Wana jf
Kuna binamu yangu mkoa X ameniomba ushauri, kwamba amepata mchongo wa kwenda nchini UTURUKI kufanya kazi za ndani.
Nami kwakua sina experience na mambo hayo nikaona ni Bora nilete kwenu mnaweza Kua na ABC's za kumuambia, ili nimfikishie na iwe hiari kwake kwenda ama kutokwenda kutokana na maoni mbalimbali mtayo toa hapa
NAWASILISHA
Kuna binamu yangu mkoa X ameniomba ushauri, kwamba amepata mchongo wa kwenda nchini UTURUKI kufanya kazi za ndani.
Nami kwakua sina experience na mambo hayo nikaona ni Bora nilete kwenu mnaweza Kua na ABC's za kumuambia, ili nimfikishie na iwe hiari kwake kwenda ama kutokwenda kutokana na maoni mbalimbali mtayo toa hapa
NAWASILISHA