Kwa nini, una phobia ya scissorsYaani Mimi nikiona tu MKOA X.uwa naacha kusoma thread
Upon Kama Mimi mkuu. Mkoa x cjui ndo upo wap🤣🤣🤣🤣Yaani Mimi nikiona tu MKOA X.uwa naacha kusoma thread
dah jamiiforum kweli kiboko,, nna manzi yangu soon anaenda oman kikaz sasa alinambia nimpatie ushauri ,,,nmekaa nkafiikiri kuwaza na kuwazua nkaamua njitose JF kwakweli baada ya kuona haya madini nmefurahis sana wacha nkamshauri1. Ahakikishe anaenda kihalali, awe na connection ya ubalozi wa nchi yake.
2. Atumie Agency za ndani ya nchi yetu zilizosajiliwa kuwa kama wasimamizi wake.
3. Asome Kwa makini mkataba wa kazi kabla hajafika huko
4. Asilete uswahili wake kwenye nchi za watu.
Maana huku bongo Wafanyakazi wanawaonea Maboss Kwa kutofuata makubaliano ya Mkataba. Jambo Hilo ndilo hufanya wananyang'anywa passport wawapo huko Nchi za watu.
5. Asiwe mdekaji na tabia za kitoto za uvivu uvivu