Ushauri: Anza hata na chumba na sebule. Nyumba kubwa inatesa

Kasema 8-9m ukikiremba sana ndio 15m. Ni kweli ukinogewa kuweka vitu vya gharama unaweza kutumia gharama kubwa kujenga hadi watu wakakushangaa. Kumbuka chumba na sebule mtu anaweka na jiko pia sio chumba na sebule kama police post.
Hata hiyo bado sana sijui wenzangu mnajengaje lakini kwa uhalisia mill9 ni nyingi sana kujenga chumba na sebure tu ni kuchezea pesa

Nimejenga room 3 na kuzunguusha na fensi na geti la kisasa kabisa bajeti nmetumia mil13 japo sijaweka vioo bado nimeweka nyavu kwanza
 
Kabla hujawaza kujenga huwa hujiulizi maswali je nyumba inagharimu kiasi gani?
Una 20m unaanza ujenzi wa nyumba mpaka inaisha inakugharimu 70m sasa ya nini kuhangaika kama sio wehu
Hesabu zinatakiwa na kujipanga kama una 70m anza mpaka kuisha huna napo fuata ushauri huu wa mleta mada
 
Aisee, nilikuwa najiona bingwa wa ujenzi nafuu, ila wewe umenizidi.
 
Uko sahihi kwa mtazamo wa mtu asiye na familia na asiye na fanicha nyingi
 
Mkuu Bongo sio UK. Huku unaweza kujenga nyumba ya 50m bila account kufikisha 10m mwaka mzima. Unajenga kwa kudunduliza. Ukipata 1m unaenda site,ukipata 500k unaenda site hadi nyumba inaisha hata ikichukua miaka mitano.
 
Sina muda mkuu na wala sikubishii kwamba haiwezekani. Ujenzi una ambo mengi kila mtu ana style yake na malipo yake.
Ndio maana nikasema hesabu za humu ni kubwa sana ukizifuata unaweza usianze hata msingi

Mfano tu mtu anaweza kusema msingi tu katumia mil4-7 wakati msingi wa kawaida eneo lililo flat hata 1mil haiiishi

But ni mawazo tu hatubishani mkuu
 
Ndio maana nikasema hesabu za humu ni kubwa sana ukizifuata unaweza usianze hata msingi

Mfano tu mtu anaweza kusema msingi tu katumia mil4-7 wakati msingi wa kawaida eneo lililo flat hata 1mil haiiishi

But ni mawazo tu hatubishani mkuu
Za kuambiwa changanya na zako usifuate yote ya humu mkuu
 
Andiko zuri sana kwa wenye mazingatio, basi wafate ushauri ๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†
 
Wazo lakinidhamu kabisa ili

Kunywa soda apo
 
Kama mtu fedha anayo kwanini aanze na chumba na sebule? Ujenzi ni plan ya mjengaji kutegemea ana malengo gani, hayo mambo ya kutishana sio mazuri kabisa
 
Ndio maana nikasema hesabu za humu ni kubwa sana ukizifuata unaweza usianze hata msingi

Mfano tu mtu anaweza kusema msingi tu katumia mil4-7 wakati msingi wa kawaida eneo lililo flat hata 1mil haiiishi

But ni mawazo tu hatubishani mkuu
Shukran mkuu kwa mchango wako. Pia km una uzoefu naomba unipe rough estimation gharama za msingi wa nyumba yenye sebule 10*10ft bedroom 8*8ft kijiko simple 5*3ft, choo 3*5ft. Nashkuru ๐Ÿ™
 
Shukran mkuu kwa mchango wako. Pia km una uzoefu naomba unipe rough estimation gharama za msingi wa nyumba yenye sebule 10*10ft bedroom 8*8ft kijiko simple 5*3ft, choo 3*5ft. Nashkuru ๐Ÿ™
Msingi unategemea na slope ya eneo either flat au muinuko

Kingine jenga vitatu mkuu gharama hazitofautiani sana na hiyo unayotaka kuanza nayo utajikuta umetumia pesa nyingi kwa kajumba kadogo wakati ungeweza kuongeza kidogo ukajenga ya vyumba vitatu ni ushauri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ