Hata hiyo bado sana sijui wenzangu mnajengaje lakini kwa uhalisia mill9 ni nyingi sana kujenga chumba na sebure tu ni kuchezea pesaKasema 8-9m ukikiremba sana ndio 15m. Ni kweli ukinogewa kuweka vitu vya gharama unaweza kutumia gharama kubwa kujenga hadi watu wakakushangaa. Kumbuka chumba na sebule mtu anaweka na jiko pia sio chumba na sebule kama police post.
Aisee, nilikuwa najiona bingwa wa ujenzi nafuu, ila wewe umenizidi.Hata hiyo bado sana sijui wenzangu mnajengaje lakini kwa uhalisia mill9 ni nyingi sana kujenga chumba na sebure tu ni kuchezea pesa
Nimejenga room 3 na kuzunguusha na fensi na geti la kisasa kabisa bajeti nmetumia mil13 japo sijaweka vioo bado nimeweka nyavu kwanza
Uko sahihi kwa mtazamo wa mtu asiye na familia na asiye na fanicha nyingi๐MHADHARA WA 16:
Baada ya kununua kiwanja......
Ukibahatika tena kupata vihela kidogo ni bora kuanza kujenga CHUMBA + SEBULE + CHOO. Kama hela zako ni za msimu au hela za kulenga kwa manati usijenge nyumba kubwa, kwasababu inaweza kukutesa kwenye harakati za kuimaliza. Wabongo wana msemo wao wanasema; "Ujenzi wa nyumba unaanza kutesa wakati wa kuanza matumizi ya lugha ya kiingereza" - Yaani wanamaanisha kuanza harakati za kupaua hadi kumaliza.
Wengi wanateswa sana na ujenzi wa nyumba kubwa unakuta pesa inakatika katikati ya ujenzi, hatimaye jengo linabaki kuwa pagala kwa zaidi ya miaka 5 hadi 10. Ujenzi wa nyumba kubwa unatesa hasa kwa wale wanaotumia mikopo ya benki kwa ajili ya kujenga. Ujenzi wa "kuvuta pumzi" ni mgumu sana kwasababu kila pumzi unayovuta ukiipata inakutana na ada za watoto, ugonjwa, kodi ya nyumba, huduma za ndani, n.k.
Baadhi ya mafundi wa nyumba ambao wanayajua maisha ya kubangaiza huwa wanawashauri watu kuanza kujenga nyumba ya nyuma (CHUMBA + SEBULE + CHOO) - Ni nadra sana kukutana na mafundi watakaokushauri hivyo. Ukizingatia ushauri wao utafanikiwa kuhamia kwako mapema, nyumba ya mbele (nyumba kubwa) utaijenga taratibu ukiwa papo hapo kwako.
RIGHT MARKER,
Dar es salaam,
24/09/2024.
Twende kwenye uhalisia hebu nipigie hesabu iyo mill9 au 8 inaishaje kwenye room 2Aisee, nilikuwa najiona bingwa wa ujenzi nafuu, ila wewe umenizidi.
Mkuu Bongo sio UK. Huku unaweza kujenga nyumba ya 50m bila account kufikisha 10m mwaka mzima. Unajenga kwa kudunduliza. Ukipata 1m unaenda site,ukipata 500k unaenda site hadi nyumba inaisha hata ikichukua miaka mitano.Kabla hujawaza kujenga huwa hujiulizi maswali je nyumba inagharimu kiasi gani?
Una 20m unaanza ujenzi wa nyumba mpaka inaisha inakugharimu 70m sasa ya nini kuhangaika kama sio wehu
Hesabu zinatakiwa na kujipanga kama una 70m anza mpaka kuisha huna napo fuata ushauri huu wa mleta mada
Sina muda mkuu na wala sikubishii kwamba haiwezekani. Ujenzi una ambo mengi kila mtu ana style yake na malipo yake.Twende kwenye uhalisia hebu nipigie hesabu iyo mill9 au 8 inaishaje kwenye room 2
Ndio maana nikasema hesabu za humu ni kubwa sana ukizifuata unaweza usianze hata msingiSina muda mkuu na wala sikubishii kwamba haiwezekani. Ujenzi una ambo mengi kila mtu ana style yake na malipo yake.
Za kuambiwa changanya na zako usifuate yote ya humu mkuuNdio maana nikasema hesabu za humu ni kubwa sana ukizifuata unaweza usianze hata msingi
Mfano tu mtu anaweza kusema msingi tu katumia mil4-7 wakati msingi wa kawaida eneo lililo flat hata 1mil haiiishi
But ni mawazo tu hatubishani mkuu
Andiko zuri sana kwa wenye mazingatio, basi wafate ushauri ๐๐๐๐MHADHARA WA 16:
Baada ya kununua kiwanja......
Ukibahatika tena kupata vihela kidogo ni bora kuanza kujenga CHUMBA + SEBULE + CHOO. Kama hela zako ni za msimu au hela za kulenga kwa manati usijenge nyumba kubwa, kwasababu inaweza kukutesa kwenye harakati za kuimaliza. Wabongo wana msemo wao wanasema; "Ujenzi wa nyumba unaanza kutesa wakati wa kuanza matumizi ya lugha ya kiingereza" - Yaani wanamaanisha kuanza harakati za kupaua hadi kumaliza.
Wengi wanateswa sana na ujenzi wa nyumba kubwa unakuta pesa inakatika katikati ya ujenzi, hatimaye jengo linabaki kuwa pagala kwa zaidi ya miaka 5 hadi 10. Ujenzi wa nyumba kubwa unatesa hasa kwa wale wanaotumia mikopo ya benki kwa ajili ya kujenga. Ujenzi wa "kuvuta pumzi" ni mgumu sana kwasababu kila pumzi unayovuta ukiipata inakutana na ada za watoto, ugonjwa, kodi ya nyumba, huduma za ndani, n.k.
Baadhi ya mafundi wa nyumba ambao wanayajua maisha ya kubangaiza huwa wanawashauri watu kuanza kujenga nyumba ya nyuma (CHUMBA + SEBULE + CHOO) - Ni nadra sana kukutana na mafundi watakaokushauri hivyo. Ukizingatia ushauri wao utafanikiwa kuhamia kwako mapema, nyumba ya mbele (nyumba kubwa) utaijenga taratibu ukiwa papo hapo kwako.
RIGHT MARKER,
Dar es salaam,
24/09/2024.
HakikaZa kuambiwa changanya na zako usifuate yote ya humu mkuu
Wazo lakinidhamu kabisa iliBahati mbaya mtu akisema ajenge hiyo ya uwani kwanza then aje kujenga nyumba ya ndoto zake mpaka anakuja kuzeeka atakachokuwa amefanikiwa ni kununua tofali anazipanga nje kwake zikinyeshewa mvua na kubadilika rangi lakini hakuna cha kuanza ujenzi tena wala nini.
Hili lieleweke tu kwamba kila mtu atamiliki alichopangiwa wewe anza ujenzi kama ni nyumba kubwa au ndogo utakapoishia ni hapo hapo muhimu anza ujenzi lakini kama unapumua na bado unapambana utaishi kwenye nyumba uliyoitaka.
Atakua kajengea maeneo yenye materials Bei Chee na mafundi wasio na beiAisee, nilikuwa najiona bingwa wa ujenzi nafuu, ila wewe umenizidi.
Shukran mkuu kwa mchango wako. Pia km una uzoefu naomba unipe rough estimation gharama za msingi wa nyumba yenye sebule 10*10ft bedroom 8*8ft kijiko simple 5*3ft, choo 3*5ft. Nashkuru ๐Ndio maana nikasema hesabu za humu ni kubwa sana ukizifuata unaweza usianze hata msingi
Mfano tu mtu anaweza kusema msingi tu katumia mil4-7 wakati msingi wa kawaida eneo lililo flat hata 1mil haiiishi
But ni mawazo tu hatubishani mkuu
Msingi unategemea na slope ya eneo either flat au muinukoShukran mkuu kwa mchango wako. Pia km una uzoefu naomba unipe rough estimation gharama za msingi wa nyumba yenye sebule 10*10ft bedroom 8*8ft kijiko simple 5*3ft, choo 3*5ft. Nashkuru ๐