Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Huyo jamaa ana matatizo , achana naye .Iv kuna team gani hapa Bongo ina facilities za maana kama Azam. Imefika mpaka wamejengewa viwanja viwili vya mazoezi. Smooth Ground na rough ground, Hostels za wachezaji NK. Kama ni mashabiki huwa wanaruhusiwa kuingia bure Chamanzi pale. Nini tena kinahitajika hapo...
Kuingia kwa washabiki bure huo ni uamuzi wa timu(uongozi) na haimaanishi wakijengewa viwanja viwili na kuwa na facilities kibao iwe ni kigezo cha timu kushinda kila mechi? Labda wewe ujibu unataka Azam waweje labda unbeaten au iwe timu yenye kuingiza mapato makubwa?Iv kuna team gani hapa Bongo ina facilities za maana kama Azam. Imefika mpaka wamejengewa viwanja viwili vya mazoezi. Smooth Ground na rough ground, Hostels za wachezaji NK. Kama ni mashabiki huwa wanaruhusiwa kuingia bure Chamanzi pale. Nini tena kinahitajika hapo...
Wewe ambae si mbishi mbona unaonyesha una chuki binafsiUbishi utakusaidia nini wewe ?
Chuki na nani ?Wewe ambae si mbishi mbona unaonyesha una chuki binafsi
Ainisha hayo matatizo niliyonayo mbona timu zenu hazina cha maana lakini hamuongeleiHuyo jamaa ana matatizo , achana naye .
Na timu hadi wachezajiChuki na nani ?
Nimeandika mwanzo kabisa hapo juu. Azam ilitakiwa kuwa TP Mazembe ya East Afrika. Iwe team ya kuogopwa Afrika Mashariki na ata Afrika kwa sasa.Kuingia kwa washabiki bure huo ni uamuzi wa timu(uongozi) na haimaanishi wakijengewa viwanja viwili na kuwa na facilities kibao iwe ni kigezo cha timu kushinda kila mechi? Labda wewe ujibu unataka Azam waweje labda unbeaten au iwe timu yenye kuingiza mapato makubwa?
Kwahiyo TP mazembe huwa hawafungi kwa vile wanaogopwa kwao?Nimeandika mwanzo kabisa hapo juu. Azam ilitakiwa kuwa TP Mazembe ya East Afrika. Iwe team ya kuogopwa Afrika Mashariki na ata Afrika kwa sasa.
Sio kwamba TP Mazembe hawafungwi na hata msimu huu wameondoshwa kwenye michuano ya klabu bingwa ila wanachokipata na outcomes yao vinashabihiana mnooo..Kwahiyo TP mazembe huwa hawafungi kwa vile wanaogopwa kwao?
Haya taja vyanzo vya maingizo yao na wakipatacho kisha ulinganishe na hao TP mazembe ili uelewekeSio kwamba TP Mazembe hawafungwi na hata msimu huu wameondoshwa kwenye michuano ya klabu bingwa ila wanachokipata na outcomes yao vinashabihiana mnooo..
Hapo sijakuelewa mkuu unataka kujua vyanzo vipi. Wakati kila kitu kimeshasemwa huko juu.Haya taja vyanzo vya maingizo yao na wakipatacho kisha ulinganishe na hao TP mazembe ili ueleweke
Mfano wa vitu vilivyo ainishwa huko juu ni vipi? Uwanja unaojaza watu elfu 7 ama?Hapo sijakuelewa mkuu unataka kujua vyanzo vipi. Wakati kila kitu kimeshasemwa huko juu.
Haya taja vyanzo vya maingizo yao na wakipatacho kisha ulinganishe na hao TP mazembe ili ueleweke
Huo huo lakini ni wa kwao.Mfano wa vitu vilivyo ainishwa huko juu ni vipi? Uwanja unaojaza watu elfu 7 ama?
Ata mi nimeanza kuwa na mashaka. Kama sio mchezaji basi ni mnufaika.Wewe utakuwa mchezaji wa Azam si bure
Kivipi?Wewe utakuwa mchezaji wa Azam si bure
Sasa kiongozi uwanja wa kuingiza watu elfu 7 unategemea return yake iwe kubwa vingine hata ukipiga hesabu kwa kutumia vidole unapata majibu..Azam bado wanakua na wanaendelea kukua kwa kuongeza mashabiki na kuendelea kuwekeza ili baadae wapate kile wanachokihitaji na ndomana wanapigana status yao isishuke na kwa sisi mashabiki tunaona timu yetu inakua na inaendelea kuwashawishi watu na kuwapa morali wachezaji ili wafanye vizuri na timu yoyote ili ikue inahitaji mashabiki katika ku support timu na kuingiza mapato kupitia vitu vyao wanavyouzaHuo huo lakini ni wa kwao.
Iv kuna team gani hapa Bongo ina facilities za maana kama Azam. Imefika mpaka wamejengewa viwanja viwili vya mazoezi. Smooth Ground na rough ground, Hostels za wachezaji NK. Kama ni mashabiki huwa wanaruhusiwa kuingia bure Chamanzi pale. Nini tena kinahitajika hapo...
Ni sawa na ndo kitu tulichokuwa tunakizungumzia quality players tukilinganisha na uwekezaji wa Azam....Nani alikudanganya kuwa na viwanja vya mazoezi ndio unapata mafanikio?
Mpira sio pesa ni combination ya vitu vingi.Wachezaji wa Azam hawana tofauti na wachezaji wa Mtibwa au Yanga