Ushauri: Balozi yeyote aliyeko Ughaibuni asipoleta wawekezaji atimuliwe kazi

Ushauri: Balozi yeyote aliyeko Ughaibuni asipoleta wawekezaji atimuliwe kazi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Ni wakati sasa wa nchi kubana matumizi na kuruhusu matumizi matakatifu tu (matumaini yenye tija).

Ni muda muafaka Sasa kwa mabalozi wa Tanzania katika nchi zilizoendelea za Ulaya, Amerika na Asia kufanya ushawishi wa hali ya juu kwa matajiri wakubwa na kampuni kubwa kuja kuwekeza Tanzania.

Ikiwezekana wapewe documentaries za rasilimali na fursa za nchi yetu waende nazo huko ng'ambo.

Nchi zilizoendelea huleta mabalozi katika nchi zinazoendelea ili kujiimarisha kiusalama na kiutawala. Sisi tupeleke mabalozi nje kwasababu za kiuchumi maana tu mafukara wa kutupwa. Imagine leo karne ya 21 ndipo Waziri wa nishati anajitapa kuweka umeme nyumba ya tope!

Leo hiii bado kuna harambee ya kuchangia madawati shuleni.

Watu wenye ushawishi kama Makonda ndio wanapaswa kupewa ubalozi na sio kupeana kwa kuoneana aibu. Binafsi simtaki Makonda ila sometimes anafaa.

Ikiwezekana tupunguze mabalozi kwenye nchi maskini tuwahamishie nchi za ng'ambo ili watuletee investors.
 
Orodha ya mabalozi ambao wakobnje na ni mzigo kwa TAIFA;-
1. Balozi wa tanzania Kuwait
2. Balozi wa tanzania Brazil
3. Balozi wa tanzania Uingireza
4. Balozi wa tanzania Kenya
5. Balozi wa tanzania msumbiji
6. Balozi wa tanzania south Africa
7. Balozi wa tanzania Australia
8. Balozi wa tanzania Canada
9. Balozi wa tanzania Norway
10. Balozi wa tanzania Finland
11. Balozi wa tanzania ujerumany
12. Balozi wa tanzania sudan
 
Hasa wastaafu wanajeshi hupewa ubalozi ili kuwatawanya wasikutane bar kupanga hujuma.
Hasa Kuna lizee limoja nipo nalo hapa yaani huwa najiuliza huyu alipewa ubalozi ili weje maana sio chochote zaidi kupoteza hela za watanzania tu
 
Orodha ya mabalozi ambao wakobnje na ni mzigo kwa TAIFA;-
1. Balozi wa tanzania Kuwait
2. Balozi wa tanzania Brazil
3. Balozi wa tanzania Uingireza
4. Balozi wa tanzania Kenya
5. Balozi wa tanzania msumbiji
6. Balozi wa tanzania south Africa
7. Balozi wa tanzania Australia
8. Balozi wa tanzania Canada
9. Balozi wa tanzania Norway
10. Balozi wa tanzania Finland
11. Balozi wa tanzania ujerumany
12. Balozi wa tanzania sudan
Bila Shaka unawafahamu vizuri hao mizigo
 
Naona Una apply Political science kwenye Biashara,

Investor usidhani wanahamasiswa na Mabalozi,

Wale wana Data za kutosha mpaka unawaona hapa.



I
Uko sahihi Ila matajiri wako busy vitu vingine mpaka uwaboost ndipo hufanya.
 
Naona Una apply Political science kwenye Biashara,

Investor usidhani wanahamasiswa na Mabalozi,

Wale wana Data za kutosha mpaka unawaona hapa.



I
Ni sawa mkuu pamoja na kuwa Wana data kamili na ni kweli lazima wawe na data maana matajiri wa nchi za wenzetu mataifa yao yanawathamini sana hata kuwapa taarifa nyeti za kijasusi kwa maswala ya kibiashara kwa taifa Fulani lakini pia balozi ana michango mkubwa sana katika kutoa ushawishi japo kidogo kwa wale wawekazaji wadogo wadogo wanaochipukia
 
Ungeeleza kwanza kilichofanya wawekezaji waliokuwepo wafunge virago vyao waondoke


Bila ya kurekebisha sheria, kanuni na taratibu zetu za ndani, kua na utashi wa kweli wa kisiasa mtakua kila siku mnafukuza mabalozi wenu wanaoiwakilisha nje nchi

Kwanza kushawishi wawekezaji kuja kuwekeza nchini ni moja wapo tu ya majukumu ya mabalozi wetu kati ya majukumu yao mengi

Kama unadhani na mabalozi wa nchi za kigeni waliopo Tanzania nao wanajukumu la kushawishi wa Tz wakawekeze huko kwao mpaka na sisi tuwaige basi inabidi tujielimishe tena kuhusiana na job descriptions zao
 
Naona Una apply Political science kwenye Biashara,

Investor usidhani wanahamasiswa na Mabalozi,

Wale wana Data za kutosha mpaka unawaona hapa.



I

Hizo zipo tu, tunacho zungumzia ni kufanya promo. Balozi lazima afanye kazi ya kuitangaza nchi inavyotakiwa. Hivi umemuona balozi wa Tanzania nchini china anachofanya. Ndicho tunacho maanisha.
 
Je nchi yenu imeacha kuteka watu na je mmeacha kutukana mabeberu ? wawekezaji hawaji kibwege kama mnavyodhani

Wee ndiyo mwenye mawazo ya kibwege. Kipindi kile cha makinikia wawekezaji walikuwa hawajii?
 
Back
Top Bottom