Ushauri Barabara ya Morogoro - Kilosa Kuikwepa Mikumi National Park

Ushauri Barabara ya Morogoro - Kilosa Kuikwepa Mikumi National Park

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Nimekutana na mdau anasema Serikali ina mpango wa kukwepesha barabara ya Morogoro - Mikumi ipite Kilosa ili kuwanusuru wanyama mbugani.

Ukitazama ramani inaonekana umbali wa kutoka Morogoro kupitia Dumila au Kimamba ni mbali hivyo itaongeza gharama za ujenzi na matumizi ya nishati kwa wenye vyombo vya usafiri, umbali huo unaweza kufupishwa kwa kupitisha barabara hiyo Mangaye - Kilosa - Mikumi

1644837617167.png
 
Nimekutana na mdau anasema Serikali ina mpango wa kukwepesha barabara ya Morogoro - Mikumi ipite Kilosa ili kuwanusuru wanyama mbugani.

Ukitazama ramani inaonekana umbali wa kutoka Morogoro kupitia Dumila au Kimamba ni mbali hivyo itaongeza gharama za ujenzi na matumizi ya nishati kwa wenye vyombo vya usafiri, umbali huo unaweza kufupishwa kwa kupitisha barabara hiyo Mangaye - Kilosa - Mikumi

View attachment 2119226
Unatoa huu ushauri wewe kama nani bila kutushirikisha wadau? Hizo hela utatoa wapi? Ama utaenda kutembeza bakuli? Inaonekana mvua kali inayonyesha morogoro imetifua ubongo wako.

Connect your tongue with your brain.

Kammmmonnn
 
Ukitokea kwa chamo hapo darajani inapooita reli hiyo bara bara inayotokea azimio inatoboa mpaka kilosa kwa boda boda ni masaa mawili tu
 
Unatoa huu ushauri wewe kama nani bila kutushirikisha wadau? Hizo hela utatoa wapi? Ama utaenda kutembeza bakuli? Inaonekana mvua kali inayonyesha morogoro imetifua ubongo wako.

Connect your tongue with your brain.

Kammmmonnn
Ujenzi wa barabara ya kutoka kilosa, kupitia Ulaya, Kilosa, na kuibukia Dumila ni ya muda mrefu mbona? Tayari ujenzi kiwango cha lami kutoka Dumila mpaka kilosa mjini umekamilika, kimebaki kipande cha kilosa, ulaya kutokea mikumi.
 
Ukitokea kwa chamo hapo darajani inapooita reli hiyo bara bara inayotokea azimio inatoboa mpaka kilosa kwa boda boda ni masaa mawili tu
Patamu sana, kumbe ingeweza kuboreshwa hiyo ikatumika kuikwepa hiyo mbuga
 
Ujenzi wa barabara ya kutoka kilosa, kupitia Ulaya, Kilosa, na kuibukia Dumila ni ya muda mrefu mbona? Tayari ujenzi kiwango cha lami kutoka Dumila mpaka kilosa mjini umekamilika, kimebaki kipande cha kilosa, ulaya kutokea mikumi.
Oh kumbe mambo yako kwenye pipeline
 
Ujenzi wa barabara ya kutoka kilosa, kupitia Ulaya, Kilosa, na kuibukia Dumila ni ya muda mrefu mbona? Tayari ujenzi kiwango cha lami kutoka Dumila mpaka kilosa mjini umekamilika, kimebaki kipande cha kilosa, ulaya kutokea mikumi.
Juzi nimetinga na kipasso changu mpaka kwa'' behewa'' full Mkeka.
nasuburia kwa hamu barabara ya kilosa Mikumi via Ulaya, 73km. Ili nitinge na bajaji.

Asavari, shida ya kwenda ma'home' ipungue.


soon, dream will became a reality
 
Ukitokea kwa chamo hapo darajani inapooita reli hiyo bara bara inayotokea azimio inatoboa mpaka kilosa kwa boda boda ni masaa mawili tu
wasalimie kivungu.

Time is a good teacher, one day yes
 
Juzi nimetinga na kipasso changu mpaka kwa'' behewa'' full Mkeka.
nasuburia kwa hamu barabara ya kilosa Mikumi via Ulaya, 73km. Ili nitinge na bajaji.

Asavari, shida ya kwenda ma'home' ipungue.


soon, dream will became a reality
Daah kwa behewa sasa pametenganishwa na uhindini baada ya tuta la reli kupita ....
 
Ukitokea kwa chamo hapo darajani inapooita reli hiyo bara bara inayotokea azimio inatoboa mpaka kilosa kwa boda boda ni masaa mawili tu
na wakati kukatiza mbugani ni nusu saa tu jamani watanzania tusiwe primitive sana hii nchi ina mambuga kibao hii mikumi isitake kutuongezea garama kama mimi ningekua rais ningeacha national park kama kumi tu nyingine ningeruhusu wananchi wapimiwe viwanja na mashamba kuepusha chaos kama inayotokea saizi ngorongoro, handeni Tanga,na kilosa migogoro ya ardhi kila kukicha
 
Mkuu uwe unapitia hapa MSOWERO nikubebeshe MTWIKE
Juzi nimetinga na kipasso changu mpaka kwa'' behewa'' full Mkeka.
nasuburia kwa hamu barabara ya kilosa Mikumi via Ulaya, 73km. Ili nitinge na bajaji.

Asavari, shida ya kwenda ma'home' ipungue.


soon, dream will became a reality
 
Halafu wale Wanyama ungewahamishia VINGUNGUTI?
na wakati kukatiza mbugani ni nusu saa tu jamani watanzania tusiwe primitive sana hii nchi ina mambuga kibao hii mikumi isitake kutuongezea garama kama mimi ningekua rais ningeacha national park kama kumi tu nyingine ningeruhusu wananchi wapimiwe viwanja na mashamba kuepusha chaos kama inayotokea saizi ngorongoro, handeni Tanga,na kilosa migogoro ya ardhi kila kukicha
 
Back
Top Bottom