mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Lebanon hiyo si rudewa batiniHapo darajani Msowero? Utakuwa Lebanoni nini??😆
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lebanon hiyo si rudewa batiniHapo darajani Msowero? Utakuwa Lebanoni nini??😆
Mkuu viwanja vingi vilivyopimwa haviendelezwi vimebaki mapori watu wanalima mahindi, si ingekuwa busara kumaliza hivyo kwanza ndipo vipimwe vingine?wananchi wapimiwe viwanja na mashamba kuepusha chaos kama inayotokea saizi ngorongoro, handeni Tanga,na kilosa migogoro ya ardhi kila kukicha
pamoja na chonwe na udung'u piana wakati kukatiza mbugani ni nusu saa tu jamani watanzania tusiwe primitive sana hii nchi ina mambuga kibao hii mikumi isitake kutuongezea garama kama mimi ningekua rais ningeacha national park kama kumi tu nyingine ningeruhusu wananchi wapimiwe viwanja na mashamba kuepusha chaos kama inayotokea saizi ngorongoro, handeni Tanga,na kilosa migogoro ya ardhi kila kukicha
watu wanavishikilia vipande beiMkuu viwanja vingi vilivyopimwa haviendelezwi vimebaki mapori watu wanalima mahindi, si ingekuwa busara kumaliza hivyo kwanza ndipo vipimwe vingine?
mkuu wanyama si wanawindwa tu watu wale wanyama wanjanja watakimbia watakaobaki wataliwaHalafu wale Wanyama ungewahamishia VINGUNGUTI?