Ushauri Barabara ya Morogoro - Kilosa Kuikwepa Mikumi National Park

Ni pamoja na Mjini, kwa muhomwa na kichangani pia, Zimetengwa na Uhindini na Mtendeni
Hawajapitisha mahandaki ya kuvukia chini ya reli kama lile dogo la reli ya zamani lililokuwa linajaa maji msimu wa mvua?
 
wananchi wapimiwe viwanja na mashamba kuepusha chaos kama inayotokea saizi ngorongoro, handeni Tanga,na kilosa migogoro ya ardhi kila kukicha
Mkuu viwanja vingi vilivyopimwa haviendelezwi vimebaki mapori watu wanalima mahindi, si ingekuwa busara kumaliza hivyo kwanza ndipo vipimwe vingine?
 
pamoja na chonwe na udung'u pia
 
Mkuu viwanja vingi vilivyopimwa haviendelezwi vimebaki mapori watu wanalima mahindi, si ingekuwa busara kumaliza hivyo kwanza ndipo vipimwe vingine?
watu wanavishikilia vipande bei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…