Ushauri: BBC, CNN, VOA au Aljazeera, mumuhoji Erick Kabendera juu ya madai yake kuwa Magufuli alimpiga risasi Ben Saanane

Sio rahisi kwa taasisi hizo kumhoji, kwani wana taratibu zao. Kwanza, hata wao wanafanya utafiti wao kujiridhisha kuhusu hoja husika. Pili, wanachukua tahadhari ya kuhoji jambo hadharani wasije wakaingia kwenye mgogoro na nchi husika na kulipa fidia kubwa kubwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…