Ushauri: Biashara ya mchele kutoka Kahama Kupeleka Arusha

Ushauri: Biashara ya mchele kutoka Kahama Kupeleka Arusha

Unas
Nafanya hivyo biashara mimi, mpunga umeshuka saiv na hyo bei ndo bei yake kwa sasa

Saivi wanauza hvyo kwa sabab muda si mrefu sana mpunga mpya utaingia mzgoni na hiyo ni kawaida

Kwa faida ya 350/kg Ni kubwa sana, Mara nyingi faida ikizid huwa ni 250/kg

Ukitaka kujua mchele Kama zuri au mbaya, unachukua kidgo mkononi then unausugua au unaweka chin kwenye mfuko unasugua na kisigino, hvyo ndo huwa tunafanya

Mwisho biashara ya mchele ina faida kubwa Sana Kama ikikukubali
unasugua VP mkuu umeishia hewan
 
Mimi niliagizaga india cha kusugulia mpunga kuangalia kama mzuri wenzetu kumbe walikuwa wanakitumia tokea zaman sana .kinasidia sana maana kwamikono mikono inauma hatar
 
Mimi niliagizaga india cha kusugulia mpunga kuangalia kama mzuri wenzetu kumbe walikuwa wanakitumia tokea zaman sana .kinasidia sana maana kwamikono mikono inauma hatar
Kinauzwa bei gani mkuu?
 
Mimi niliagizaga india cha kusugulia mpunga kuangalia kama mzuri wenzetu kumbe walikuwa wanakitumia tokea zaman sana .kinasidia sana maana kwamikono mikono inauma hatar
Bei gani ?
 
Uzi ulikuwa na madini umeishia hapa sasa wengi wapo kwenye kulana tunda kimasihara.
 
Habari wadau,

Napita tu wadau, nasambaza upendo huu kwa wafanya biashara/makampuni tusiingie hasara;

31March ni deadline (siku ya mwisho) kufanya MAKADIRIO YA KODI. siku moja ya kuchelewa faini 225,000/=
KWA MSAADA ZAIDI NICHEKI 0788104228

ALARM.JPG
 
Back
Top Bottom