Ushauri: Biashara ya mchele kutoka Kahama Kupeleka Arusha

Unas
unasugua VP mkuu umeishia hewan
 
Mimi niliagizaga india cha kusugulia mpunga kuangalia kama mzuri wenzetu kumbe walikuwa wanakitumia tokea zaman sana .kinasidia sana maana kwamikono mikono inauma hatar
 
Mimi niliagizaga india cha kusugulia mpunga kuangalia kama mzuri wenzetu kumbe walikuwa wanakitumia tokea zaman sana .kinasidia sana maana kwamikono mikono inauma hatar
Kinauzwa bei gani mkuu?
 
Mimi niliagizaga india cha kusugulia mpunga kuangalia kama mzuri wenzetu kumbe walikuwa wanakitumia tokea zaman sana .kinasidia sana maana kwamikono mikono inauma hatar
Bei gani ?
 
Uzi ulikuwa na madini umeishia hapa sasa wengi wapo kwenye kulana tunda kimasihara.
 
Habari wadau,

Napita tu wadau, nasambaza upendo huu kwa wafanya biashara/makampuni tusiingie hasara;

31March ni deadline (siku ya mwisho) kufanya MAKADIRIO YA KODI. siku moja ya kuchelewa faini 225,000/=
KWA MSAADA ZAIDI NICHEKI 0788104228

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…