mahenda255
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 513
- 691
Tatzo hawa wadogo zetu hawataki jeshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Form 4 nilipata 3 ya 25 na form 6 hii div 4 ya 18 kombi HKLUngeenda college ulipomaliza kidato cha nne mwakani ungehitimu diploma yako safi.
Ok, taja combination yako na ufaulu wako wa form four na six tukushauri.
Unaonekana ulikuwa mtu wa club sana hkl kupata matokeo hayoForm 4 nilipata 3 ya 25 na form 6 hii div 4 ya 18 kombi HKL
Hamna mzeee matatizo tu ya hapa na pale wala sio hivo unavyofikiria ndugu yanguUnaonekana ulikuwa mtu wa club sana hkl kupata matokeo hayo