Sawa kaka ni kesi yenye makosa mawili kula njama na kutenda wizi sasa na hli LA kutenda wizi je adhabu yake ipoje kisheria
Sent using Jamii Forums mobile app
Good question, hii kitu nami inanishangazaKwanini tunapoteza mda na resources kuendesha kesi katika mahakama za chini kisha hakimu anasema hautakiwi kujibu chochote kwa sababu mahakama hii haina nguvu kisheria kusikiliza kesi yako,swali langu kama mahakama haina nguvu kisheria kwanini imefunguliwa pale huku wakijua mshitakiwa hatakiwi kujibu chochote kwanini wasingeifungua moja kwa moja kwenye mahakama husika?
Hata mm nimeshangaa badala ya kukusaidia wao wanakupinga, tena kwa kebehintajaribu mkuu, but hivi vitu vinakatisha tamaa, mfano nimejitolea tu hapa kushauri watu bure lakini wameibuka watu wengine hao na kuanza kuaribu uzi utadhani hapa mim labda nalipwa.
hakuna hati inayotolewa na serikali za mitaa, haziwi valid, na hakuna sheria inayowaruhusu hao watu wa mitaani kutoa hati, hati zote halali ni zile zinazotolewa na wizara ya ardhi moja kwa moja au kutumia ofisi za almashauri ambao hao wizara ya ardhi wameelekeza maombi ya hati za umiliki viwanja vinatolewa, sheria inatambua baraza la ardhi la kijiji ndio angalau litatoa hati miliki ya kiasili (Customary Right of Occupancy) kwa ardhi ya kijiji.Je hati za kiwanja cha Makazi au shamba zinazotolewa na serikali za mitaa zinakua valid mahakamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
ndivyo walivyo wanadamu.Hata mm nimeshangaa badala ya kukusaidia wao wanakupinga, tena kwa kebehi
Wengine hatujui sheria hivyo kupitia hapa tunajifunza, wao walipaswa washauri pale ulipokosea au waanzishe maada wadau tutakuja na maswali yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
well, mkuu swali zuri sanaa, kisheria hiko hivi, kuna makosa ambayo yanapelekwa mahakama kuu tu kama mauaji, uhaini, ufisadi wa pesa kubwa na madawa ya kiasi kikubwa lakini pia nyara za serikali, sasa makosa haya yote ni jinai, na kwa mujibu wa sheria za jinai hakuna kesi yoyote itakayopelekwa mahakama kuu moja kwa moja pasipo kupitia mahakama ya wilaya au hakimu mkazi, lengo na maudhui ni kukamilisha ushahidi na utaratibu wote utakao tumika mahakama kuu.
kwaio utaona mshtakiwa anaambiwa na hakimu kua "mshitakiwa mahakama hii haina uwezo wa kusikiliza kesi hii, hapa imekuja kwa maulizo na hautopaswa kusema chochote",,, sasa akishaambiwa hivi upande wa mashtaka/jamhuri utamsomea orodha ya mashahidi watakao toa ushahidi wao mahakama kuu, utamsomea vile vile vizibiti vitakavyotumika kama ushahidi, hatua hii kisheria huitwa PI-Preliminary Inquiries, then wakimaliza utaritibu huu, file linachukuliwa kama lilivyo linapelekwa mahakama kuu kwa ajili ya kuanza kusikilizwa rasmi.
sasa kisheria ktk masikilizo ya kesi yoyote ya jinai ni lazima kuwe na masikilizano ya awali ambayo huitwa Preliminary Hearing ambapo hii ina dhima ya kusave muda ambapo kuna vitu mshitakiwa ata vikubali na havitazungumziwa tena kwenye kesi na kuna document hapa inaitwa Memorundum of agreed facts itasainiwa na mshitakiwa.
Shukran sana mkuu, nitakuja na maswali menginehakuna hati inayotolewa na serikali za mitaa, haziwi valid, na hakuna sheria inayowaruhusu hao watu wa mitaani kutoa hati, hati zote halali ni zile zinazotolewa na wizara ya ardhi moja kwa moja au kutumia ofisi za almashauri ambao hao wizara ya ardhi wameelekeza maombi ya hati za umiliki viwanja vinatolewa, sheria inatambua baraza la ardhi la kijiji ndio angalau litatoa hati miliki ya kiasili (Customary Right of Occupancy) kwa ardhi ya kijiji.
nikweli usemacho kaka anguAnaonekana kasoma law, ila kashindwa kuwa Wakili kwa sababu aidha kafeli Law School au kafaulu ila akanyimwa uwakili kwa sababu ya misconduct, au hajaenda law school kabisa kwa kuwa n masikini na hana hela. Kati ya hayo ni majibu.
Kimaadili, Wakili hawezi Ku behave kama huyu na kimsingi, kuna kupingana kwa hoja ila kuna namna bora sana ya kupinga na siyo kama anavyofanya Hutu.
Ana stress fulani
Unacho takiwa ni kulipa kama umeptliza muda mahakama inaweza kumuaward mdai wako kwa ww kutoa fyn kufungwa haiwzkan unless ukatae kulpa kwa maksudiHabari Mkuu. Kama mtu anakudai, let say shilingi 100, na umeshalipa asilimia 60 ya deni. Jee akifungua kesi mahakamani , kuna uwezekano wa kufungwa? Au mahahakama inakuwa na uamuzi wa aina gani? Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sheria inasemaje pale inapotokea polisi wanataka kupekua nyumba ya mtu, na baada ya kumaliza Kupekuwa wanawajibika kufanyaje ?ndivyo walivyo wanadamu.
Unaweza kufungwa ukishindwa kutekereza amri ya mahakama juu ya shauri la madai.hauwezi kua hatiani kwa kosa alilolifanya ila isipokua kitu ulichoweka bond either hela au nyumba wakati wa kumdhamini mtuhumiwa basi ndio vitakavyo chukuliwa.
Katika ethics za kisheria ww pter ndo unakosea, unakuwa na hisia za hasira kisa tu kupingwa na kusema amesoma za Libya. Law is about argument.
Jaribu kusoma RULING za HC pale ambapo kuna dissenting opinion or conflict decision of the same Court horizontally.
Plz use Legal language to challenge ur fellow learned member of the bar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo mazuri pia naongeza hayo yanaitwa "COMMITTAL PROCEEDINGS"
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, 666 chata "HAPO HAKUNA UKOMO"
Wakati wa kuomba Mirathi hutegemea na marehemu alikufa kwa kuacha wosia (testacy) ama bila wosia (intestacy). Sasa wakt wa kufungua MIRATHI huwa kuna nyaraka zinaambatanishwa, ambazo pamoja na mambo mengine ni:-
1. Mhutasari wa wanaukoo au wosia
2. Cheti cha kifo kutoka RITA
3. fomu za mirathi ikiwa imejazwa sahihi
4. Ada ya mahakama n.k
Vitu hv vinatakiwa ndani ya miezi 3. Sasa kanuni ya 31 inaweka mazingira kuwa endapo mtu hataleta hv vitu ndan ya miaka 3 basi aongezee (i.e 5. hapo juu) maelezo ya kwa nn amechelewa zaidi ya miaka 3. Akiambatanisha tu maelezo basi kesi inafunguliwa. Na maelezo hayo sio extension of time kama ilivyo kwny torts (3yrs), contract (6yrs) , land (12yrs), Fatal accident 6 months) n.k
So naungana na PTER kuwa hakuna ukomo ili kuna kuongeza nyaraka baada ya miaka 3 kupita.
NB: Sheria hupendeza sana kutoa hoja na supporting authority (section of law or precedence)View attachment 1029965
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nimeona hata na wewe hapa nisikuache hivi hivi, naomba nikueleweshe kuhusu hio kanuni uliyo i quite na hayo maelezo yako, hahahaha, ni kwamba kanuni ya 31 inatumika kwenye kufanya application upya kabisa endapo mtu atakua kachelewa kufanya application baada ya miaka mitatu, na sio et akichelewa kuleta izo barua sijui vyeti rita hahaha, soma ata marginal note hapo, alaf rule hio iko ndani ya sehemu ya sita ambayo ina husu taratibu za mtu kua granted letter/probate, lakini sijui ata unaitafsiri vipi rule 31(1) mbona iko very clear, ivi ukiisoma hii rule inaendana na iki ulichokiandika hapa? really?.... anyway its hard to point a finger to a lawyer if your one among of them,,, lakini interpretation of law hua ni tatizo kubwa sanaa kwa wanasheria wengi. hivi mkuu ni petition gani itapokelewa mahakamani endapo ikiwa haina ivyo vitu vinne ulivyovitaja? so unataka kuniambia wewe mwanasheria unaweza kufanya application ya probate ikiwa na will na zile forms tu labda alaf mahakama ikapokea ikawa inakusubiri wewe ndani ya miaka mitatu uvilete ivyo vitu then ndio iendelee? really? mahakama gani hio?
Makadirio ya gharama za kumlipia "civil prisoner" kwa siku ni TZS ngapi mkuu kwa sasa?.ni mfungwa wa madai ambae anakua yuko gerezani chini ya gharama za anaemdai mpaka pale atakapo kubali kulipa anachodaiwa ndio ataachiwa na kulipa na gharama zingine za usumbufu.