Ushauri bure kwa Kesi yoyote ya Madai au Jinai

Sawa kaka ni kesi yenye makosa mawili kula njama na kutenda wizi sasa na hli LA kutenda wizi je adhabu yake ipoje kisheria

Sent using Jamii Forums mobile app

adhabu za makosa ya wizi zimeorodheshwa ndani ya sura ya xxvii ya sheria hizo za kanuni za adhabu namba 16 adhabu yake inaweza kua miaka 10, 15, 14, 7 tokana na kosa lenyewe.
 
Good question, hii kitu nami inanishangaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ntajaribu mkuu, but hivi vitu vinakatisha tamaa, mfano nimejitolea tu hapa kushauri watu bure lakini wameibuka watu wengine hao na kuanza kuaribu uzi utadhani hapa mim labda nalipwa.
Hata mm nimeshangaa badala ya kukusaidia wao wanakupinga, tena kwa kebehi
Wengine hatujui sheria hivyo kupitia hapa tunajifunza, wao walipaswa washauri pale ulipokosea au waanzishe maada wadau tutakuja na maswali yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je hati za kiwanja cha Makazi au shamba zinazotolewa na serikali za mitaa zinakua valid mahakamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna hati inayotolewa na serikali za mitaa, haziwi valid, na hakuna sheria inayowaruhusu hao watu wa mitaani kutoa hati, hati zote halali ni zile zinazotolewa na wizara ya ardhi moja kwa moja au kutumia ofisi za almashauri ambao hao wizara ya ardhi wameelekeza maombi ya hati za umiliki viwanja vinatolewa, sheria inatambua baraza la ardhi la kijiji ndio angalau litatoa hati miliki ya kiasili (Customary Right of Occupancy) kwa ardhi ya kijiji.
 
Uko vzr
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukran sana mkuu, nitakuja na maswali mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nikweli usemacho kaka angu
 
Habari Mkuu. Kama mtu anakudai, let say shilingi 100, na umeshalipa asilimia 60 ya deni. Jee akifungua kesi mahakamani , kuna uwezekano wa kufungwa? Au mahahakama inakuwa na uamuzi wa aina gani? Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unacho takiwa ni kulipa kama umeptliza muda mahakama inaweza kumuaward mdai wako kwa ww kutoa fyn kufungwa haiwzkan unless ukatae kulpa kwa maksudi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndivyo walivyo wanadamu.
Mkuu sheria inasemaje pale inapotokea polisi wanataka kupekua nyumba ya mtu, na baada ya kumaliza Kupekuwa wanawajibika kufanyaje ?

Na unapokamatwa n'a polisi inatakiwa kisheria ndani ya muda gani wawe wamekuchukua maelezo ? na inapotokea ktk maelezo uliyoyatoa polisi ukagundua siku yanaposomwa mahakamani kuna kitu kimeongezwa, Je inatakiwa ufanyaje ili mahakama ijue kuwa kuna uchakachuaji ktk maelezo yk uliyotoa police,

KWA FAIDA YA WOTE,
 
Mkuu nilijaribu kumwelewesha bila kunielewa.
Majibu yake yakutaka kujua utimamu wa akili zangu ndiyo ulionipa doubts ya sheria alizosoma achilia mbali mapungufu ya ushauri anaotoa.

By the way sikufanya hivyo kwa nia ya kuharibu uzi wake na kumshambulia mtoa mada personally bali kwa lengo la kumsahihisha kidogo na atoe ushauri mzuri kwa walengwa wake .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hii ndiyo tafsiri sahihi ya kanuni ya 31(1)
Sivyo alivyokuwa analazimisha nakuanza kuleta kejeli za kitoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii rule wakili inakuchenga jaribu kuisoma kwa utulivu uielewe.
Kwenye petition for probate or letters of administration hatuna time limitation.
Kumbuka time limitation is a bar to jurisdiction lakini kifungu hicho kinatoa mwongozo tu wa nini kifanyike ikiwa muda wa miaka mitatu umepita.
Unless hiyo sheria unayoitumia wewe siyo tunayoijua sisi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu naombeni msaada wenu...niliianzishia Uzi hii ishu ila naona INA views zaidi na mia ila replies ni zero. Naombeni msaada wakuu

Mimi ni mgeni kabisa katika hili jukwaa la sheria na limefika hapa baada ya kutatizwa na hii kitu inayojulikana kama mgongano wa kimaslahi au conflict of interest kwa kimombo. Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Kuna makubaliano ya uchimbaji wa Madini ya Dhahabu nataka kuingia na Jamaa Fulani hivi, basi katika mkataba huo wakaweka sehemu ya mgongano wa kimaslahi. Katika vipengele vyake kikawepo kimoja ambacho ndo kinanyima Amani Kabisa. Kinasema "Mbia Namba moja (ambaye ndo Mimi) hataruhusiwa kuchimba Dhahabu katika eneo la masumbe au kuwa na hisa ya uchimbaji na mtu yoyote katika eneo hili, pia hatatakiwa kuchimba wala kuwekeza katika uchimbaji katika Wilaya ya KAHAMA kwa kipindi chote cha mkataba huu". Jambo la kusikitisha sana ni kwamba hawataki niwe Mwanachama katika maduara yao ila nina gawio la 10% katika faida itakayopatikana kutokana na uchimbaji tunaofanya.

Sasa wakuu kitu ninachoomba kujua Kutoka kwa wanasheri, je hii kitu ya conflict of interest inatambuliwa na sheria Zetu? Na je application yake inakuweje? Je hiki hawa Jamaa zangu wanachong'ang'ania kibakubalika kisheria?

Kuna Jamaa yangu lawyer nimeongea Naye akaniambia inatakiwa tu ku-declare kwao kuwa nafanya pia Biashara inayofanana na Biashara tunayotaka Kufanya pamoja na si vinginevyo, Je hii ni kweli wakuu Wangu.

Naomba mnisaidie nguli wa sheria maana naona kama mkataba huu unaenda kunifunga pingu kwenye utafutaji Wangu maana shughuli zangu nyingi zinahusisha uchimbaji wa Dhahabu hasa hasa Kanda ya Ziwa.

Naomba msaada wenu wakuu
 
Nimependa ushauri wako. Sasa na Mimi naomba msaada wa kisheria. Nina mdeni wangu namdai 600,000 tangu novemba 2017. Mpaka sasa nikimdai anasema atanipa. Deni lenyewe ni kuwa tuliuziana mali halali, akanilipa inakabaki hiyo balance ila hatukupeana muda maalumu wa kumaliza malipo. Swali, naweza kumpeleka Mahakamani na akalazimishwa kulipa? Je ni mahakama ipi? Ya mwanzo au ya Wilaya. Je, lazima nifungue kesi katika mahakama ya mahali tulipofanyia mauziano? Au mahakama ya popote ambapo ni convinient kwangu kuhudhuria? Naweza kumdai riba na gharama za kuendesha kesi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…