Huyo ni mropokaji na sio msemaji...
Sijui kwanini kazi hizi za wasemaji zinapewa watu wasio na staha, kunena ovyo, wasio na elim nk...
Embu wajifunze kwa clubs kubwa duniani wasemaji wanavyokuwa smart sana.
Kwanza kwa wenzetu wasemaji wa Timu ni Makocha sio kama huku kwetu kwa Waganga njaa...
Sent using
Jamii Forums mobile app