USHAURI: Busara itumike kumsaidia kiafya msemaji wa Simba(Haji Manara).

Kweli kabisa mie ni Simba ila sipendi kuwa na waropokaji kama Manara. Mpira ni kitu cha staha unatakiwa umheshimu mpinzani wako na sio kuwa disrespectful.

Kwani hawaoni ulaya hakuna tambo za kipumbavu kama hapa kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…