ndio maana nasemaga humu, watanzania wenye akili ni wachache sana,Sasa wakati hiyo Marumo Galants inafuzu kucheza hayo mashinfano, si ilikuwa ina sifa zinazotakiwa! Maana yake ilikuwa katika zile timu nne bora za juu katika ligi yao.
Yaani ni sawa na kusema Chelsea nayo iangaliwe na UEFA, maana kwenye ligi ya Uingereza kwa sasa iko nafasi ya 11, huku ikitakiwa pia kucheza na Real Madrid kwenye Robo fainali ya Klabu Bingwa Ulaya! Na msimu uliopita, ilishika nafasi ya 4 kwenye ligi ya EPL!
Hivyo naomba nihitimishe kwa kusema kwamba hoja yako haina mashiko. Na uniwie radhi, kama hutaridhishwa na haya maoni yangu.
Hakika mkuu.Hii nchi imejaa majitu mapumbavu sana. Basi tu ni kwamba kisheria hairuhusiwi kuyaua *****
Haishangazi kua ccm itatawala milelendio maana nasemaga humu, watanzania wenye akili ni wachache sana,
Huyo ni mwana🦁 akiwaonea wivu watani zake kwa mafanikio yao makubwa mpotezeeni🏃Sasa wakati hiyo Marumo Galants inafuzu kucheza hayo mashinfano, si ilikuwa ina sifa zinazotakiwa! Maana yake ilikuwa katika zile timu nne bora za juu katika ligi yao.
Yaani ni sawa na kusema Chelsea nayo iangaliwe na UEFA, maana kwenye ligi ya Uingereza kwa sasa iko nafasi ya 11, huku ikitakiwa pia kucheza na Real Madrid kwenye Robo fainali ya Klabu Bingwa Ulaya! Na msimu uliopita, ilishika nafasi ya 4 kwenye ligi ya EPL!
Hivyo naomba nihitimishe kwa kusema kwamba hoja yako haina mashiko. Na uniwie radhi, kama hutaridhishwa na haya maoni yangu.
Sasa wakati hiyo Marumo Galants inafuzu kucheza hayo mashinfano, si ilikuwa ina sifa zinazotakiwa! Maana yake ilikuwa katika zile timu nne bora za juu katika ligi yao.
Thread closed...Sasa wakati hiyo Marumo Galants inafuzu kucheza hayo mashinfano, si ilikuwa ina sifa zinazotakiwa! Maana yake ilikuwa katika zile timu nne bora za juu katika ligi yao.
Yaani ni sawa na kusema Chelsea nayo iangaliwe na UEFA, maana kwenye ligi ya Uingereza kwa sasa iko nafasi ya 11, huku ikitakiwa pia kucheza na Real Madrid kwenye Robo fainali ya Klabu Bingwa Ulaya! Na msimu uliopita, ilishika nafasi ya 4 kwenye ligi ya EPL!
Hivyo naomba nihitimishe kwa kusema kwamba hoja yako haina mashiko. Na uniwie radhi, kama hutaridhishwa na haya maoni yangu.
Unajua raja Casablanca inashika nafasi ya ngapi??Kuna hii timu kutoka South Afrika inaitwa Marumo Garants wao wanashika nafasi ya mwisho 16 kati ya timu 16 wana points 20 katika michezo 23 Wameshinda michezo mitatu sare 11 vichapo 9.
Cha ajabu wao ndiyo wanaongoza group A kombe la CAFCC wana points 12 huku USM Alger wakiwa nafasi ya pili na points 11.
THIS IS THE REAL MEANING OF LOSERS TOURNAMENT
[/ATTACH]
Na wanamachale sana kutoruhusu bomba kuuzwa kama njugu kama marekani me ningeanza na mapungazeze manake yapo mengi sana huku kino...Hii nchi imejaa majitu mapumbavu sana. Basi tu ni kwamba kisheria hairuhusiwi kuyaua *****
Jibu zuri sanaUnajua raja Casablanca inashika nafasi ya ngapi??
Hao malumo wameamua kuweka nguvu huko shirikisho
Na kipindi wanaingia kwenye haya mashindano si wao ndiyo walistahili kiufupi ushauri wako kamshauri mo dewj asajili wachezaji wa viwango.
Bonge la goliSasa wakati hiyo Marumo Galants inafuzu kucheza hayo mashinfano, si ilikuwa ina sifa zinazotakiwa! Maana yake ilikuwa katika zile timu nne bora za juu katika ligi yao.
Yaani ni sawa na kusema Chelsea nayo iangaliwe na UEFA, maana kwenye ligi ya Uingereza kwa sasa iko nafasi ya 11, huku ikitakiwa pia kucheza na Real Madrid kwenye Robo fainali ya Klabu Bingwa Ulaya! Na msimu uliopita, ilishika nafasi ya 4 kwenye ligi ya EPL!
Hivyo naomba nihitimishe kwa kusema kwamba hoja yako haina mashiko. Na uniwie radhi, kama hutaridhishwa na haya maoni yangu.
Bahati mbaya kati ya hao waTanzania wenye akili Utopoloni Jangwani Yanga kuna wawili pekee wenye akilindio maana nasemaga humu, watanzania wenye akili ni wachache sana,