Ushauri: CAF waangalie upya sifa za timu kushiriki kombe la shirikisho

Ushauri: CAF waangalie upya sifa za timu kushiriki kombe la shirikisho

Ww ni mjinga sana [emoji706],haishangazi kuona nchi hii ipo hapa ilipo maana watu wenyewe wengi ni kama ww.

Hiyo team msimu uliopita ilikua top four na ndiomana ikafuzu ktk mashindano ya CAF sasa hapo hoja yako ni ipi?

Kipindi Chelsea wanachukua UEFA msimu ule walikua na msimu mbovu ktk ligi lkn wakaenda kubeba uefa, na msimu huu Chelsea ni ya 11 lkn wapo robot final UEFA je UEFA ni kombe la loosers?

Ww ni takataka View attachment 2576452
Tena ni ile takataka ya kuchoma moto
 
UTOPOLO WOTE HAWANA AKILI TIMAMU
mkuu jifunze maswala ya mpira
maana unaonekana umekurupuka
mbaya zaidi umeonekana ni shabiki wa simba
halaf una akili za watu wa yanga.
umetutia aibu dah!
 
Looser [emoji777]

Loser [emoji3581]


Mkiambiwa hamna akili mnakasirika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kablyie ni wa pili kutoka mwisho ligi ya Algeria ila kafuzu robo final champion ligi je na huko simba ni kwa waliofeli? Ww ni takataka..over
 
Kuna hii timu kutoka South Afrika inaitwa Marumo Garants wao wanashika nafasi ya mwisho 16 kati ya timu 16 wana points 20 katika michezo 23 Wameshinda michezo mitatu sare 11 vichapo 9.

Cha ajabu wao ndiyo wanaongoza group A kombe la CAFCC wana points 12 huku USM Alger wakiwa nafasi ya pili na points 11.

THIS IS THE REAL MEANING OF LOSERS TOURNAMENT

Imagine serikali imetumia resources zake kuhesabu watu kama hawa!
 
Kuna hii timu kutoka South Afrika inaitwa Marumo Garants wao wanashika nafasi ya mwisho 16 kati ya timu 16 wana points 20 katika michezo 23 Wameshinda michezo mitatu sare 11 vichapo 9.

Cha ajabu wao ndiyo wanaongoza group A kombe la CAFCC wana points 12 huku USM Alger wakiwa nafasi ya pili na points 11.

THIS IS THE REAL MEANING OF LOSERS TOURNAMENT

Hoja ikijengwa kwa msingi wa chuki na mihemuko badala ya facts inakuwa hoja dhaifu
 
Hao Gallants kuongoza kundi nadhani kuna udanganyifu ulifanyika katika mechi ya mwisho. Walikuwa wawe wa pili.
 
JF siku hizi kuna mataahira mengi, ila sikujua naweza kukutana na taahira la kiwango hiki.
 
Huu uzi mbona uto wanaupinga Sana ? Ukweli mchungu , dawa imewaingia
20220714_160534.jpg
 
Kablyie ni wa pili kutoka mwisho ligi ya Algeria ila kafuzu robo final champion ligi je na huko simba ni kwa waliofeli? Ww ni takataka..over
Mzee Rage aliona mbali sana FAR Rabat yupo shirikisho na anaongoza ligi ya Morocco mbele ya Raja na Wydad walio wagonga mbele na nyuma hawa jamaa sijui akili walipeleka wapi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom