4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Wakuu amani ya Bwana ikawe juu yenu.
Mzee Mwaniri amekua mkuu wa Mkoa Tabora ila pia ameshika nyadhifa Mbali Mbali ndani ya nchi yetu,
Uyu mzee anamapigo ya G z , siasa za nchi hii zinazidi changamka Sana , nami ni ombi langu ziendelee changamka .
Mleteni uyu mzee kama makam wa ccm , mtanishukuru badae .
Ni mda wa watu kujibizana kwa hoja nzito sio kutekana .
Bwana kanipa kibari cha kuwashauri japo mie sio mwanachama wenu, ila nchi yetu wote.
Sasa mleteni uyu mzee tz itachangamuka sana, itakua spana juu ya spana.
Thanks
Mzee Mwaniri amekua mkuu wa Mkoa Tabora ila pia ameshika nyadhifa Mbali Mbali ndani ya nchi yetu,
Uyu mzee anamapigo ya G z , siasa za nchi hii zinazidi changamka Sana , nami ni ombi langu ziendelee changamka .
Mleteni uyu mzee kama makam wa ccm , mtanishukuru badae .
Ni mda wa watu kujibizana kwa hoja nzito sio kutekana .
Bwana kanipa kibari cha kuwashauri japo mie sio mwanachama wenu, ila nchi yetu wote.
Sasa mleteni uyu mzee tz itachangamuka sana, itakua spana juu ya spana.
Thanks