CCM inajifia, mrithi mwenye kuaminika ni CDM, sasa hata ushauri mzuri kwann usipokelewe?Nimekusoma vizuri sana. Ndio maana nashangaa kwa nini unapoteza muda kuishauri CHADEMA? Una fungamano gani huko?
Jus’ move on; and keep moving - with the party, CCM.
Dr Slaa hajawahi kuvuliwa uanachama wa CHADEMA. Bado ni mwanaCHADEMA damdam na anafanya kazi za ukomboxi na utetezi wa rasilimali za umma kama kawaida.Salaam, Shalom!!
Ndugu Mnyika anafanya vizuri, lakini Bado hajafikia viwango vya Dr Slaa, Mnyika anaweza kupewa nafasi nyeti kuelekea uchaguzi huku Dr Slaa akifanikisha njia nyeupe Kwa chama.
ZIFUATAZO, ni sababu kwanini CHADEMA inamuhitaji zaidi Dr Slaa.
1. KUFAIL KWA MARIDHIANO.
Jambo hili Bado Lina maswali mengi ndani na nje ya chama, muda uliopotea kukaa mezani na mahasimu CCM Bado unaleta maswali yasojibika, tukijiuliza, chama kimeachieve nini katika maridhiano Yale, hakuna majibu ya Moja Kwa moja zaidi ya lawama,hivyo kupunguza maswali haya, Leteni ingizo jipya ambalo ni Dr Slaa turudi katika siasa za kiuanaharakati.
2. MIKAKATI THABITI KUELEKEA UCHAGUZI.
Najua mnapanga kushiriki uchaguzi, Dr Slaa Bado ni chaguo zuri. Ubora wake katika mipango thabiti unajulikana.
3. KULETA HAMASA KWA WANANCHI WASIOPENDA UFISADI NA RUSHWA.
Dr Slaa aliondoka akipishana na Lowwassa, na imethibitika kuwa Lowwassa ni Liability Kwa chama, maana amerudia nyumbani kwao, hivyo Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka. majuzi KM ndugu Mnyika amenukuliwa akisema kuwa, pia hakufurahia ujio wa Lowassa chamani, na ndio chanzo Cha ukimya wake wakati Ule, hivyo kurejea kwake Dr Slaa, kutaamsha tumaini jipya.
4. ANAAMINIKA KWA MAKUNDI YOTE.
Dr Slaa ni mtu mwenye misimamo isoyumba, hivyo ujio wake utaleta taswira mpya kuelekea harakati za kupata Tume huru kabla ya Uchaguzi wowote. Vijana watajitokeza tena Kwa wingi mikutanoni sababu aliaminika sana enzi zake.
Kundi kubwa lililohama CHADEMA na lingine kususia siasa baada ya Lowassa mwenye kashfa za ufisadi alipopewa nafasi, litarejea na Dr Slaa ikiwa atarudishwa tena chamani Kwa nafasi ya Katibu MKUU.
5. UANDAAJI WA SERA ZA CHAMA NA ILANI YA UCHAGUZI KWA MIAKA MITANO IJAYO 2025-2030.
Mchango wa Dr Slaa, hata hauhitaji Utafiti, maana alisaidia sana CHADEMA kuwa chama chenye sera thabiti ambazo nyingi ziliibwa na kutumiwa na chama tawala wakati huo 2015.
ANGALIZO: Chama chakavu Hadi sasa hakina KM, So Ingizo la Dr Slaa Kwa wakati huu, lazima utaleta mtikisiko Kwa chama tawala.
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni. 🙏
Ndo arudishwe nafasi ya u- KM Ili kuongeza nguvu ya kupatikana Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi 2025.Dr Slaa hajawahi kuvuliwa uanachama wa CHADEMA. Bado ni mwanaCHADEMA damdam na anafanya kazi za ukomboxi na utetezi wa rasilimali za umma kama kawaida.
Kweli kabisa. Aishauri CCM na CHADEMA pamwe? No. Atulie sehemu moja akae atulize tako tuli. Asitangetange kama kuku anayetaka kutaga.Nimekusoma vizuri sana. Ndio maana nashangaa kwa nini unapoteza muda kuishauri CHADEMA? Una fungamano gani huko?
Jus’ move on; and keep moving - with the party, CCM.
Itapendeza sana !COVID 19 watarudishwa CDM na kusamehewa,
So iweje Kwa Slaa asiaminike?
Sasa ningekuwa CCM, Si ningewashauri wamchukue baada ya kujiuzilu Chongolo?Kweli kabisa. Aishauri CCM na CHADEMA pamwe? No. Atulie sehemu moja akae atulize tako tuli. Asitangetange kama kuku anayetaka kutaga.
Unavyofahamu wewe, kwani sasa hivi Dr Slaa anatetea nini?Ndo arudishwe nafasi ya u- KM Ili kuongeza nguvu ya kupatikana Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi 2025.
Chama kirudi katika taswira yake ya awali ya uanaharakati na utetezi wa wasio na sauti.
Timu ya ushindi ikamilike.
Jikite upande mmoja....usiwe kama popo au kuku anayetafuta mahali pa kutagia.Sasa ningekuwa CCM, Si ningewashauri wamchukue baada ya kujiuzilu Chongolo?
CHADEMA inapigiwa kura na wanachama na wasio wanachama.
Hivyo wananchi tuna HAKI ya Kutoa ushauri.
Nipo upande wa Kweli na HAKI.Jikite upande mmoja....usiwe kama popo au kuku anayetafuta mahali pa kutagia.
Kama unakumbuka nilikwambia Kuna njia mbili,Mbinu zote za kisiasa za kudai Katiba zimefeli!
Mbowe kanyamaza coz mkataba upon mezani namna ya kugawana keki!
Turufu pekee iliyobaki ni the state yaani dola kama Dola kuzuia uchaguzi bila iatiba mpya!
Yaani Dola ianze KAZI ya kupukutisha wasaka urais hadi wakiogope kiti Cha urais!!
Hadi chama chetu kianze kuuliza mnataka nini!!?
Tusubiri tuone kilichoamuliwa na dola kama wameamua Katiba iliyopo iendelee na ccm mbele Kwa mbele Bas!
Hakuna namna!!
Aliyepo angekubali mpango wa KATIBA mpya,Mbinu zote za kisiasa za kudai Katiba zimefeli!
Mbowe kanyamaza coz mkataba upon mezani namna ya kugawana keki!
Turufu pekee iliyobaki ni the state yaani dola kama Dola kuzuia uchaguzi bila iatiba mpya!
Yaani Dola ianze KAZI ya kupukutisha wasaka urais hadi wakiogope kiti Cha urais!!
Hadi chama chetu kianze kuuliza mnataka nini!!?
Tusubiri tuone kilichoamuliwa na dola kama wameamua Katiba iliyopo iendelee na ccm mbele Kwa mbele Bas!
Hakuna namna!!
Anzisha chama umsajili Dr. Slaa na mumpe ukatibu mkuuSalaam, Shalom!!
Ndugu Mnyika anafanya vizuri, lakini Bado hajafikia viwango vya Dr Slaa, Mnyika anaweza kupewa nafasi nyeti kuelekea uchaguzi huku Dr Slaa akifanikisha njia nyeupe Kwa chama.
ZIFUATAZO, ni sababu kwanini CHADEMA inamuhitaji zaidi Dr Slaa.
1. KUFAIL KWA MARIDHIANO.
Jambo hili Bado Lina maswali mengi ndani na nje ya chama, muda uliopotea kukaa mezani na mahasimu CCM Bado unaleta maswali yasojibika, tukijiuliza, chama kimeachieve nini katika maridhiano Yale, hakuna majibu ya Moja Kwa moja zaidi ya lawama,hivyo kupunguza maswali haya, Leteni ingizo jipya ambalo ni Dr Slaa turudi katika siasa za kiuanaharakati.
2. MIKAKATI THABITI KUELEKEA UCHAGUZI.
Najua mnapanga kushiriki uchaguzi, Dr Slaa Bado ni chaguo zuri. Ubora wake katika mipango thabiti unajulikana.
3. KULETA HAMASA KWA WANANCHI WASIOPENDA UFISADI NA RUSHWA.
Dr Slaa aliondoka akipishana na Lowwassa, na imethibitika kuwa Lowwassa ni Liability Kwa chama, maana amerudia nyumbani kwao, hivyo Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka. majuzi KM ndugu Mnyika amenukuliwa akisema kuwa, pia hakufurahia ujio wa Lowassa chamani, na ndio chanzo Cha ukimya wake wakati Ule, hivyo kurejea kwake Dr Slaa, kutaamsha tumaini jipya.
4. ANAAMINIKA KWA MAKUNDI YOTE.
Dr Slaa ni mtu mwenye misimamo isoyumba, hivyo ujio wake utaleta taswira mpya kuelekea harakati za kupata Tume huru kabla ya Uchaguzi wowote. Vijana watajitokeza tena Kwa wingi mikutanoni sababu aliaminika sana enzi zake.
Kundi kubwa lililohama CHADEMA na lingine kususia siasa baada ya Lowassa mwenye kashfa za ufisadi alipopewa nafasi, litarejea na Dr Slaa ikiwa atarudishwa tena chamani Kwa nafasi ya Katibu MKUU.
5. UANDAAJI WA SERA ZA CHAMA NA ILANI YA UCHAGUZI KWA MIAKA MITANO IJAYO 2025-2030.
Mchango wa Dr Slaa, hata hauhitaji Utafiti, maana alisaidia sana CHADEMA kuwa chama chenye sera thabiti ambazo nyingi ziliibwa na kutumiwa na chama tawala wakati huo 2015.
ANGALIZO: Chama chakavu Hadi sasa hakina KM, So Ingizo la Dr Slaa Kwa wakati huu, lazima utaleta mtikisiko Kwa chama tawala.
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni. 🙏
Usiwajibie CHADEMA tafadhali.Anzisha chama umsajili Dr. Slaa na mumpe ukatibu mkuu
Photo copy ya CCM.Twende na ACT Wazalendo basi
Kwani alifukuzwaSalaam, Shalom!!
Ndugu Mnyika anafanya vizuri, lakini Bado hajafikia viwango vya Dr Slaa, Mnyika anaweza kupewa nafasi nyeti kuelekea uchaguzi huku Dr Slaa akifanikisha njia nyeupe Kwa chama.
ZIFUATAZO, ni sababu kwanini CHADEMA inamuhitaji zaidi Dr Slaa.
1. KUFAIL KWA MARIDHIANO.
Jambo hili Bado Lina maswali mengi ndani na nje ya chama, muda uliopotea kukaa mezani na mahasimu CCM Bado unaleta maswali yasojibika, tukijiuliza, chama kimeachieve nini katika maridhiano Yale, hakuna majibu ya Moja Kwa moja zaidi ya lawama,hivyo kupunguza maswali haya, Leteni ingizo jipya ambalo ni Dr Slaa turudi katika siasa za kiuanaharakati.
2. MIKAKATI THABITI KUELEKEA UCHAGUZI.
Najua mnapanga kushiriki uchaguzi, Dr Slaa Bado ni chaguo zuri. Ubora wake katika mipango thabiti unajulikana.
3. KULETA HAMASA KWA WANANCHI WASIOPENDA UFISADI NA RUSHWA.
Dr Slaa aliondoka akipishana na Lowwassa, na imethibitika kuwa Lowwassa ni Liability Kwa chama, maana amerudia nyumbani kwao, hivyo Dr Slaa alikuwa sahihi kuondoka. majuzi KM ndugu Mnyika amenukuliwa akisema kuwa, pia hakufurahia ujio wa Lowassa chamani, na ndio chanzo Cha ukimya wake wakati Ule, hivyo kurejea kwake Dr Slaa, kutaamsha tumaini jipya.
4. ANAAMINIKA KWA MAKUNDI YOTE.
Dr Slaa ni mtu mwenye misimamo isoyumba, hivyo ujio wake utaleta taswira mpya kuelekea harakati za kupata Tume huru kabla ya Uchaguzi wowote. Vijana watajitokeza tena Kwa wingi mikutanoni sababu aliaminika sana enzi zake.
Kundi kubwa lililohama CHADEMA na lingine kususia siasa baada ya Lowassa mwenye kashfa za ufisadi alipopewa nafasi, litarejea na Dr Slaa ikiwa atarudishwa tena chamani Kwa nafasi ya Katibu MKUU.
5. UANDAAJI WA SERA ZA CHAMA NA ILANI YA UCHAGUZI KWA MIAKA MITANO IJAYO 2025-2030.
Mchango wa Dr Slaa, hata hauhitaji Utafiti, maana alisaidia sana CHADEMA kuwa chama chenye sera thabiti ambazo nyingi ziliibwa na kutumiwa na chama tawala wakati huo 2015.
ANGALIZO: Chama chakavu Hadi sasa hakina KM, So Ingizo la Dr Slaa Kwa wakati huu, lazima utaleta mtikisiko Kwa chama tawala.
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni. [emoji120]
Basi tuipiganie Umoja Party hadi isajiliwePhoto copy ya CCM.
Bora CCM OG