Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kma huna unachojua ni bra ukakaa kimya nip naplan bt ushaur si ujinga kaka kma ukiona hujui kitu kaa kimyaUmesoma bila plan....
Kasome siasa engineering kama huna mtaji utajuta kuisoma
Nlikuw nafkir petroleum eng bt nimeambiw kwmb iko limited ktk ajira ...Hongera sana kwa matokeo mazuri.
I'm sure kuna kitu unapenda in engineering ambacho kilikusukuma kuchukua combination hii ili uwe engineer ni kitu gani?
Habari wana JF mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2018 na nimepata ufaulu wa div 1points 4 Yaani:-
PHYSICS-A
CHEMISTRY-B
A/MATHS-A
Naomba mwenye ufahamu wa engineering course ambazo zko marketable kwa sasa anisaidie.
Natanguliza shukrani
Usije jaribu kabisa iyo kitu utajuta aiseeNlikuw nafkir petroleum eng bt nimeambiw kwmb iko limited ktk ajira ...
Kozi ambazo sio za kisiasa yaan zipo maisha yoote niSomaa civil hutojuta mkuu,,,,, coet udsm
Niliisahau electrical engHabari wana JF mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2018 na nimepata ufaulu wa div 1points 4 Yaani:-
PHYSICS-A
CHEMISTRY-B
A/MATHS-A
Naomba mwenye ufahamu wa engineering course ambazo zko marketable kwa sasa anisaidie.
Natanguliza shukrani
Yees mecha was my course japo mtaa unajaribu kunipa kazi zingine japo ntarud uko mkuuGo for Mechanical Engineering.
All The Best!
Uligraduate Mechanical Engineering mkuu? Unafanya shughuli gani kwa sasa?Yees mecha was my course japo mtaa unajaribu kunipa kazi zingine japo ntarud uko mkuu