Asalam,
Mods, nipeni nafasi kidogo na mada zangu. Kwa kawaida zina utofauti sana na nyingine pamoja na changamoto ya uandishi, kueleweka na mapambano hapa jukwaani.
1. Changamoto ya uandishi inatokana ulemavu wa mkono wangu wa kushoto ambao ndio naandikia.
2. Mahala ninapishi network yake iko 2 (kuna shida sana ya mtandao)
3. Hapa jukwani wengi ni akili ndogo sana isipokuwa hawa Mama Amoni, Lord Dening, Mayala, Mzee Mohamed Said, Nyerere wa masuala ya HUMINT, Chawa Mwashamba, etc.
Yangu ya leo
1. Dr. Slaa na Mwambukusi wamefanya kosa sana kumwingiza huyu nduguyetu wa upinde kwenye eneo lao. Wameisha na watapotea. Nimeona sasa kwa wiki hizi mbili wako nae. Tunamfahamu na hafai. Najua inawezekana wanajaribu kutafuta jukwaa. Lkn tunahitaji mbadala wa CHADEMA NA NCCR kwenye opposition. CHADEMA HAVE NOTHING TO OFFER Katika hii miaka 40 sasa ya umri wao toka waanzishe informally and formally (MZEE mtei alianzisha upinzania akiwa BOT pamoja na Mzee Bomani. Haikuwa Coincidence, ni kazi ya CIA) Hivyo hawa sio sehemu sahihi. NCCR ilianzishwa kwa msaada mkubwa wa wanaharakati wa LGBT wa USA. Unganisha dots.
2. Tatizo la Tanzania sio CCM, ni Akili na historia zetu watanzania. Akili zetu zinashida kutokana na elimu yetu, historia yetu inachangamoto kwakuwa matukio ya kumwaga damu yamefichwa na tawala za kwanza. Iko shida hapa.
3. CCM kwa sasa haijui inachofanya, inachotakiwa kufanya na hata ideology gani wanasimamia.
4. Hatuna mechanisms za kuwajisha waovu wa umma. Kunyonga, kufukuza, etc. Kwa ujumla tuko kwenye Non Governance State. Hali ya kukosa uongozi na utawala. Umeme, maji, dawa hospitali, mafuta etc vinaweza kuisha muda wowote na no one cares. Tumebaki kukaaa kimya kama dead bodies pale mochwali.
5. CHADEMA, NCCR, CUF etc vinaongozwa na watu waliochoka na wanawaza gratification ya muda mfupi. We know it suala la ukosefu wa maadili ya hawa watu hata kwenye mikutano yao huko mikoani. Ni ngono, na vibes, wakistarehe kwenye shida za watanzania. Kwa ujumla hawana agenda.
6. 2025 hivi vyama vinajua CCM itaiba na itashinda lakn hilo sio tatizo kwao. Hawakuanzisha vyama hivi ili kutoa ccm madaraka. Invekuwa hivyo wangeshafanya. 2015 CHADEMA iligumika technically kuipa ushindi CCM. The best ilikuwa El na Kundi lake kuanzisha CCM B. Shida ikawa Sheria zetu ni Ngumu kwa ule muda mfupi. Sheria zetu tofati na Kenya. Kenye vyama vinaweza kuungana in a very short time.
Sasa tufanyaje
Dr. Slaa na Mwambukusi anzisheni CHAMA KINGINE
Mods, nipeni nafasi kidogo na mada zangu. Kwa kawaida zina utofauti sana na nyingine pamoja na changamoto ya uandishi, kueleweka na mapambano hapa jukwaani.
1. Changamoto ya uandishi inatokana ulemavu wa mkono wangu wa kushoto ambao ndio naandikia.
2. Mahala ninapishi network yake iko 2 (kuna shida sana ya mtandao)
3. Hapa jukwani wengi ni akili ndogo sana isipokuwa hawa Mama Amoni, Lord Dening, Mayala, Mzee Mohamed Said, Nyerere wa masuala ya HUMINT, Chawa Mwashamba, etc.
Yangu ya leo
1. Dr. Slaa na Mwambukusi wamefanya kosa sana kumwingiza huyu nduguyetu wa upinde kwenye eneo lao. Wameisha na watapotea. Nimeona sasa kwa wiki hizi mbili wako nae. Tunamfahamu na hafai. Najua inawezekana wanajaribu kutafuta jukwaa. Lkn tunahitaji mbadala wa CHADEMA NA NCCR kwenye opposition. CHADEMA HAVE NOTHING TO OFFER Katika hii miaka 40 sasa ya umri wao toka waanzishe informally and formally (MZEE mtei alianzisha upinzania akiwa BOT pamoja na Mzee Bomani. Haikuwa Coincidence, ni kazi ya CIA) Hivyo hawa sio sehemu sahihi. NCCR ilianzishwa kwa msaada mkubwa wa wanaharakati wa LGBT wa USA. Unganisha dots.
2. Tatizo la Tanzania sio CCM, ni Akili na historia zetu watanzania. Akili zetu zinashida kutokana na elimu yetu, historia yetu inachangamoto kwakuwa matukio ya kumwaga damu yamefichwa na tawala za kwanza. Iko shida hapa.
3. CCM kwa sasa haijui inachofanya, inachotakiwa kufanya na hata ideology gani wanasimamia.
4. Hatuna mechanisms za kuwajisha waovu wa umma. Kunyonga, kufukuza, etc. Kwa ujumla tuko kwenye Non Governance State. Hali ya kukosa uongozi na utawala. Umeme, maji, dawa hospitali, mafuta etc vinaweza kuisha muda wowote na no one cares. Tumebaki kukaaa kimya kama dead bodies pale mochwali.
5. CHADEMA, NCCR, CUF etc vinaongozwa na watu waliochoka na wanawaza gratification ya muda mfupi. We know it suala la ukosefu wa maadili ya hawa watu hata kwenye mikutano yao huko mikoani. Ni ngono, na vibes, wakistarehe kwenye shida za watanzania. Kwa ujumla hawana agenda.
6. 2025 hivi vyama vinajua CCM itaiba na itashinda lakn hilo sio tatizo kwao. Hawakuanzisha vyama hivi ili kutoa ccm madaraka. Invekuwa hivyo wangeshafanya. 2015 CHADEMA iligumika technically kuipa ushindi CCM. The best ilikuwa El na Kundi lake kuanzisha CCM B. Shida ikawa Sheria zetu ni Ngumu kwa ule muda mfupi. Sheria zetu tofati na Kenya. Kenye vyama vinaweza kuungana in a very short time.
Sasa tufanyaje
Dr. Slaa na Mwambukusi anzisheni CHAMA KINGINE