Ushauri: Dkt. Slaa, Advocate Mwambukusi, Kijana Mdude anzisheni chama kingine

Ushauri: Dkt. Slaa, Advocate Mwambukusi, Kijana Mdude anzisheni chama kingine

busar

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
1,071
Reaction score
1,067
Asalam,

Mods, nipeni nafasi kidogo na mada zangu. Kwa kawaida zina utofauti sana na nyingine pamoja na changamoto ya uandishi, kueleweka na mapambano hapa jukwaani.

1. Changamoto ya uandishi inatokana ulemavu wa mkono wangu wa kushoto ambao ndio naandikia.

2. Mahala ninapishi network yake iko 2 (kuna shida sana ya mtandao)

3. Hapa jukwani wengi ni akili ndogo sana isipokuwa hawa Mama Amoni, Lord Dening, Mayala, Mzee Mohamed Said, Nyerere wa masuala ya HUMINT, Chawa Mwashamba, etc.

Yangu ya leo
1. Dr. Slaa na Mwambukusi wamefanya kosa sana kumwingiza huyu nduguyetu wa upinde kwenye eneo lao. Wameisha na watapotea. Nimeona sasa kwa wiki hizi mbili wako nae. Tunamfahamu na hafai. Najua inawezekana wanajaribu kutafuta jukwaa. Lkn tunahitaji mbadala wa CHADEMA NA NCCR kwenye opposition. CHADEMA HAVE NOTHING TO OFFER Katika hii miaka 40 sasa ya umri wao toka waanzishe informally and formally (MZEE mtei alianzisha upinzania akiwa BOT pamoja na Mzee Bomani. Haikuwa Coincidence, ni kazi ya CIA) Hivyo hawa sio sehemu sahihi. NCCR ilianzishwa kwa msaada mkubwa wa wanaharakati wa LGBT wa USA. Unganisha dots.

2. Tatizo la Tanzania sio CCM, ni Akili na historia zetu watanzania. Akili zetu zinashida kutokana na elimu yetu, historia yetu inachangamoto kwakuwa matukio ya kumwaga damu yamefichwa na tawala za kwanza. Iko shida hapa.

3. CCM kwa sasa haijui inachofanya, inachotakiwa kufanya na hata ideology gani wanasimamia.

4. Hatuna mechanisms za kuwajisha waovu wa umma. Kunyonga, kufukuza, etc. Kwa ujumla tuko kwenye Non Governance State. Hali ya kukosa uongozi na utawala. Umeme, maji, dawa hospitali, mafuta etc vinaweza kuisha muda wowote na no one cares. Tumebaki kukaaa kimya kama dead bodies pale mochwali.

5. CHADEMA, NCCR, CUF etc vinaongozwa na watu waliochoka na wanawaza gratification ya muda mfupi. We know it suala la ukosefu wa maadili ya hawa watu hata kwenye mikutano yao huko mikoani. Ni ngono, na vibes, wakistarehe kwenye shida za watanzania. Kwa ujumla hawana agenda.

6. 2025 hivi vyama vinajua CCM itaiba na itashinda lakn hilo sio tatizo kwao. Hawakuanzisha vyama hivi ili kutoa ccm madaraka. Invekuwa hivyo wangeshafanya. 2015 CHADEMA iligumika technically kuipa ushindi CCM. The best ilikuwa El na Kundi lake kuanzisha CCM B. Shida ikawa Sheria zetu ni Ngumu kwa ule muda mfupi. Sheria zetu tofati na Kenya. Kenye vyama vinaweza kuungana in a very short time.

Sasa tufanyaje
Dr. Slaa na Mwambukusi anzisheni CHAMA KINGINE
 
Mimi nawashauri vijana wenye uchungu wawatie adabu hao uliowataja kwa lugha zao zisizo na staha.

Kama wao wanavyojuwa ujeuri natamani watokee vijana jeuri zaidi yao wawafanyie kidogo kama alivyofanyiwa ujeuri ulimboka na jeuri wenzie wasiojulikana.

Maana naona sasa wanazidi.
 
Mimi bawashauri vijana wenye uchungu wawatie adabu hao uliowataja kwa lugha zao zisizo na staha.

Kama wao wanavyojuwa ujeuri natamani watokee vijana jeuri zaidi yao wawafanyie kidogo kama alivyofanyiwa ujeuri ulimboka na jeuri wenzie wasiojulikana.

Maana naona sasa wanazidi.
wewe ni mpumbavu sana sana, wewe ni mjinga sana.
 
wewe ni mpumbavu sana sana, wewe ni mjinga sana.
Tena sana. Kudili na wajinga wasio na maadili ni lazima tuwe wajinga zaidi yao.

Wanachekelewa sana hao.

Nshala yuko wapi?
 
Asalam,
Mods, nipeni nafasi kidogo na mada zangu. Kwa kawaida zina utofauti sana na nyingine pamoja na changamoto ya uandishi, kueleweka na mapambano hapa jukwaani.
1. Changamoto ya uandishi inatokana ulemavu wa mkono wangu wa kushoto ambao ndio naandikia.
2. Mahala ninapishi network yake iko 2 (kuna shida sana ya mtandao)
Pole na changamoto ya uandishi.

3. Hapa jukwani wengi ni akili ndogo sana isipokuwa hawa Mama Amoni, Lord Dening, Mayala, Mzee Mohamed Said, Nyerere wa masuala ya HUMINT, Chawa Mwashamba, etc.
Ungetoa vigezo vya wenye akili kubwa, humu jukwaani, kabla ya kutaja hayo majina ungeeleweka na kutendea haki hoja yako hiyo.

Yangu ya leo.
1. Dr. Slaa na Mwambukusi wamefanya kosa sana kumwingiza huyu nduguyetu wa upinde kwenye eneo lao. Wameisha na watapotea. Nimeona sasa kwa wiki hizi mbili wako nae. Tunamfahamu na hafai. Najua inawezekana wanajaribu kutafuta jukwaa. Lkn tunahitaji mbadala wa CHADEMA NA NCCR Kwenye opposition. CHADEMA HAVE NOTHING TO OFFER Katika hii miaka 40 sasa ya umri wao toka waanzishe informally and formally ( MZEE mtei alianzisha upinzania akiwa BOT pamoja na Mzee Bomani. Haikuwa Coincidence, ni kazi ya CIA ) Hivyo hawa sio sehemu sahihi. NCCR ilianzishwa kwa msaada mkubwa wa wanaharakati wa LGBT wa USA. Unganisha dots.
Umenitoa kwenye reli ya kujadili hoja yako (maneno mekundu na yaliyopigiwa mstari), ni nani huyo?

Kwamba vyama hivyo vya siasa, kwa maoni yako, haviwakilishi matakwa ya kisiasa ya Tanzania, bali hao wafadhili wao, ni hoja nzito ambayo bila ushahidi, ni ngumu wewe kuaminika.
2. Tatizo la Tanzania siO CCM, ni Akili na historia zetu watanzania. Akili zetu zinashida kutokana na elimu yetu, historia yetu inachangamoto kwakuwa matukio ya kumwaga damu yamefichwa na tawala za kwanza. Iko shida hapa.
Napenda nikuelewe ni shida ya elimu, ipi, na historia kuhusu nini hasa, kuhusiana na jinsi akili za Watanzania zinayofanya kazi! Ni maeneo yapi kimsingi unayoyabainisha akili zetu zina shida.
3. CCM kwa sasa haijui inachofanya, inachotakiwa kufanya na hata ideology gani wanasimamia.
CCM ina Katiba na Sera ambazo huainishwa kwenye ilani za Uchaguzi na kutekelezwa na Serikali yake. Je, tathmini yako ni ipi?
4. Hatuna mechanisms za kuwajisha waovu wa umma. Kunyonga, kufukuza, etc. Kwa ujumla tuko kwenye Non Governance State. Hali ya kukosa uongozi na utawala. Umeme , maji, dawa hospitali, mafuta etc vinaweza kuisha muda wowote na no one cares. Tumebaki kukaaa kimya kama dead bodies pale mochwali.
Kuna ukweli kwenye hoja yako hii japo hujataka kutoa "mechanisms" za uwajibishaji, ingawa kuna mamlaka za uteuzi na utenguzi wa wateuliwa, vyombo vya uchunguzi, mahakama nk
5. CHADEMA, NCCR, CUF etc vinaongozwa na watu waliochoka na wanawaza gratification ya muda mfupi. We know it suala la ukosefu wa maadili ya hawa watu hata kwenye mikutano yao huko mikoani. Ni ngono, na vibes, wakistarehe kwenye shida za watanzania. Kwa ujumla hawana agenda.
Ni uchovu wa mwili, akili au vyote wa hao viongozi? Je, ni kweli hivyo vyama havina viongozi vijana?
6. 2025 hivi vyama vinajua CCM itaiba na itashinda lakn hilo sio tatizo kwao. Hawakuanzisha vyama hivi ili kutoa ccm madaraka. Invekuwa hivyo wangeshafanya. 2015 CHADEMA iligumika technically kuipa ushindi CCM. The best ilikuwa El na Kundi lake kuanzisha CCM B. Shida ikawa Sheria zetu ni Ngumu kwa ule muda mfupi. Sheria zetu tofati na Kenya. Kenye vyama vinaweza kuungana in a very short time.
Je, ni kweli kuna sheria inayozuia vyama kuungana au kushirikiana kisiasa, hasa wakati wa uchaguzi?

Suala la kuibiwa kura ni suala mtambuka na ni tabia ya wanasiasa wote duniani wanaoshindwa kwenye hilo zoezi kulalamikia kuibiwa kura au uchaguzi kutokuwa huru

Sasa tufabyaje.
Dr. Slaa na Mwambukusi anzisheni CHAMA KINGINE
Wakianzisha chama, je, hizo dosari ulizozibainisha watazitatua vipi?
 
Mimi nawashauri vijana wenye uchungu wawatie adabu hao uliowataja kwa lugha zao zisizo na staha.

Kama wao wanavyojuwa ujeuri natamani watokee vijana jeuri zaidi yao wawafanyie kidogo kama alivyofanyiwa ujeuri ulimboka na jeuri wenzie wasiojulikana.

Maana naona sasa wanazidi.
Wewe mdini tu huna hata la maana uislam wa samia na uzanzibar wake ndio ulio kutia upofu
 
Mimi nawashauri vijana wenye uchungu wawatie adabu hao uliowataja kwa lugha zao zisizo na staha.

Kama wao wanavyojuwa ujeuri natamani watokee vijana jeuri zaidi yao wawafanyie kidogo kama alivyofanyiwa ujeuri ulimboka na jeuri wenzie wasiojulikana.

Maana naona sasa wanazidi.
Umeshaambiwa, wasiojulikana kama wanatamani siasa, waresifn positions zao waje siasani,

TABIA ya kuzidiwa HOJA m aita mbwa wasaidie Si ya kikatiba ni ukiukwaji wa SHERIA.

NB: Tunawasubiri Manabii wetu, Slaa, Mdude na Mwambukusi ktk mikutano Mza, Arusha na Mbeya.
 
Uwepo wa Mbatia pale inaonyesha kivuli Cha Dola hivyo wakianzisha chama Bado hakitaaminiwa.

Chama kianzishwe kiwe halfcast ya CDM na CCCM kisera.

Kiwe mixture ya Ujamaa na Ubepari.

Kisiwe na wafadhili Kutoka nje, kiwe Cha Watanzania Wazalendo.

Naunga mkono HOJA 🙏
 
Hapana, waende CDM, ili miluzi isiwe mingi kwa DOGIE
Tatizo la CDM inamilikiwa na mtu. Mbowe ameifanya CDM ni mali yake. Ingekuwa Kuna mabadiliko ya uongozi CDM ingeleta taswila ya uzalendo. Hivyo ni bora wakaanzisha chama chama Kisha wachukue wanaccm wanaokubalika katika jamii ngoma ichezwa
 
Hapana, waende CDM, ili miluzi isiwe mingi kwa DOGIE

Asalam,

Mods, nipeni nafasi kidogo na mada zangu. Kwa kawaida zina utofauti sana na nyingine pamoja na changamoto ya uandishi, kueleweka na mapambano hapa jukwaani.

1. Changamoto ya uandishi inatokana ulemavu wa mkono wangu wa kushoto ambao ndio naandikia.

2. Mahala ninapishi network yake iko 2 (kuna shida sana ya mtandao)

3. Hapa jukwani wengi ni akili ndogo sana isipokuwa hawa Mama Amoni, Lord Dening, Mayala, Mzee Mohamed Said, Nyerere wa masuala ya HUMINT, Chawa Mwashamba, etc.

Yangu ya leo
1. Dr. Slaa na Mwambukusi wamefanya kosa sana kumwingiza huyu nduguyetu wa upinde kwenye eneo lao. Wameisha na watapotea. Nimeona sasa kwa wiki hizi mbili wako nae. Tunamfahamu na hafai. Najua inawezekana wanajaribu kutafuta jukwaa. Lkn tunahitaji mbadala wa CHADEMA NA NCCR kwenye opposition. CHADEMA HAVE NOTHING TO OFFER Katika hii miaka 40 sasa ya umri wao toka waanzishe informally and formally (MZEE mtei alianzisha upinzania akiwa BOT pamoja na Mzee Bomani. Haikuwa Coincidence, ni kazi ya CIA) Hivyo hawa sio sehemu sahihi. NCCR ilianzishwa kwa msaada mkubwa wa wanaharakati wa LGBT wa USA. Unganisha dots.

2. Tatizo la Tanzania sio CCM, ni Akili na historia zetu watanzania. Akili zetu zinashida kutokana na elimu yetu, historia yetu inachangamoto kwakuwa matukio ya kumwaga damu yamefichwa na tawala za kwanza. Iko shida hapa.

3. CCM kwa sasa haijui inachofanya, inachotakiwa kufanya na hata ideology gani wanasimamia.

4. Hatuna mechanisms za kuwajisha waovu wa umma. Kunyonga, kufukuza, etc. Kwa ujumla tuko kwenye Non Governance State. Hali ya kukosa uongozi na utawala. Umeme, maji, dawa hospitali, mafuta etc vinaweza kuisha muda wowote na no one cares. Tumebaki kukaaa kimya kama dead bodies pale mochwali.

5. CHADEMA, NCCR, CUF etc vinaongozwa na watu waliochoka na wanawaza gratification ya muda mfupi. We know it suala la ukosefu wa maadili ya hawa watu hata kwenye mikutano yao huko mikoani. Ni ngono, na vibes, wakistarehe kwenye shida za watanzania. Kwa ujumla hawana agenda.

6. 2025 hivi vyama vinajua CCM itaiba na itashinda lakn hilo sio tatizo kwao. Hawakuanzisha vyama hivi ili kutoa ccm madaraka. Invekuwa hivyo wangeshafanya. 2015 CHADEMA iligumika technically kuipa ushindi CCM. The best ilikuwa El na Kundi lake kuanzisha CCM B. Shida ikawa Sheria zetu ni Ngumu kwa ule muda mfupi. Sheria zetu tofati na Kenya. Kenye vyama vinaweza kuungana in a very short time.

Sasa tufanyaje
Dr. Slaa na Mwambukusi anzisheni CHAMA KINGINE
Wazo lako zuri maana naona chadema wenyewe wamebeba ajenda ya bandari lakini wao wamewashiti, wanaalakati ndio wanaowaangaikia. Ila Sasa wakuwasajili Kama umoja wanasota mpaka sass
 
Asalam,

Mods, nipeni nafasi kidogo na mada zangu. Kwa kawaida zina utofauti sana na nyingine pamoja na changamoto ya uandishi, kueleweka na mapambano hapa jukwaani.

1. Changamoto ya uandishi inatokana ulemavu wa mkono wangu wa kushoto ambao ndio naandikia.

2. Mahala ninapishi network yake iko 2 (kuna shida sana ya mtandao)

3. Hapa jukwani wengi ni akili ndogo sana isipokuwa hawa Mama Amoni, Lord Dening, Mayala, Mzee Mohamed Said, Nyerere wa masuala ya HUMINT, Chawa Mwashamba, etc.

Yangu ya leo
1. Dr. Slaa na Mwambukusi wamefanya kosa sana kumwingiza huyu nduguyetu wa upinde kwenye eneo lao. Wameisha na watapotea. Nimeona sasa kwa wiki hizi mbili wako nae. Tunamfahamu na hafai. Najua inawezekana wanajaribu kutafuta jukwaa. Lkn tunahitaji mbadala wa CHADEMA NA NCCR kwenye opposition. CHADEMA HAVE NOTHING TO OFFER Katika hii miaka 40 sasa ya umri wao toka waanzishe informally and formally (MZEE mtei alianzisha upinzania akiwa BOT pamoja na Mzee Bomani. Haikuwa Coincidence, ni kazi ya CIA) Hivyo hawa sio sehemu sahihi. NCCR ilianzishwa kwa msaada mkubwa wa wanaharakati wa LGBT wa USA. Unganisha dots.

2. Tatizo la Tanzania sio CCM, ni Akili na historia zetu watanzania. Akili zetu zinashida kutokana na elimu yetu, historia yetu inachangamoto kwakuwa matukio ya kumwaga damu yamefichwa na tawala za kwanza. Iko shida hapa.

3. CCM kwa sasa haijui inachofanya, inachotakiwa kufanya na hata ideology gani wanasimamia.

4. Hatuna mechanisms za kuwajisha waovu wa umma. Kunyonga, kufukuza, etc. Kwa ujumla tuko kwenye Non Governance State. Hali ya kukosa uongozi na utawala. Umeme, maji, dawa hospitali, mafuta etc vinaweza kuisha muda wowote na no one cares. Tumebaki kukaaa kimya kama dead bodies pale mochwali.

5. CHADEMA, NCCR, CUF etc vinaongozwa na watu waliochoka na wanawaza gratification ya muda mfupi. We know it suala la ukosefu wa maadili ya hawa watu hata kwenye mikutano yao huko mikoani. Ni ngono, na vibes, wakistarehe kwenye shida za watanzania. Kwa ujumla hawana agenda.

6. 2025 hivi vyama vinajua CCM itaiba na itashinda lakn hilo sio tatizo kwao. Hawakuanzisha vyama hivi ili kutoa ccm madaraka. Invekuwa hivyo wangeshafanya. 2015 CHADEMA iligumika technically kuipa ushindi CCM. The best ilikuwa El na Kundi lake kuanzisha CCM B. Shida ikawa Sheria zetu ni Ngumu kwa ule muda mfupi. Sheria zetu tofati na Kenya. Kenye vyama vinaweza kuungana in a very short time.

Sasa tufanyaje
Dr. Slaa na Mwambukusi anzisheni CHAMA KINGINE
makuwadi ya warabu koko mwambien mama yenu kuwa hela alizohongwa anapaswa kuzirudisha kwa hiari asipofanya hivyo ajiandae kuzitolea kila tundu la mwili wake.
 
Tatizo la CDM inamilikiwa na mtu. Mbowe ameifanya CDM ni mali yake. Ingekuwa Kuna mabadiliko ya uongozi CDM ingeleta taswila ya uzalendo. Hivyo ni bora wakaanzisha chama chama Kisha wachukue wanaccm wanaokubalika katika jamii ngoma ichezwa
Mbowe amayashika chini makuwadi ua warabu koko dpworld na bado tunaenda kumchagua tena kwa kishindo November.
 
Tatizo la CDM inamilikiwa na mtu. Mbowe ameifanya CDM ni mali yake. Ingekuwa Kuna mabadiliko ya uongozi CDM ingeleta taswila ya uzalendo. Hivyo ni bora wakaanzisha chama chama Kisha wachukue wanaccm wanaokubalika katika jamii ngoma ichezwa
Upo sahihi, tatizo kura zingine Kwa CDM, zingine Kwa Mwambukusi/Slaa.

Jumla kura 100%
CDM = KURA 37
SLAA = KURA 35
CCM = KURA 28 + FAKE KURA 28 = 56

CCM ANAPITA KWA KISHINDO 😭😭
 
Back
Top Bottom