tuanzishe chama ili mumtumie msajili kukiwekea kigogoro kabla hata ya kupata usajili wa kudumu? tutapambana hivi hivi ki-uanaharakati, cha msingi ni kwamba wananchi wa Tanganyika wanatuelewa vizuri mno na mapokeo yao kwenye hoja zetu ni mazuri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitokeze wewe uwashughulikie, au hauna uchungu?Mimi nawashauri vijana wenye uchungu wawatie adabu hao uliowataja kwa lugha zao zisizo na staha.
Kama wao wanavyojuwa ujeuri natamani watokee vijana jeuri zaidi yao wawafanyie kidogo kama alivyofanyiwa ujeuri ulimboka na jeuri wenzie wasiojulikana.
Maana naona sasa wanazidi.
Chawa wa mama upo? unataka cheo?Mimi nawashauri vijana wenye uchungu wawatie adabu hao uliowataja kwa lugha zao zisizo na staha.
Kama wao wanavyojuwa ujeuri natamani watokee vijana jeuri zaidi yao wawafanyie kidogo kama alivyofanyiwa ujeuri ulimboka na jeuri wenzie wasiojulikana.
Maana naona sasa wanazidi.
Acha kauli za kuonesha kwamba u a Roho mbaya dhidi ya wasio upande wako.Tena sana. Kudili na wajinga wasio na maadili ni lazima tuwe wajinga zaidi yao.
Wanachekelewa sana hao.
Nshala yuko wapi?
Wanachezaje ngoma ya CCM?Ni kweli tunahitaji chama mbadala, Chadema wanacheza ngoma ya CCM.
CHADEMA waliteswa sana na Magufuli, unatakaje wakae kimya wasiseme?Walianza kumsaidia mama na kumpindua Magufuli wakati wakijua fika walikuwa wanapambana na CCM na wore hao ni CCM.
Kwani Kuna mtu kalazimishwa kuwa CHADEMA? Kama watanzania hawafuatilii mambo ya sera, mbona huwa mnaisakama CHADEMA kuwa haina sera??Watanzania huwa hawafatilii Sera za vyama Ila wanafatilia watu hapo wataweza kutoa changamoto kubwa kwa CCM.
ExctlyMimi nawashauri vijana wenye uchungu wawatie adabu hao uliowataja kwa lugha zao zisizo na staha.
Kama wao wanavyojuwa ujeuri natamani watokee vijana jeuri zaidi yao wawafanyie kidogo kama alivyofanyiwa ujeuri ulimboka na jeuri wenzie wasiojulikana.
Maana naona sasa wanazidi.
Walipokubali maridhiano huku wakijua fika CCM hawapo tayari kwa maridhiano na wenyewe wamekiri rais alitumia maridhiano kujipaisha kimataifa.Wanachezaje ngoma ya CCM?
Magufuli alitokea chama gani?CHADEMA waliteswa sana na Magufuli, unatakaje wakae kimya wasiseme?
Unaweza kuniletea andiko nililosema Chadema Haina Sera. Ungesoma na ukaelewa kwani nimeandika watanzania wengi hawafatilii Sera za vyama na ushahidi ni jinsi wanasiasa wanavyohama vyama. Madai ya wengi wanaohama ni ama kunyimwa nafasi ya kugombea, ufinyu wa demokrasia Ila sijasikia mwanasiasa anahama kwa sababu ya Sera.Kwani Kuna mtu kalazimishwa kuwa CHADEMA? Kama watanzania hawafuatilii mambo ya sera, mbona huwa mnaisakama CHADEMA kuwa haina sera??
Wewe hupendi ngono?Asalam,
Mods, nipeni nafasi kidogo na mada zangu. Kwa kawaida zina utofauti sana na nyingine pamoja na changamoto ya uandishi, kueleweka na mapambano hapa jukwaani.
1. Changamoto ya uandishi inatokana ulemavu wa mkono wangu wa kushoto ambao ndio naandikia.
2. Mahala ninapishi network yake iko 2 (kuna shida sana ya mtandao)
3. Hapa jukwani wengi ni akili ndogo sana isipokuwa hawa Mama Amoni, Lord Dening, Mayala, Mzee Mohamed Said, Nyerere wa masuala ya HUMINT, Chawa Mwashamba, etc.
Yangu ya leo
1. Dr. Slaa na Mwambukusi wamefanya kosa sana kumwingiza huyu nduguyetu wa upinde kwenye eneo lao. Wameisha na watapotea. Nimeona sasa kwa wiki hizi mbili wako nae. Tunamfahamu na hafai. Najua inawezekana wanajaribu kutafuta jukwaa. Lkn tunahitaji mbadala wa CHADEMA NA NCCR kwenye opposition. CHADEMA HAVE NOTHING TO OFFER Katika hii miaka 40 sasa ya umri wao toka waanzishe informally and formally (MZEE mtei alianzisha upinzania akiwa BOT pamoja na Mzee Bomani. Haikuwa Coincidence, ni kazi ya CIA) Hivyo hawa sio sehemu sahihi. NCCR ilianzishwa kwa msaada mkubwa wa wanaharakati wa LGBT wa USA. Unganisha dots.
2. Tatizo la Tanzania sio CCM, ni Akili na historia zetu watanzania. Akili zetu zinashida kutokana na elimu yetu, historia yetu inachangamoto kwakuwa matukio ya kumwaga damu yamefichwa na tawala za kwanza. Iko shida hapa.
3. CCM kwa sasa haijui inachofanya, inachotakiwa kufanya na hata ideology gani wanasimamia.
4. Hatuna mechanisms za kuwajisha waovu wa umma. Kunyonga, kufukuza, etc. Kwa ujumla tuko kwenye Non Governance State. Hali ya kukosa uongozi na utawala. Umeme, maji, dawa hospitali, mafuta etc vinaweza kuisha muda wowote na no one cares. Tumebaki kukaaa kimya kama dead bodies pale mochwali.
5. CHADEMA, NCCR, CUF etc vinaongozwa na watu waliochoka na wanawaza gratification ya muda mfupi. We know it suala la ukosefu wa maadili ya hawa watu hata kwenye mikutano yao huko mikoani. Ni ngono, na vibes, wakistarehe kwenye shida za watanzania. Kwa ujumla hawana agenda.
6. 2025 hivi vyama vinajua CCM itaiba na itashinda lakn hilo sio tatizo kwao. Hawakuanzisha vyama hivi ili kutoa ccm madaraka. Invekuwa hivyo wangeshafanya. 2015 CHADEMA iligumika technically kuipa ushindi CCM. The best ilikuwa El na Kundi lake kuanzisha CCM B. Shida ikawa Sheria zetu ni Ngumu kwa ule muda mfupi. Sheria zetu tofati na Kenya. Kenye vyama vinaweza kuungana in a very short time.
Sasa tufanyaje
Dr. Slaa na Mwambukusi anzisheni CHAMA KINGINE
Vijana gani DP World au?Mimi nawashauri vijana wenye uchungu wawatie adabu hao uliowataja kwa lugha zao zisizo na staha.
Kama wao wanavyojuwa ujeuri natamani watokee vijana jeuri zaidi yao wawafanyie kidogo kama alivyofanyiwa ujeuri ulimboka na jeuri wenzie wasiojulikana.
Maana naona sasa wanazidi.
Kwani hakuna mwanachama wa CDM mwenye uwezo wa kuiongoza CDM bali ni Mbowe peke yake. Huu ni udhalilishaji wa wanachama wa CDMMbowe amayashika chini makuwadi ua warabu koko dpworld na bado tunaenda kumchagua tena kwa kishindo November.
Uzalendo wa kupiga magoti kwa watawala ni upumbavuTatizo la CDM inamilikiwa na mtu. Mbowe ameifanya CDM ni mali yake. Ingekuwa Kuna mabadiliko ya uongozi CDM ingeleta taswila ya uzalendo. Hivyo ni bora wakaanzisha chama chama Kisha wachukue wanaccm wanaokubalika katika jamii ngoma ichezwa
Asalam,
Mods, nipeni nafasi kidogo na mada zangu. Kwa kawaida zina utofauti sana na nyingine pamoja na changamoto ya uandishi, kueleweka na mapambano hapa jukwaani.
1. Changamoto ya uandishi inatokana ulemavu wa mkono wangu wa kushoto ambao ndio naandikia.
2. Mahala ninapishi network yake iko 2 (kuna shida sana ya mtandao)
3. Hapa jukwani wengi ni akili ndogo sana isipokuwa hawa Mama Amoni, Lord Dening, Mayala, Mzee Mohamed Said, Nyerere wa masuala ya HUMINT, Chawa Mwashamba, etc.
Yangu ya leo
1. Dr. Slaa na Mwambukusi wamefanya kosa sana kumwingiza huyu nduguyetu wa upinde kwenye eneo lao. Wameisha na watapotea. Nimeona sasa kwa wiki hizi mbili wako nae. Tunamfahamu na hafai. Najua inawezekana wanajaribu kutafuta jukwaa. Lkn tunahitaji mbadala wa CHADEMA NA NCCR kwenye opposition. CHADEMA HAVE NOTHING TO OFFER Katika hii miaka 40 sasa ya umri wao toka waanzishe informally and formally (MZEE mtei alianzisha upinzania akiwa BOT pamoja na Mzee Bomani. Haikuwa Coincidence, ni kazi ya CIA) Hivyo hawa sio sehemu sahihi. NCCR ilianzishwa kwa msaada mkubwa wa wanaharakati wa LGBT wa USA. Unganisha dots.
2. Tatizo la Tanzania sio CCM, ni Akili na historia zetu watanzania. Akili zetu zinashida kutokana na elimu yetu, historia yetu inachangamoto kwakuwa matukio ya kumwaga damu yamefichwa na tawala za kwanza. Iko shida hapa.
3. CCM kwa sasa haijui inachofanya, inachotakiwa kufanya na hata ideology gani wanasimamia.
4. Hatuna mechanisms za kuwajisha waovu wa umma. Kunyonga, kufukuza, etc. Kwa ujumla tuko kwenye Non Governance State. Hali ya kukosa uongozi na utawala. Umeme, maji, dawa hospitali, mafuta etc vinaweza kuisha muda wowote na no one cares. Tumebaki kukaaa kimya kama dead bodies pale mochwali.
5. CHADEMA, NCCR, CUF etc vinaongozwa na watu waliochoka na wanawaza gratification ya muda mfupi. We know it suala la ukosefu wa maadili ya hawa watu hata kwenye mikutano yao huko mikoani. Ni ngono, na vibes, wakistarehe kwenye shida za watanzania. Kwa ujumla hawana agenda.
6. 2025 hivi vyama vinajua CCM itaiba na itashinda lakn hilo sio tatizo kwao. Hawakuanzisha vyama hivi ili kutoa ccm madaraka. Invekuwa hivyo wangeshafanya. 2015 CHADEMA iligumika technically kuipa ushindi CCM. The best ilikuwa El na Kundi lake kuanzisha CCM B. Shida ikawa Sheria zetu ni Ngumu kwa ule muda mfupi. Sheria zetu tofati na Kenya. Kenye vyama vinaweza kuungana in a very short time.
Sasa tufanyaje
Dr. Slaa na Mwambukusi anzisheni CHAMA KINGINE
Ila Chama cha DP World kipo.Ni kweli tunahitaji chama mbadala, Chadema wanacheza ngoma ya CCM. Walianza kumsaidia mama na kumpindua Magufuli wakati wakijua fika walikuwa wanapambana na CCM na wore hao ni CCM. Leo ndio wanashituka na kusema maridhiano hayatekelezwi.
Wakianzisha chama ni wazi msajili hatakipa usajili mfano ni umoja party lakini Kuna vyama ambavyo vilishasajiliwa Ila vipovipo Kama DP party, TLP, NRA na vinginevyo wanaweza kaufanya mazungumzo navyo wakawa sehemu ya hivyo vyama. Watanzania huwa hawafatilii Sera za vyama Ila wanafatilia watu hapo wataweza kutoa changamoto kubwa kwa CCM.
Jana Sirari uwanja wa Tarafa uwanja ulifurika kusikiliza Sera za Mwamba Mbowe bila hata kuogopa jua.Walipokubali maridhiano huku wakijua fika CCM hawapo tayari kwa maridhiano na wenyewe wamekiri rais alitumia maridhiano kujipaisha kimataifa.
Magufuli alitokea chama gani?
Unaweza kuniletea andiko nililosema Chadema Haina Sera. Ungesoma na ukaelewa kwani nimeandika watanzania wengi hawafatilii Sera za vyama na ushahidi ni jinsi wanasiasa wanavyohama vyama. Madai ya wengi wanaohama ni ama kunyimwa nafasi ya kugombea, ufinyu wa demokrasia Ila sijasikia mwanasiasa anahama kwa sababu ya Sera.
Well said! Ila ungetafuta tusi lolote lililo changamka ambalo lingewahusisha na wazazi wake waliomleta duniani.wewe ni mpumbavu sana sana, wewe ni mjinga sana.