wababayangu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 814
- 1,107
Lakini pia chama cha siasa kufanywa mali ya mtu ni upumbavu mbadalaUzalendo wa kupiga magoti kwa watawala ni upumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini pia chama cha siasa kufanywa mali ya mtu ni upumbavu mbadalaUzalendo wa kupiga magoti kwa watawala ni upumbavu
CHADEMA=CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO,CHADEMA(UHURU NA WATU) kusema kwamba CHADEMA ni Chama cha mtu mmoja ni upumbavu uliopitiliza kwa sababu ya chuki.Lakini pia chama cha siasa kufanywa mali ya mtu ni upumbavu mbadala
Acha hasira mkuu.CHADEMA=CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO,CHADEMA(UHURU NA WATU) kusema kwamba CHADEMA ni Chama cha mtu mmoja ni upumbavu uliopitiliza kwa sababu ya chuki.
1.Freeman Mbowe - Mwenyekiti (Kilimanjaro)
2.Tundu Antipas Lissu-Makamu Mwenyekiti(Singida)
3.John Mnyika -Katibu
4.Salum Mwalimu-Kaimu Katibu(Zanzibar)
5.John Heche(Tarime-MARA)
6.Ezechiel Wenje(Rorya-MARA)
7.Joseph Mbilinyi(Mbeya)
8.Mch.Msigwa(Iringa)
Je wote hao ni mtu mmoja.Na kwenye mikutano yao wanapatikana hao hao tu?
wakianzisha chama, mimi nitakuwa mfuasi wao.Asalam,
Mods, nipeni nafasi kidogo na mada zangu. Kwa kawaida zina utofauti sana na nyingine pamoja na changamoto ya uandishi, kueleweka na mapambano hapa jukwaani.
1. Changamoto ya uandishi inatokana ulemavu wa mkono wangu wa kushoto ambao ndio naandikia.
2. Mahala ninapishi network yake iko 2 (kuna shida sana ya mtandao)
3. Hapa jukwani wengi ni akili ndogo sana isipokuwa hawa Mama Amoni, Lord Dening, Mayala, Mzee Mohamed Said, Nyerere wa masuala ya HUMINT, Chawa Mwashamba, etc.
Yangu ya leo
1. Dr. Slaa na Mwambukusi wamefanya kosa sana kumwingiza huyu nduguyetu wa upinde kwenye eneo lao. Wameisha na watapotea. Nimeona sasa kwa wiki hizi mbili wako nae. Tunamfahamu na hafai. Najua inawezekana wanajaribu kutafuta jukwaa. Lkn tunahitaji mbadala wa CHADEMA NA NCCR kwenye opposition. CHADEMA HAVE NOTHING TO OFFER Katika hii miaka 40 sasa ya umri wao toka waanzishe informally and formally (MZEE mtei alianzisha upinzania akiwa BOT pamoja na Mzee Bomani. Haikuwa Coincidence, ni kazi ya CIA) Hivyo hawa sio sehemu sahihi. NCCR ilianzishwa kwa msaada mkubwa wa wanaharakati wa LGBT wa USA. Unganisha dots.
2. Tatizo la Tanzania sio CCM, ni Akili na historia zetu watanzania. Akili zetu zinashida kutokana na elimu yetu, historia yetu inachangamoto kwakuwa matukio ya kumwaga damu yamefichwa na tawala za kwanza. Iko shida hapa.
3. CCM kwa sasa haijui inachofanya, inachotakiwa kufanya na hata ideology gani wanasimamia.
4. Hatuna mechanisms za kuwajisha waovu wa umma. Kunyonga, kufukuza, etc. Kwa ujumla tuko kwenye Non Governance State. Hali ya kukosa uongozi na utawala. Umeme, maji, dawa hospitali, mafuta etc vinaweza kuisha muda wowote na no one cares. Tumebaki kukaaa kimya kama dead bodies pale mochwali.
5. CHADEMA, NCCR, CUF etc vinaongozwa na watu waliochoka na wanawaza gratification ya muda mfupi. We know it suala la ukosefu wa maadili ya hawa watu hata kwenye mikutano yao huko mikoani. Ni ngono, na vibes, wakistarehe kwenye shida za watanzania. Kwa ujumla hawana agenda.
6. 2025 hivi vyama vinajua CCM itaiba na itashinda lakn hilo sio tatizo kwao. Hawakuanzisha vyama hivi ili kutoa ccm madaraka. Invekuwa hivyo wangeshafanya. 2015 CHADEMA iligumika technically kuipa ushindi CCM. The best ilikuwa El na Kundi lake kuanzisha CCM B. Shida ikawa Sheria zetu ni Ngumu kwa ule muda mfupi. Sheria zetu tofati na Kenya. Kenye vyama vinaweza kuungana in a very short time.
Sasa tufanyaje
Dr. Slaa na Mwambukusi anzisheni CHAMA KINGINE
kwa hawa ulioorodhesha, mzalendo na wa kumwamini ni mmoja tu, Tundu Lisu. wengine hao ukiwaweka na kina mwabukusi na slaa wanazidiwa.CHADEMA=CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO,CHADEMA(UHURU NA WATU) kusema kwamba CHADEMA ni Chama cha mtu mmoja ni upumbavu uliopitiliza kwa sababu ya chuki.
1.Freeman Mbowe - Mwenyekiti (Kilimanjaro)
2.Tundu Antipas Lissu-Makamu Mwenyekiti(Singida)
3.John Mnyika -Katibu
4.Salum Mwalimu-Kaimu Katibu(Zanzibar)
5.John Heche(Tarime-MARA)
6.Ezechiel Wenje(Rorya-MARA)
7.Joseph Mbilinyi(Mbeya)
8.Mch.Msigwa(Iringa)
Je wote hao ni mtu mmoja.Na kwenye mikutano yao wanapatikana hao hao tu?
Je Lipumba kuhusu CUF,je Cheyo Kuhusu DP na Mrema amekufa akiwa ndiye Mwenyekiti wa TLP mbona hujahoji kuhusu hao watu ila unamkazania Mbowe kisa tu ana chama imara kinachokunyima usingizi.Acha hasira mkuu.
Matusi wala hayakusaidii kujenga hoja. Na pia usipindishe hoja ya msingi niliyoitoa kuhusu mbowe. Maana yangu ni kwamba mbowe amekuwa ni mwenyekiti wa taifa wa CDM kwa mda mrefu sana je ndani ya CDM hakuna ukomo wa uongozi? Hiyo ndiyo hoja yangu na iliyonipelekea kuchukulia kwamba chadema imekuwa ni ya mbowe.
Tuliza mzuka turudi nyuma kidogo wewe mpenda matusi. Je mbowe amechukua au ameridhi uenyekiri wa taifa toka kwa nani? Huyo mwenyekiti ni wa mkoa gani na alikuwa na mahusiano gani na mbowe?
Je kwa wanachama wote wa CDM taifa hakuna mwanachama anaefaa kuwa mwenyekiti wa CDM taifa Bali ni mbowe tu? Akifariki itakuwaje?
Zaidi ya yote uwe unasoma na unaelewa alichokiandika mtu siyo unakurupuka kutoa matusi na kujibu majibu ya ajabu. Mimi sijazungumzia ukanda wewe umeibuka na majibu ya ukanda
PUNGUZA BANGI. MPUMBAVU MWENYEWE
Haijalishi ila pale wanaposimamia kile wanachokiamini bila kuburuzwa wanafanya chama kiwe imara kila siku.kwa hawa ulioorodhesha, mzalendo na wa kumwamini ni mmoja tu, Tundu Lisu. wengine hao ukiwaweka na kina mwabukusi na slaa wanazidiwa.
Nchi ina wajinga sana ,badala ya kuunganisha nguvu na chama ambacho kimejikita vyema kama chadema kuitoa ccm madarakani , mnashuri upumbavu, unafikili kuanzisha chama na kustawi ni kazi nyepesi, acha upumbavu, tusijidanganye ,tz tuna vyama vingapi na viko wapi?Asalam,
Mods, nipeni nafasi kidogo na mada zangu. Kwa kawaida zina utofauti sana na nyingine pamoja na changamoto ya uandishi, kueleweka na mapambano hapa jukwaani.
1. Changamoto ya uandishi inatokana ulemavu wa mkono wangu wa kushoto ambao ndio naandikia.
2. Mahala ninapishi network yake iko 2 (kuna shida sana ya mtandao)
3. Hapa jukwani wengi ni akili ndogo sana isipokuwa hawa Mama Amoni, Lord Dening, Mayala, Mzee Mohamed Said, Nyerere wa masuala ya HUMINT, Chawa Mwashamba, etc.
Yangu ya leo
1. Dr. Slaa na Mwambukusi wamefanya kosa sana kumwingiza huyu nduguyetu wa upinde kwenye eneo lao. Wameisha na watapotea. Nimeona sasa kwa wiki hizi mbili wako nae. Tunamfahamu na hafai. Najua inawezekana wanajaribu kutafuta jukwaa. Lkn tunahitaji mbadala wa CHADEMA NA NCCR kwenye opposition. CHADEMA HAVE NOTHING TO OFFER Katika hii miaka 40 sasa ya umri wao toka waanzishe informally and formally (MZEE mtei alianzisha upinzania akiwa BOT pamoja na Mzee Bomani. Haikuwa Coincidence, ni kazi ya CIA) Hivyo hawa sio sehemu sahihi. NCCR ilianzishwa kwa msaada mkubwa wa wanaharakati wa LGBT wa USA. Unganisha dots.
2. Tatizo la Tanzania sio CCM, ni Akili na historia zetu watanzania. Akili zetu zinashida kutokana na elimu yetu, historia yetu inachangamoto kwakuwa matukio ya kumwaga damu yamefichwa na tawala za kwanza. Iko shida hapa.
3. CCM kwa sasa haijui inachofanya, inachotakiwa kufanya na hata ideology gani wanasimamia.
4. Hatuna mechanisms za kuwajisha waovu wa umma. Kunyonga, kufukuza, etc. Kwa ujumla tuko kwenye Non Governance State. Hali ya kukosa uongozi na utawala. Umeme, maji, dawa hospitali, mafuta etc vinaweza kuisha muda wowote na no one cares. Tumebaki kukaaa kimya kama dead bodies pale mochwali.
5. CHADEMA, NCCR, CUF etc vinaongozwa na watu waliochoka na wanawaza gratification ya muda mfupi. We know it suala la ukosefu wa maadili ya hawa watu hata kwenye mikutano yao huko mikoani. Ni ngono, na vibes, wakistarehe kwenye shida za watanzania. Kwa ujumla hawana agenda.
6. 2025 hivi vyama vinajua CCM itaiba na itashinda lakn hilo sio tatizo kwao. Hawakuanzisha vyama hivi ili kutoa ccm madaraka. Invekuwa hivyo wangeshafanya. 2015 CHADEMA iligumika technically kuipa ushindi CCM. The best ilikuwa El na Kundi lake kuanzisha CCM B. Shida ikawa Sheria zetu ni Ngumu kwa ule muda mfupi. Sheria zetu tofati na Kenya. Kenye vyama vinaweza kuungana in a very short time.
Sasa tufanyaje
Dr. Slaa na Mwambukusi anzisheni CHAMA KINGINE
CDM amebaki na sera ya kumtukana marehemu JPM kwa kweli hawana mbinu za kuitoa CCM, wanashambulia mtu badala ya mfumo na sera za CCM wanapoteza muda wa watu.Ni kweli tunahitaji chama mbadala, Chadema wanacheza ngoma ya CCM. Walianza kumsaidia mama na kumpindua Magufuli wakati wakijua fika walikuwa wanapambana na CCM na wore hao ni CCM. Leo ndio wanashituka na kusema maridhiano hayatekelezwi.
Wakianzisha chama ni wazi msajili hatakipa usajili mfano ni umoja party lakini Kuna vyama ambavyo vilishasajiliwa Ila vipovipo Kama DP party, TLP, NRA na vinginevyo wanaweza kaufanya mazungumzo navyo wakawa sehemu ya hivyo vyama. Watanzania huwa hawafatilii Sera za vyama Ila wanafatilia watu hapo wataweza kutoa changamoto kubwa kwa CCM.
Sawa,Nchi ina wajinga sana ,badala ya kuunganisha nguvu na chama ambacho kimejikita vyema kama chadema kuitoa ccm madarakani , mnashuri upumbavu, unafikili kuanzisha chama na kustawi ni kazi nyepesi, acha upumbavu, tusijidanganye ,tz tuna vyama vingapi na viko wapi?
Mnakaa mnajidagaya kwamba anzisha chama na kukubalika ni kazi nyepesi ,hata iyo ACT bila CUF , hakuna kitu pale , sasa hata wakianzisha leo kwamba watachukua nchi kesho au kesho kutwa zwazwa sana wewe
Wote hao wanaonyesha ni wachumia Tumbo tu.Je Lipumba kuhusu CUF,je Cheyo Kuhusu DP na Mrema amekufa akiwa ndiye Mwenyekiti wa TLP mbona hujahoji kuhusu hao watu ila unamkazania Mbowe kisa tu ana chama imara kinachokunyima usingizi.
Kama wewe tu ulivyo mchumia tumbo.Wote hao wanaonyesha ni wachumia Tumbo tu.