Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
Doctors au aliyewahi ku experience hii kitu msaada wa ushauri kabeba ujauzito mtoto aliyepo ana umri wa miezi 11 je tumbo litaweza kuhimili ujauzito mwingine? Binafsi nikashauri labda zile njia nyingine LAKINI KAGOMA KABISA NAMI NIKIJIULIZA KUHUSU MSHONO ALIOFANYIWA OPERATION NAONA BADO MIEZI 11 TOKA KUJIFUNGUA NI MICHACHE SANA naomba ushauri kwake kwa afya ya mtoto huyu mwenye miezi 11 hana shida labda je aendelee kunyonya au ni kumwachisha kadai anakula vizuri tu