True Lover
Member
- Aug 8, 2016
- 32
- 47
- Thread starter
-
- #61
thanksNi kweli inaonyesha tatizo ni hio mounting,ila tatizo linakuja jingine hapo itakubidi ubadilishe mounting zote kwa kuwa utakayoweka itakuwa na attetion sana tofauti na zitakazobaki, inshort badilisha zote.
SanaaaaGhali sana ama?
Ahsante mkuu, ntafanyia hili kazi as conclusion,then i well come back for feedbackkwa uzoefu wangu kwa magari ya kisasa hakuna hiyo njia na hata ikiwepo itakuwa ni mwanzo wa kuuwa engine
hiyo michezo ilikuwaga kwenye magari ya kizamani enzi zile engine zenye caburator lakini sio kwa hizi engine za kisasa zilizojaa sensor kwenye kila eneo
lakin mkuu siumesema gari yako ni Kili time kama ni engine mpya weka hiyo 1ZZ-FE vvti ni 1.8 ulaji wake ni economical kabisa mkuu
Ulaji wa 1ZZ yenye cc 1790 umetofautiana kidogo sana na injini yenye cc 1490 believe me kwani nishatumia toyota wish iliyofungwa 1ZZ na toyota carina ti 5A yenye cc 1490 nikaona ulaji haujatofautiana saana ingawa wish ina cc kubwa kuliko tiThanks mkuu kwa ushauri. kwa kuuliza tu, hivi hamnaga hyo ya 1ZZ yenye cc 1490? maana nikiamua kuingia gharama ya kununua ENGINE natamani kusave mafuta to the maximum. karibuni
Thanks for ushauri mkuu,Ulaji wa 1ZZ yenye cc 1790 umetofautiana kidogo sana na injini yenye cc 1490 believe me kwani nishatumia toyota wish iliyofungwa 1ZZ na toyota carina ti 5A yenye cc 1490 nikaona ulaji haujatofautiana saana ingawa wish ina cc kubwa kuliko ti
True lover injini ya gari yako inatumia mafuta ya petroli..na itakunywa hiyo petroli tu na wala sio supu.Nashukuru kwa marekebisho,nlimaanisha Engine. sababu kubwa ni kutaka minimum consuption as posible, ikifika cc1,790 naona kama nimerudi kulekule maana ya sasa ni cc 1998. Unadhani kuna gap wapi nikiweka hii ndogo?
True Lover, injini ya gari hutetemeka endapo engine mounting zimeisha au inatatizo kwenye mfumo wa mafuta ambao unajulikana zaidi kama "miss".Wakuu wasalaam!
Ninaombeni ushauri, nina gari Rav4 kill time, engen yake naambiwa ni ile kubwa inanisumbua kwa kutetemeka na kunguruma sana. pia inanishinda kwa inavyokula petroli kulingana na pato langu, Hapa nawaza ninunue engen mpya vvti ya cc 1290 ile ya ist, je itafaa (itaingiliana)? na inaweza patikana kwa bei gani at minimum? Ninaomnbeni msaada na ushauri wa ziada wataalamu wangu.
Gari gani hii? Hii mbona ngumu kumesa!! Lita 4 siku 4......!! 😱VVTI cc 1790 naipenda hii injini mafuta ya elfu 10 siku nne home to work
unajua madhara ya kufunga engine ya 1NZ kwenye Rav 4?
nikufungue tu macho
Drivetain ya gari yako ni AWD while hiyo 1NZ inatumika kwenye gari za FWD
pili mjapani hakuwa mjinga kuweka engine ya 1.8 ltr to 2.0 ltr kwenye rav 4 alafu ww ufanye swap ya 1.3 ltr engine ni sawa mbilikimo ambebe hasheem thabit
na hata ukifanikiwa itakuwa kwa gharama kubwa sana na utapoteza 4×4 kitu ambacho kwenye rav 4 hata mlima wa changarawe utakuwa unapanda kwa kuslip
turudi kwenye hilo tatizo embu kacheki engine mountin za ndan na nje nina uhakika zitakuwa zimeisha au nenda kwa fundi kwa ushauri zaidi
ila sikushauri eti ufunge 1NZ kwenye rav 4 kama kutakuwa na ulazima wa kufunga engine mpya hizi ni engine za rav 4
for old model
2.0 L 3S-FE I4 (gasoline)
2.0 L 3S-GE I4 (gasolin
for kili time
1.8 L 1ZZ-FE I4 ( gasoline )
2.0 L 1AZ-FE I4 ( gasoline )
2.0 L 1CD-FTV I4 ( diesel)
ukipata hii diesel itakuwa magoli sana sema ni hadimu sana kupatikana
kwanza nakupa big up kwa ufafanuzi mzuri, sasa tuweke 'girisi' kidogo..
Engine ya 1.8 L 1ZZ-FE I4 ( gasoline ) ikifungwa kwenye Rav 4 old shape kuna faida na madhara gani?
Nunua brevis ingini ndogo mkuu
kama ikiweza kufit kwenye engine bay hakuna hasara zaidi ya faida...
1.8 L 1ZZ-FE I4 (gasoline) ni engine nzuri sana na kama ukiiweka kwa rav 4 old model lazima utanotice some changes kwenye fuel consumption... hii engine ipo econocomical sana
kuna bwana mmoja namjua kafunga japo sijaulizia mafundi wa wapi alitumia kufanya kazi hiyo. Natumaini hamna modifications nyingi.
brevis ingini yake ndogo ni 2.5L 1JZ-GE I6 na 2.5L 1JZ-FSE I6 ambayo nayo ni majanga tu kwenye suala la bajeti
engine zake kubwa ni
3.0L 2JZ-GE I6
na
3.0L 2JZ-FSE
Shukrani kwa maelezo kakakama ikiweza kufit kwenye engine bay hakuna hasara zaidi ya faida...
1.8 L 1ZZ-FE I4 (gasoline) ni engine nzuri sana na kama ukiiweka kwa rav 4 old model lazima utanotice some changes kwenye fuel consumption... hii engine ipo econocomical sana
Bonge la ushauri...vitz wheelbase yake ni fupi hivyo kwenye rough road hakagusi chini kirahisiHiyo pesa ya kununua engine ongezea kidogo ununue Vitz ya m3.5 ili Rav 4 uwe unatumia mara moja moja kwenye mitoko. Sasa hivi vyuma vimebana mkuu. Usione soni kukaa kwenye Vitz.
Hiyo Rav 4, ipeleke ikapimwe na computer ili wabaini ubovu.
Eti for not less than 10M????!!! Unachekesha.SHIDA NYIGINI INAKUWA KWA USAWA HUU GARI HAZINUNULIKI KWA HARAKA, MAANA NIPO TYARI KUIUZA BUT FOR NOT LESS THAN 10M