USHAURI: Ewe Mhudumu wa Baa, wekeza mapema kabla ya umri kukutupa mkono

USHAURI: Ewe Mhudumu wa Baa, wekeza mapema kabla ya umri kukutupa mkono

Kuna mmoja age kama 19 au 20 hivi nilimwomba uchi, baada ya makubaliano nikamwuliza tunapiga show kavu au ndom? Akasema uamuzi wako tu.
Yaani anajiamini haogopi kabisa ngoma.
Chunguza wengi kama ana watoto wa5 kila mmoja na babake tena wa kubambikiwa.
 
Sio madada poa rfk
Ni wadada wote wa Kila aina

Nina marafiki wanahangaika kujichanga wanunue hiyo
Wamepata kazi ya utendaji tu ila wanahangaika kuipata hiyo cm
Waambie hizo simu huko wilayani wenye nazo wanajulikana yani wanahesabika sio km hapa mjini tunaziona hadi mwendokasi wanagombania
 
Mi rfk angu nakwambia Yuko Kijijini ni mtendaji
Amewakuta wenzie wan macho 3 🤣

Kwa wanancho Wala sio issue ht hawaelewi

Labda Kwa watumishi km hivyo ndo wanaelewa mambo ya cm nzuri.

Dadeki na hivi Kuna za 250000 zimetoka mbona balaaa🤣🤣🤣
IPhone bado ni ishu kwa vijijini hasa ikiwa hayo macho 3 watoto wanachanganyikiwa vibaya wanaliwa sana na wenye iphone
 
Mi rfk angu nakwambia Yuko Kijijini ni mtendaji
Amewakuta wenzie wan macho 3 🤣

Kwa wanancho Wala sio issue ht hawaelewi

Labda Kwa watumishi km hivyo ndo wanaelewa mambo ya cm nzuri.

Dadeki na hivi Kuna za 250000 zimetoka mbona balaaa🤣🤣🤣
Hadi iPhone 7 bado zinatamba ni dar peke yake ndo watu hawazuzuki na simu kihivyo labda iwe ya kitofauti km flip, fold
 
Mkuu wanapata hela sana sema wanapenda anasa, kukaa kwenye nyumba nzuri, simu kali, kubadili nguo, kujipodoa, imeisha, wakati wakiweka akiba hata miaka 10 wanweza kujenga na kufungua baa zao na kuwa wamiliki
Tatizo la matumizi mabovu ya hela ni la karibu waafrika wote sio bar maids tu.
 
Back
Top Bottom