USHAURI: Ewe Mhudumu wa Baa, wekeza mapema kabla ya umri kukutupa mkono

USHAURI: Ewe Mhudumu wa Baa, wekeza mapema kabla ya umri kukutupa mkono

Pesa unayoipata kwa njia haramu huwa haizai matunda mazuri na mwisho wake huwa ni umauti wa kiroho kisha wa kimwili.

Kazi ya kuhudumia watu Bar huwa ni haramu ndio maana anaefanya hiyo kazi hata akisomesha watoto awabadilishie maisha watoto huwa na tabia za ajabu na hawataweza kuwa na ndoa imara na mwisho wake na wao hauishia kwenye shimo la umalaya, magonjwa ya zinaa, na kutokukubalika kwenye jamii.

Imagine ukutane na binti mzuri ila unakuja kujua mama yake ni Barmaid mstaafu, utaweza endelea nae hata kama ni binti mstaarabu na wewe unatokea familia decent ambayo ina reputation nzuri uraiani na kwenye jamii? [emoji848]

Nadhani its better kuiepuka hii kazi kwa gharama zote na kwa mbinu zote. Maana mwisho wake huwa si mzuri na huwa inaleta mikosi mingi sana.
 
Pesa unayoipata kwa njia haramu huwa haizai matunda mazuri na mwisho wake huwa ni umauti wa kiroho kisha wa kimwili.

Kazi ya kuhudumia watu Bar huwa ni haramu ndio maana anaefanya hiyo kazi hata akisomesha watoto awabadilishie maisha watoto huwa na tabia za ajabu na hawataweza kuwa na ndoa imara na mwisho wake na wao hauishia kwenye shimo la umalaya, magonjwa ya zinaa, na kutokukubalika kwenye jamii.

Imagine ukutane na binti mzuri ila unakuja kujua mama yake ni Barmaid mstaafu, utaweza endelea nae hata kama ni binti mstaarabu na wewe unatokea familia decent ambayo ina reputation nzuri uraiani na kwenye jamii? [emoji848]

Nadhani its better kuiepuka hii kazi kwa gharama zote na kwa mbinu zote. Maana mwisho wake huwa si mzuri na huwa inaleta mikosi mingi sana.
Huu ni uongo.
 
Umenena......Kuna "kisebule" changu huwa napoa karibu na home baada ya mishe mishe zangu basi bwana mwaka jana mwanzoni wakatuletea kitoto kidogo kutoka huko mbulu, mtoto kanyooka balaaa, kifua kinaita chuchu saa sita, huko nyuma kafungasha hatariii, mtoto nyama nyingiiiii, basi bwana habari zikawafikia wakware, wakawa hawakauki "sebuleni" kwetu mtoto demand ikawa kubwa offer za beer za kutosha binti akatoka kunywa Serengeti lite akaamia kwenye windhoek, Savannah kama huna offer yake ya Savannah tatu, nne basi usijiangaishe, watu wakawa wanapanda dau, akataka macho matatu wakware wakanunua.

Mtoto akazidi kupendeza , sifa na uzuri wake zikavuma mpaka anga za mbali, wadau na wakware maarufu wakahamia sebuleni kwetu na kuweka kambi mpya, sebule yetu ikaanza kuonekana ndogo, hata sisi wenyeji ikabidi tuanze kunywa kwenye seat za gari, pesa ikamwaga mtoto akaanza kumwaga utamu Kama hana akili nzuri, mji ukamchanganya, pesa zikamlevya.

Well to make a story short now ni mwaka mmoja umepita, mtoto wa watu kachuja vibaya Sana, wakware wamemchakaza vibaya Sana, kakosa nuru, nadhani ana udongo mbaya huyu binti maana imekuwa haraka mno, masikini hata kile kifua kizuri Cha mvuto hakipo tena, kachoka masikini, kachunda, habari za hapa sebuleni Ni kuwa binti kaukwaa, wengine wanasema ametoa mimba vibaya, maneno ya binadamu ni mengi hata wale wakware wamemkimbia na kuamia bar nyingine wenyeji tumebaki sebuleni kwetu kwakuwa ndio nyumbani, Sasa hata tunakaa kwa amani, ooh nimesahau mrembo wetu amerudi kwenye Serengeti lite now zile Savannah hakuna tena.
Duh! Aisee 🤔
 
Wengi wao pia ni positive, ukidanganyika na vile visuruali vyeusi kubana makalio watch out
Kuna mmoja age kama 19 au 20 hivi nilimwomba uchi, baada ya makubaliano nikamwuliza tunapiga show kavu au ndom? Akasema uamuzi wako tu.
Yaani anajiamini haogopi kabisa ngoma.
 
Sio madada poa rfk
Ni wadada wote wa Kila aina

Nina marafiki wanahangaika kujichanga wanunue hiyo
Wamepata kazi ya utendaji tu ila wanahangaika kuipata hiyo cm
Ndio huko kuiga cha ajabu wengine hata kwenye matumizi ni shida.

Brand inawazuzua sana wengi. Wengi wanafanya mambo ya ajabu ili tu waweze kumiliki tunda.
 
Umenena......Kuna "kisebule" changu huwa napoa karibu na home baada ya mishe mishe zangu basi bwana mwaka jana mwanzoni wakatuletea kitoto kidogo kutoka huko mbulu, mtoto kanyooka balaaa, kifua kinaita chuchu saa sita, huko nyuma kafungasha hatariii, mtoto nyama nyingiiiii, basi bwana habari zikawafikia wakware, wakawa hawakauki "sebuleni" kwetu mtoto demand ikawa kubwa offer za beer za kutosha binti akatoka kunywa Serengeti lite akaamia kwenye windhoek, Savannah kama huna offer yake ya Savannah tatu, nne basi usijiangaishe, watu wakawa wanapanda dau, akataka macho matatu wakware wakanunua.

Mtoto akazidi kupendeza , sifa na uzuri wake zikavuma mpaka anga za mbali, wadau na wakware maarufu wakahamia sebuleni kwetu na kuweka kambi mpya, sebule yetu ikaanza kuonekana ndogo, hata sisi wenyeji ikabidi tuanze kunywa kwenye seat za gari, pesa ikamwaga mtoto akaanza kumwaga utamu Kama hana akili nzuri, mji ukamchanganya, pesa zikamlevya.

Well to make a story short now ni mwaka mmoja umepita, mtoto wa watu kachuja vibaya Sana, wakware wamemchakaza vibaya Sana, kakosa nuru, nadhani ana udongo mbaya huyu binti maana imekuwa haraka mno, masikini hata kile kifua kizuri Cha mvuto hakipo tena, kachoka masikini, kachunda, habari za hapa sebuleni Ni kuwa binti kaukwaa, wengine wanasema ametoa mimba vibaya, maneno ya binadamu ni mengi hata wale wakware wamemkimbia na kuamia bar nyingine wenyeji tumebaki sebuleni kwetu kwakuwa ndio nyumbani, Sasa hata tunakaa kwa amani, ooh nimesahau mrembo wetu amerudi kwenye Serengeti lite now zile Savannah hakuna tena.
Samahani mkuu, wewe ni dizasta vina...maana ndio usimuliaji wake huu.
 
Imagine ukutane na binti mzuri ila unakuja kujua mama yake ni Barmaid mstaafu, utaweza endelea nae hata kama ni binti mstaarabu na wewe unatokea familia decent ambayo ina reputation nzuri uraiani na kwenye jamii?
emoji848.png
Usimuhukumu mtu kutokana na makosa ya wazazi wake au background chafu ya mzazi haipaswi kumuhukumu mtoto. Huenda alifanya hiyo kazi kwa kukosa options lakini akajiwekeza na kutoboa.

Kuwa barmaid mstaafu lakini ushabadilika sio dhambi, hata kahaba anaweza kusamehewa ikiwa atatubu
 
Back
Top Bottom