Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Huo ndo ukweli ni bora ubalance starehe na kujiwekeza kuliko kuponda starehe.Maisha kupanga ni kuchagua, wekeza starehe na mambo ya luxury ufe masikini au komaa ujanani uzeeni umalize vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndo ukweli ni bora ubalance starehe na kujiwekeza kuliko kuponda starehe.Maisha kupanga ni kuchagua, wekeza starehe na mambo ya luxury ufe masikini au komaa ujanani uzeeni umalize vizuri
Kwanini wasipande usafiri wa umma au waishi karibu na kaziUshauri huo ni wa muhimu kwao kufuata. Ni hali ya maisha inawafanya kuishi hivyo lakini wajiongeze, ni wachache sana wanaowekeza. Wengi hela zinaishia kwa boda.
Kwanini wasipande usafiri wa umma?Mshahara laki moja kwa mwezi, elf 60 inaishia kwa bodaboda iliyobaki kodi ya nyumba, kula nk
Atawekeza kweli hapo. Na kuna bar zingine hawalipi mshahara kabisa, wanatoa sehemu ya kulala na chakula cha mchana tu
Usafiri wa umma saa 8 usiku? Muda. Wanaotoka kazini sio rafiki.K
Kwanini wasipande usafiri wa umma au waishi karibu na kazi
Watu hawapekui hata vitabu vya MUNGU vinasemaje kuhusu haya mambo ya hovyo wao wanadhani mambo yanajiendea tu yenyewe bila upepo.Utawekeza kwa kazi ya kufanya uzinzi hayo maarifa yatatoka wapi
[emoji23][emoji23][emoji23] eti vibibi vya kijapan.jamaa umeongea ukweli asilimia mia wambulu wa ajabu sana ,
Wanakua wazuri wakiwa vijana na kabla hawajazaa baada ya hapo wanakuwa kama vibibi vya kijapani
Anatoka kazini saa sita usikuKwanini wasipande usafiri wa umma?
Mwizi/fisadi mwenyewe anawekezaUtawekeza kwa kazi ya kufanya uzinzi hayo maarifa yatatoka wapi
Huu ni uongo.Pesa unayoipata kwa njia haramu huwa haizai matunda mazuri na mwisho wake huwa ni umauti wa kiroho kisha wa kimwili.
Kazi ya kuhudumia watu Bar huwa ni haramu ndio maana anaefanya hiyo kazi hata akisomesha watoto awabadilishie maisha watoto huwa na tabia za ajabu na hawataweza kuwa na ndoa imara na mwisho wake na wao hauishia kwenye shimo la umalaya, magonjwa ya zinaa, na kutokukubalika kwenye jamii.
Imagine ukutane na binti mzuri ila unakuja kujua mama yake ni Barmaid mstaafu, utaweza endelea nae hata kama ni binti mstaarabu na wewe unatokea familia decent ambayo ina reputation nzuri uraiani na kwenye jamii? [emoji848]
Nadhani its better kuiepuka hii kazi kwa gharama zote na kwa mbinu zote. Maana mwisho wake huwa si mzuri na huwa inaleta mikosi mingi sana.
Sio madada poa rfkSio wadada tu malizia walio wengi ni madada poa.
Sababu kubwa ni show off, ke wengi mnapenda sana kuonekana na kuiga.
SI ndo hapoWatu wanafanya kazi miaka 40 anastaafu hana kitu iwe muuza BAA ambao wengi hawana hata salary mbali ya keep change na kuibia waliolewa
Duh! Aisee 🤔Umenena......Kuna "kisebule" changu huwa napoa karibu na home baada ya mishe mishe zangu basi bwana mwaka jana mwanzoni wakatuletea kitoto kidogo kutoka huko mbulu, mtoto kanyooka balaaa, kifua kinaita chuchu saa sita, huko nyuma kafungasha hatariii, mtoto nyama nyingiiiii, basi bwana habari zikawafikia wakware, wakawa hawakauki "sebuleni" kwetu mtoto demand ikawa kubwa offer za beer za kutosha binti akatoka kunywa Serengeti lite akaamia kwenye windhoek, Savannah kama huna offer yake ya Savannah tatu, nne basi usijiangaishe, watu wakawa wanapanda dau, akataka macho matatu wakware wakanunua.
Mtoto akazidi kupendeza , sifa na uzuri wake zikavuma mpaka anga za mbali, wadau na wakware maarufu wakahamia sebuleni kwetu na kuweka kambi mpya, sebule yetu ikaanza kuonekana ndogo, hata sisi wenyeji ikabidi tuanze kunywa kwenye seat za gari, pesa ikamwaga mtoto akaanza kumwaga utamu Kama hana akili nzuri, mji ukamchanganya, pesa zikamlevya.
Well to make a story short now ni mwaka mmoja umepita, mtoto wa watu kachuja vibaya Sana, wakware wamemchakaza vibaya Sana, kakosa nuru, nadhani ana udongo mbaya huyu binti maana imekuwa haraka mno, masikini hata kile kifua kizuri Cha mvuto hakipo tena, kachoka masikini, kachunda, habari za hapa sebuleni Ni kuwa binti kaukwaa, wengine wanasema ametoa mimba vibaya, maneno ya binadamu ni mengi hata wale wakware wamemkimbia na kuamia bar nyingine wenyeji tumebaki sebuleni kwetu kwakuwa ndio nyumbani, Sasa hata tunakaa kwa amani, ooh nimesahau mrembo wetu amerudi kwenye Serengeti lite now zile Savannah hakuna tena.
Kuna mmoja age kama 19 au 20 hivi nilimwomba uchi, baada ya makubaliano nikamwuliza tunapiga show kavu au ndom? Akasema uamuzi wako tu.Wengi wao pia ni positive, ukidanganyika na vile visuruali vyeusi kubana makalio watch out
Ndio huko kuiga cha ajabu wengine hata kwenye matumizi ni shida.Sio madada poa rfk
Ni wadada wote wa Kila aina
Nina marafiki wanahangaika kujichanga wanunue hiyo
Wamepata kazi ya utendaji tu ila wanahangaika kuipata hiyo cm
Samahani mkuu, wewe ni dizasta vina...maana ndio usimuliaji wake huu.Umenena......Kuna "kisebule" changu huwa napoa karibu na home baada ya mishe mishe zangu basi bwana mwaka jana mwanzoni wakatuletea kitoto kidogo kutoka huko mbulu, mtoto kanyooka balaaa, kifua kinaita chuchu saa sita, huko nyuma kafungasha hatariii, mtoto nyama nyingiiiii, basi bwana habari zikawafikia wakware, wakawa hawakauki "sebuleni" kwetu mtoto demand ikawa kubwa offer za beer za kutosha binti akatoka kunywa Serengeti lite akaamia kwenye windhoek, Savannah kama huna offer yake ya Savannah tatu, nne basi usijiangaishe, watu wakawa wanapanda dau, akataka macho matatu wakware wakanunua.
Mtoto akazidi kupendeza , sifa na uzuri wake zikavuma mpaka anga za mbali, wadau na wakware maarufu wakahamia sebuleni kwetu na kuweka kambi mpya, sebule yetu ikaanza kuonekana ndogo, hata sisi wenyeji ikabidi tuanze kunywa kwenye seat za gari, pesa ikamwaga mtoto akaanza kumwaga utamu Kama hana akili nzuri, mji ukamchanganya, pesa zikamlevya.
Well to make a story short now ni mwaka mmoja umepita, mtoto wa watu kachuja vibaya Sana, wakware wamemchakaza vibaya Sana, kakosa nuru, nadhani ana udongo mbaya huyu binti maana imekuwa haraka mno, masikini hata kile kifua kizuri Cha mvuto hakipo tena, kachoka masikini, kachunda, habari za hapa sebuleni Ni kuwa binti kaukwaa, wengine wanasema ametoa mimba vibaya, maneno ya binadamu ni mengi hata wale wakware wamemkimbia na kuamia bar nyingine wenyeji tumebaki sebuleni kwetu kwakuwa ndio nyumbani, Sasa hata tunakaa kwa amani, ooh nimesahau mrembo wetu amerudi kwenye Serengeti lite now zile Savannah hakuna tena.
acha niendelee na android😂😂 hayo yana wenyeweNdio huko kuiga cha ajabu wengine hata kwenye matumizi ni shida.
Brand inawazuzua sana wengi. Wengi wanafanya mambo ya ajabu ili tu waweze kumiliki tunda.
Usimuhukumu mtu kutokana na makosa ya wazazi wake au background chafu ya mzazi haipaswi kumuhukumu mtoto. Huenda alifanya hiyo kazi kwa kukosa options lakini akajiwekeza na kutoboa.Imagine ukutane na binti mzuri ila unakuja kujua mama yake ni Barmaid mstaafu, utaweza endelea nae hata kama ni binti mstaarabu na wewe unatokea familia decent ambayo ina reputation nzuri uraiani na kwenye jamii?![]()