T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Wewe fuatilia utakuja kunambiaKumbe ndio asili yao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe fuatilia utakuja kunambiaKumbe ndio asili yao?
Kumbe unawajua! Ndio maana kuna siku nikaenda kuna mhudumu nimemkuta pale nikamwambia aniletee bia akasema yupo off haendi countel labda amwagize mwenzake. Nikamwuliza unaingia saa ngapi akasema leo siingii kabisa.Hii mbinu inawapa sana hela wote, meneja anaweza kuondoka naa 50k ya mikataba ya wahudumu na wahudumu wakaondoka na maokoto ya kutosha kulingana walivyo. Chunguza baa nyingi wahudumu wakiwa off(siku ya kupumzika) bado atakuja hapo bila kuwa na sare ya kazi. Kumbe anatega mingo.
Afu mademu wa uko singida si wakuoa aisee.Wewe fuatilia utakuja kunambia
Mkuu unaumia ukona watu walikua na maisha flan classic afu leo wamechoka. Miaka ya 2012 niliwahi kumpa mmoja ofa atafute biashara anayotaka aniambie nimpe msingi lakini yule ba maid asee aliona maisha ya baa matamu. Nilimpenda sababu alikua mtamu nikajipigia nikaacha kwa sasa anatia huruma. Nikichunguza ni wengi sana wanafanya vibiashara vya ajabu baada ya kuchuja kwenye soko.Huu ni upendo.
Umeshauri vyema
hii ni jamii ina kila aina ya watu. Ni wafu tu hawapo humu.Hakuna barmaid humu
HawakosekaniKumbe kuna mabar maid huku halafu hakumsema.
Wakichomeka na macho matatu kwenye mfuko wa kisaa ndio kabisa huwaambii kitu.Wakinywa flyfish wanaona kesho ipo tena. Kumbe wanazeeka
Komenti yangu isiguswe 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushauri huo ni wa muhimu kwao kufuata. Ni hali ya maisha inawafanya kuishi hivyo lakini wajiongeze, ni wachache sana wanaowekeza. Wengi hela zinaishia kwa boda.Ukimtongoza anadengua huyo! baada ya mienzi mitatu mwanaume ambaye alikuwa nae hayupo nae tena anaanza kufubaa tena. nawashuri wawekeze kama mtoa mada anavyoshauri
Oa at your own risk, hao wasingida ukioa umeolea umma! Ni community wives!Afu mademu wa uko singida si wakuoa aisee.
Wanaweza kupata zaidi ya 30k ni bila kugusa mshahara, kwa mwezi ni ngap?Mshahara laki moja kwa mwezi, elf 60 inaishia kwa bodaboda iliyobaki kodi ya nyumba, kula nk
Atawekeza kweli hapo. Na kuna bar zingine hawalipi mshahara kabisa, wanatoa sehemu ya kulala na chakula cha mchana tu
Baa nyingi mshahara kwa wahudumu inapatikana kwa njia hiyoHii mbinu inawapa sana hela wote, meneja anaweza kuondoka naa 50k ya mikataba ya wahudumu na wahudumu wakaondoka na maokoto ya kutosha kulingana walivyo. Chunguza baa nyingi wahudumu wakiwa off(siku ya kupumzika) bado atakuja hapo bila kuwa na sare ya kazi. Kumbe anatega mingo.