USHAURI: Ewe Mhudumu wa Baa, wekeza mapema kabla ya umri kukutupa mkono

USHAURI: Ewe Mhudumu wa Baa, wekeza mapema kabla ya umri kukutupa mkono

Umenena......Kuna "kisebule" changu huwa napoa karibu na home baada ya mishe mishe zangu basi bwana mwaka jana mwanzoni wakatuletea kitoto kidogo kutoka huko mbulu, mtoto kanyooka balaaa, kifua kinaita chuchu saa sita, huko nyuma kafungasha hatariii, mtoto nyama nyingiiiii, basi bwana habari zikawafikia wakware, wakawa hawakauki "sebuleni" kwetu mtoto demand ikawa kubwa offer za beer za kutosha binti akatoka kunywa Serengeti lite akaamia kwenye windhoek, Savannah kama huna offer yake ya Savannah tatu, nne basi usijiangaishe, watu wakawa wanapanda dau, akataka macho matatu wakware wakanunua.

Mtoto akazidi kupendeza , sifa na uzuri wake zikavuma mpaka anga za mbali, wadau na wakware maarufu wakahamia sebuleni kwetu na kuweka kambi mpya, sebule yetu ikaanza kuonekana ndogo, hata sisi wenyeji ikabidi tuanze kunywa kwenye seat za gari, pesa ikamwaga mtoto akaanza kumwaga utamu Kama hana akili nzuri, mji ukamchanganya, pesa zikamlevya.

Well to make a story short now ni mwaka mmoja umepita, mtoto wa watu kachuja vibaya Sana, wakware wamemchakaza vibaya Sana, kakosa nuru, nadhani ana udongo mbaya huyu binti maana imekuwa haraka mno, masikini hata kile kifua kizuri Cha mvuto hakipo tena, kachoka masikini, kachunda, habari za hapa sebuleni Ni kuwa binti kaukwaa, wengine wanasema ametoa mimba vibaya, maneno ya binadamu ni mengi hata wale wakware wamemkimbia na kuamia bar nyingine wenyeji tumebaki sebuleni kwetu kwakuwa ndio nyumbani, Sasa hata tunakaa kwa amani, ooh nimesahau mrembo wetu amerudi kwenye Serengeti lite now zile Savannah hakuna tena.
Wambulu pamoja na uzuri wao, wanachoka mapema sana. Jichanganye uoe Mbulu umzalishe alafu usimpe matunzo.
 
Age go wengi wanahudumu counter, huku nje wanaachiwa mabinti.
Na hata huko pia bado atakua anajiskia vibaya muda mwingi maana wakware hawatoacha kumchukua lakini hatokua anachukuliwa mara nyingi kama vitoto vibichi.

Mleta uzi huu ushauri wako ni mzuri na wadada wajanja wengi mjini wanafanya hivyo.
Akifika 35+ anahama kabisa mji, anaenda kuanzisha grocery yake huko na maisha mengine kabisa.

Ila vitoto vya buku 2 sijui kama vina mbinu hizo.
 
Umenena......Kuna "kisebule" changu huwa napoa karibu na home baada ya mishe mishe zangu basi bwana mwaka jana mwanzoni wakatuletea kitoto kidogo kutoka huko mbulu, mtoto kanyooka balaaa, kifua kinaita chuchu saa sita, huko nyuma kafungasha hatariii, mtoto nyama nyingiiiii, basi bwana habari zikawafikia wakware, wakawa hawakauki "sebuleni" kwetu mtoto demand ikawa kubwa offer za beer za kutosha binti akatoka kunywa Serengeti lite akaamia kwenye windhoek, Savannah kama huna offer yake ya Savannah tatu, nne basi usijiangaishe, watu wakawa wanapanda dau, akataka macho matatu wakware wakanunua.

Mtoto akazidi kupendeza , sifa na uzuri wake zikavuma mpaka anga za mbali, wadau na wakware maarufu wakahamia sebuleni kwetu na kuweka kambi mpya, sebule yetu ikaanza kuonekana ndogo, hata sisi wenyeji ikabidi tuanze kunywa kwenye seat za gari, pesa ikamwaga mtoto akaanza kumwaga utamu Kama hana akili nzuri, mji ukamchanganya, pesa zikamlevya.

Well to make a story short now ni mwaka mmoja umepita, mtoto wa watu kachuja vibaya Sana, wakware wamemchakaza vibaya Sana, kakosa nuru, nadhani ana udongo mbaya huyu binti maana imekuwa haraka mno, masikini hata kile kifua kizuri Cha mvuto hakipo tena, kachoka masikini, kachunda, habari za hapa sebuleni Ni kuwa binti kaukwaa, wengine wanasema ametoa mimba vibaya, maneno ya binadamu ni mengi hata wale wakware wamemkimbia na kuamia bar nyingine wenyeji tumebaki sebuleni kwetu kwakuwa ndio nyumbani, Sasa hata tunakaa kwa amani, ooh nimesahau mrembo wetu amerudi kwenye Serengeti lite now zile Savannah hakuna tena.
Nipe code mkuu ili nije nimfariji
 
Umenena......Kuna "kisebule" changu huwa napoa karibu na home baada ya mishe mishe zangu basi bwana mwaka jana mwanzoni wakatuletea kitoto kidogo kutoka huko mbulu, mtoto kanyooka balaaa, kifua kinaita chuchu saa sita, huko nyuma kafungasha hatariii, mtoto nyama nyingiiiii, basi bwana habari zikawafikia wakware, wakawa hawakauki "sebuleni" kwetu mtoto demand ikawa kubwa offer za beer za kutosha binti akatoka kunywa Serengeti lite akaamia kwenye windhoek, Savannah kama huna offer yake ya Savannah tatu, nne basi usijiangaishe, watu wakawa wanapanda dau, akataka macho matatu wakware wakanunua.

Mtoto akazidi kupendeza , sifa na uzuri wake zikavuma mpaka anga za mbali, wadau na wakware maarufu wakahamia sebuleni kwetu na kuweka kambi mpya, sebule yetu ikaanza kuonekana ndogo, hata sisi wenyeji ikabidi tuanze kunywa kwenye seat za gari, pesa ikamwaga mtoto akaanza kumwaga utamu Kama hana akili nzuri, mji ukamchanganya, pesa zikamlevya.

Well to make a story short now ni mwaka mmoja umepita, mtoto wa watu kachuja vibaya Sana, wakware wamemchakaza vibaya Sana, kakosa nuru, nadhani ana udongo mbaya huyu binti maana imekuwa haraka mno, masikini hata kile kifua kizuri Cha mvuto hakipo tena, kachoka masikini, kachunda, habari za hapa sebuleni Ni kuwa binti kaukwaa, wengine wanasema ametoa mimba vibaya, maneno ya binadamu ni mengi hata wale wakware wamemkimbia na kuamia bar nyingine wenyeji tumebaki sebuleni kwetu kwakuwa ndio nyumbani, Sasa hata tunakaa kwa amani, ooh nimesahau mrembo wetu amerudi kwenye Serengeti lite now zile Savannah hakuna tena.
Wewe hukuonja asali yake?..daah umeme tena?..sad.
 
Kuna bar nilienda, wakati pombe zimeshapanda nikavutiwa na mhudumu. Sikuwa na maneno mengi maana meza ilikuwa inajieleza na yeye akanipa namba.

Sasa ile nimepiga akapokea mwanaume, nikakata bila kuongea.
Nikamwita tena nikamwuliza umenipa namba sahihi kweli? akaangalia akasema ni sahihi.
nikasema sasa mbona anapokea mwanaume? akasema huyo ndio meneja wa bar. Kama unanitaka unampa yule 10,000 cash halafu tunaelewana bei na mimi tunaondoka na ukishamaliza haja mkataba umeisha.
Yaani hiyo 10,000 unakuwa kama umevunja mkataba wa mchezaji.

Ukitaka free agent subiri mpaka bar ifungwe saa 6 usiku ndio uondoke naye.

Yaani siku hizi malaya wanapiga pesa wamejishikiza bar na mameneja wamekuwa kama mameneja wa wachezaji wanakula pesa ya udalali kiulaini tu.
 
Kuna bar nilienda, wakati pombe zimeshapanda nikavutiwa na mhudumu. Sikuwa na maneno mengi maana meza ilikuwa inajieleza na yeye akanipa namba.

Sasa ile nimepiga akapokea mwanaume, nikakata bila kuongea.
Nikamwita tena nikamwuliza umenipa namba sahihi kweli? akaangalia akasema ni sahihi.
nikasema sasa mbona anapokea mwanaume? akasema huyo ndio meneja wa bar. Kama unanitaka unampa yule 10,000 cash halafu tunaelewana bei na mimi tunaondoka na ukishamaliza haja mkataba umeisha.
Yaani hiyo 10,000 unakuwa kama umevunja mkataba wa mchezaji.

Ukitaka free agent subiri mpaka bar ifungwe saa 6 usiku ndio uondoke naye.

Yaani siku hizi malaya wanapiga pesa wamejishikiza bar na mameneja wamekuwa kama mameneja wa wachezaji wanakula pesa ya udalali kiulaini tu.
Hii mbinu inawapa sana hela wote, meneja anaweza kuondoka naa 50k ya mikataba ya wahudumu na wahudumu wakaondoka na maokoto ya kutosha kulingana walivyo. Chunguza baa nyingi wahudumu wakiwa off(siku ya kupumzika) bado atakuja hapo bila kuwa na sare ya kazi. Kumbe anatega mingo.
 
Back
Top Bottom