Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante...Hongera
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijamaliza yote nimeishia 2017 shemeji J alikua ana 47 manake sahivi ana 53.....mmmh nakadorii!!!! Ni mafao unavizia au?
Nimeshangaa sana mwanaume wa miaka 47 kupendwa na mwanamke, nakadori naomba nijue umri wako kwanza kabla sijakushauri Evelyn Salt NakadoriUshauri wangu upo kwenye zile herufi kubwa....yani kama unampenda humu hata comments zikiwa laki za kusema achana nae hautamuacha.... kwahiyooo we fata vile moyo unataka
Halafu ukishaujua ukaombee mkopo au?Nimeshangaa sana mwanaume wa miaka 47 kupendwa na mwanamke, nakadori naomba nijue umri wako kwanza kabla sijakushauri Evelyn Salt Nakadori
Utaunganisha sana ila wala hata havihusianI hate that I love you: Dedication kwa Chibaba wangu
Hate That I Love You" Yeah, yeah Yeah, yeah That's how much I love you (Yeah) That's how much I need you (Yeah, yeah, yeah) And I can't stand you Must everything you do make me wanna smile Can I not like you for awhile? (No) But you won't let me You upset me, girl And then you kiss my lips All...www.jamiiforums.com
Hatimae nimeunganisha nukta!
Bunam wala sina mda wa kurudi mwaya...Nnachokiona,
Uyo jamaa sio kwamba anakupenda sn Wala nn
Apo anatafta kutamba Kwa rafk zake kua upindui
Wanaume weng Yuko hivo hasa ex wako akirudi kanona[emoji16]
Sina maana ya kukukejeli nimekuuliza kwa nia njema, kama ulimpenda j sababu ya hela, kwani j ndo mwanaume pekee aliyeweza kukupa hela kwenye circle ya wanaume ulio-date nao?Halafu ukishaujua ukaombee mkopo au?
Naweza mpenda hata babako kama anaweza kunihudumia na kunijali
Ndugu zangu wa jf, nimeshangaa mwanaume wa miaka 47 kupendwa na mwanamke kiasi hiki, hata kama j anahonga Pesa, obsession aliyonayo nakadori kwa huyo mwanaume ni kubwa sana kuliko kawaida Depal To yeye DeepPondNnachokiona,
Uyo jamaa sio kwamba anakupenda sn Wala nn
Apo anatafta kutamba Kwa rafk zake kua upindui
Wanaume weng Yuko hivo hasa ex wako akirudi kanona[emoji16]
Kwa mwanaume haiwezekani ila kwa wanawake tunaweza kuolewa hata na mzee wa miaka 70Sina maana ya kukukejeli nimekuuliza kwa nia njema, kama ulimpenda j sababu ya hela, kwani j ndo mwanaume pekee aliyeweza kukupa hela kwenye circle ya wanaume ulio-date nao?
Nimeshangaa coz mm & Other men hatuwezi fall kwa mwanamke mwenye miaka 47., Kiasi cha kuwa obsessed hadi kumfata mtu msibani, never Nakadori
Usichowah ona ni nini?