Ushauri: Familia ya Sativa ikatae Msaada wa Matibabu uliotolewa na Rais Samia, msaada huo ni kejeli

Ushauri: Familia ya Sativa ikatae Msaada wa Matibabu uliotolewa na Rais Samia, msaada huo ni kejeli

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ni kweli kwamba Watanzania kutokana na hali zao duni za kipato wanahitaji msaada wa hali na mali, lakini uduni huo usiwapelekee kudhalilishwa

Naishauri familia ya Sativa kukataa kabisa msaada wa matibabu ya kijana wao uliotolewa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Hii ni kwa sababu serikali anayoiongoza ndiyo inayotuhumiwa kutaka kumuua huyu kijana huku polisi wakihusika moja kwa moja (Hawajawahi kukanusha)

Hakuna kauli yoyote ya serikali kwenye jambo hili, hii maana yake ni kwamba SERIKALI NDIYE MHUSIKA MKUU WA JAMBO HILI la kinyama, na kiongozi wa serikali hiyo ni Samia Suluhu, Kupokea msaada wake itakuwa sawa na kumkufuru Mungu aliyemponya kijana huyo kuliwa na fisi kama watekaji wa serikali ya Samia walivyotaka

Nashauri wanaharakati waendelee kutengeneza mpango wa kuchangia matibabu kama walivyoanza tangu mwanzo.
 
Achen siasa kwenye matibabu ya menzenu Mkuu. Pamoja na yote serikali pia ikiamua kuwadindia sijui itakuaje. Kwasababu inaenda kwenye matibabu acheni atibiwe apone, huku mukiendelea kuishinikiza serikali iwatafute hao watekaji na kama ni wao wajisahihishe.

kwenye matatizo ni vyema kusahau tofauti zetu zote na kushirikiana wakati tukiendelea kumtafuta Mchawi
 
f7fc10aca6bf0d445603f46c2b711295053bc474.jpeg.jpg
 
Ujasiri wa kuandika haya unautoa wapi!

Siku zote ukweli ndiyo humpa ujasiri msemaji.

Ni uhayawani, ushetani na unyama wa hali ya juu. Watu wako waamue kitaka kumeua mtu, halafu baada ya Munhu kimnusuru, wewe badala ya kuwaadhibu waliohusika (kama wewe huhusiki na hukuwatuma), unasema eti itamtibu aliyenusurika.l!
 
Achen siasa kwenye matibabu ya menzenu Mkuu. Pamoja na yote serikali pia ikiamua kuwadindia sijui itakuaje. Kwasababu inaenda kwenye matibabu acheni atibiwe apone, huku mukiendelea kuishinikiza serikali iwatafute hao watekaji na kama ni wao wajisahihishe.

kwenye matatizo ni vyema kusahau tofauti zetu zote na kushirikiana wakati tukiendelea kumtafuta Mchawi
Waliohusika, siyo wajisahihishe, bali wakamatwe na wahukumiwe kunyongwa hadi kufa.
 
Ni kweli kwamba Watanzania kutokana na hali zao duni za kipato wanahitaji msaada wa hali na mali, lakini uduni huo usiwapelekee kudhalilishwa

Naishauri familia ya Sativa kukataa kabisa msaada wa matibabu ya kijana wao uliotolewa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Hii ni kwa sababu serikali anayoiongoza ndiyo inayotuhumiwa kutaka kumuua huyu kijana huku polisi wakihusika moja kwa moja (Hawajawahi kukanusha)

Hakuna kauli yoyote ya serikali kwenye jambo hili, hii maana yake ni kwamba SERIKALI NDIYE MHUSIKA MKUU WA JAMBO HILI la kinyama, na kiongozi wa serikali hiyo ni Samia Suluhu, Kupokea msaada wake itakuwa sawa na kumkufuru Mungu aliyemponya kijana huyo kuliwa na fisi kama watekaji wa serikali ya Samia walivyotaka

Nashauri wanaharakati waendelee kutengeneza mpango wa kuchangia matibabu kama walivyoanza tangu mwanzo.
Inategemea kama Wana pesa ,by the way Rais hatakiwi kuwa na moyo laini kiasi hiki hasa kwenye jambo ambalo wanashutumiwa.
 
Mpaka apone kabisa hapo Agakhan yani awe fit kabisa pamoja na follow ups si chini ya 60M.
X Michango na wadau wengine ipo kwenye 33M.
Busara naona ndugu wawe na subra......

Complications of the mendibular nerve fracture may require evacuation to some advanced hospital outside the country....

Again awe na subra... amepewa msalaba mgum sana.

Mungu amsaidie.
 
msaada wa nini wakati watekaji wapo ostabey polisi na kamanda wao wa dar es salaam muriro yumo
 
Ukatili aliofanyiwa Sativa umeitia doa serikali ya Samia , walimuacha msituni ili aliwe na wanyama wakali lakini Mungu alimuokoa .

Mungu amjalie wepesi katika kipindi kigumu .
 
CHADEMA mmeshamaliza kuchanga kwa ajili ya V8 la Lissu?
 
Ni kweli kwamba Watanzania kutokana na hali zao duni za kipato wanahitaji msaada wa hali na mali, lakini uduni huo usiwapelekee kudhalilishwa

Naishauri familia ya Sativa kukataa kabisa msaada wa matibabu ya kijana wao uliotolewa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Hii ni kwa sababu serikali anayoiongoza ndiyo inayotuhumiwa kutaka kumuua huyu kijana huku polisi wakihusika moja kwa moja (Hawajawahi kukanusha)

Hakuna kauli yoyote ya serikali kwenye jambo hili, hii maana yake ni kwamba SERIKALI NDIYE MHUSIKA MKUU WA JAMBO HILI la kinyama, na kiongozi wa serikali hiyo ni Samia Suluhu, Kupokea msaada wake itakuwa sawa na kumkufuru Mungu aliyemponya kijana huyo kuliwa na fisi kama watekaji wa serikali ya Samia walivyotaka

Nashauri wanaharakati waendelee kutengeneza mpango wa kuchangia matibabu kama walivyoanza tangu mwanzo.
Kwamba akifa Chadema itapata credit?
 
Ni kweli kwamba Watanzania kutokana na hali zao duni za kipato wanahitaji msaada wa hali na mali, lakini uduni huo usiwapelekee kudhalilishwa

Naishauri familia ya Sativa kukataa kabisa msaada wa matibabu ya kijana wao uliotolewa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Hii ni kwa sababu serikali anayoiongoza ndiyo inayotuhumiwa kutaka kumuua huyu kijana huku polisi wakihusika moja kwa moja (Hawajawahi kukanusha)

Hakuna kauli yoyote ya serikali kwenye jambo hili, hii maana yake ni kwamba SERIKALI NDIYE MHUSIKA MKUU WA JAMBO HILI la kinyama, na kiongozi wa serikali hiyo ni Samia Suluhu, Kupokea msaada wake itakuwa sawa na kumkufuru Mungu aliyemponya kijana huyo kuliwa na fisi kama watekaji wa serikali ya Samia walivyotaka

Nashauri wanaharakati waendelee kutengeneza mpango wa kuchangia matibabu kama walivyoanza tangu mwanzo.
Kama Lissu na wengine wengi wamekuwa wakipokea msaada wa matibabu kama huo, Sativa ni nani hadi akatae?? Punguza wivu mwache mtoto akatibiwe au unataka afe?
 
Back
Top Bottom