Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni kweli kwamba Watanzania kutokana na hali zao duni za kipato wanahitaji msaada wa hali na mali, lakini uduni huo usiwapelekee kudhalilishwa
Naishauri familia ya Sativa kukataa kabisa msaada wa matibabu ya kijana wao uliotolewa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Hii ni kwa sababu serikali anayoiongoza ndiyo inayotuhumiwa kutaka kumuua huyu kijana huku polisi wakihusika moja kwa moja (Hawajawahi kukanusha)
Hakuna kauli yoyote ya serikali kwenye jambo hili, hii maana yake ni kwamba SERIKALI NDIYE MHUSIKA MKUU WA JAMBO HILI la kinyama, na kiongozi wa serikali hiyo ni Samia Suluhu, Kupokea msaada wake itakuwa sawa na kumkufuru Mungu aliyemponya kijana huyo kuliwa na fisi kama watekaji wa serikali ya Samia walivyotaka
Nashauri wanaharakati waendelee kutengeneza mpango wa kuchangia matibabu kama walivyoanza tangu mwanzo.
Naishauri familia ya Sativa kukataa kabisa msaada wa matibabu ya kijana wao uliotolewa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Hii ni kwa sababu serikali anayoiongoza ndiyo inayotuhumiwa kutaka kumuua huyu kijana huku polisi wakihusika moja kwa moja (Hawajawahi kukanusha)
Hakuna kauli yoyote ya serikali kwenye jambo hili, hii maana yake ni kwamba SERIKALI NDIYE MHUSIKA MKUU WA JAMBO HILI la kinyama, na kiongozi wa serikali hiyo ni Samia Suluhu, Kupokea msaada wake itakuwa sawa na kumkufuru Mungu aliyemponya kijana huyo kuliwa na fisi kama watekaji wa serikali ya Samia walivyotaka
Nashauri wanaharakati waendelee kutengeneza mpango wa kuchangia matibabu kama walivyoanza tangu mwanzo.