Ushauri: Gari Toyota Spacio New Model kukosa nguvu pindi ninapokutana na mlima

Ushauri: Gari Toyota Spacio New Model kukosa nguvu pindi ninapokutana na mlima

msimamia kucha

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2013
Posts
683
Reaction score
551
Wakuu habari za Majukumu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, gari yangu hiyo aina ya Toyota Spacio hivi karibuni imekuwa ikikosa nguvu pindi inapoanza kupanda mlima hata kama ni kidogo pia inakuwa kama inamiss hivi sasa sijajua kama ni ishu ya Fuel Pump au maana hata nikijaribu piga ress kwenye accelerator ina kuwa na miss lakini ikiwa tambarare inachanganya..naombeni ushauri wakuu.
 
Ndugu zangu wa jukwaa Hili naomba Sana mzingatie vituo vya kuweka mafuta msiweke Tu mafuta ilimradi Tu yanauzwa...
Mafuta haya machafu kwenye vituo mbalimbali ni janga kubwa Sana na kilasiku vinafunguliwa vituo vya mafuta machafu.

Nenda baraka Kwa fundi acheki plug na fuel pump
 
Anzia marekebisho madogo na simple kwenda makubwa.

1. Fanya routine maintenance mfano Plugs na Oil.

2. Njoo ATF

3. Cheki coils.

Baada ya hapo ndio uanze kuangaika na ayo ma pump, sensors, etc.

NB: Hamna kitu kinaua magari yetu kama kuweka wese chafu na kuendesha empty tanks.
 
Ndugu zangu wa jukwaa Hili naomba Sana mzingatie vituo vya kuweka mafuta msiweke Tu mafuta ilimradi Tu yanauzwa...
Mafuta haya machafu kwenye vituo mbalimbali ni janga kubwa Sana na kilasiku vinafunguliwa vituo vya mafuta machafu.

Nenda baraka Kwa fundi acheki plug na fuel pump
Shukran Mkuu, nalifanyia kazi.
 
Anzia marekebisho madogo na simple kwenda makubwa.

1. Fanya routine maintenance mfano Plugs na Oil.

2. Njoo ATF

3. Cheki coils.

Baada ya hapo ndio uanze kuangaika na ayo ma pump, sensors, etc.

NB: Hamna kitu kinaua magari yetu kama kuweka wese chafu na kuendesha empty tanks.
Shukrani Mkuu, hii ishu ya mafuta machafu ni changamoto. Asante Mkuu.
 
Anzia marekebisho madogo na simple kwenda makubwa.

1. Fanya routine maintenance mfano Plugs na Oil.

2. Njoo ATF

3. Cheki coils.

Baada ya hapo ndio uanze kuangaika na ayo ma pump, sensors, etc.

NB: Hamna kitu kinaua magari yetu kama kuweka wese chafu na kuendesha empty tanks.
Mkuu nashukiru kwa ushauri, ishu ilikuwa plugs na Fuel Pump, nimebadili kila kitu kiko sawa. Shukran.
 
Back
Top Bottom