USHAURI: Halima Mdee na wenzake wafukuzwe CHADEMA

USHAURI: Halima Mdee na wenzake wafukuzwe CHADEMA

Mlimfukuza ZZK kwa kile mlichoita usaliti, leo hii mnamhitaji kila siku kwenye maridhiano.

Mliwakaribisha mamluki Kina Sumaye na Masha hadi jikoni, kuna nini wasichokijua?

Kama ni usaliti, nyie ndo mmetusaliti pakubwa wananchi tuliowahi kuwaamini.
Zitto si alipeleka kesi mahakamani ?

By the way tukio lile lilishaua political career ya Zitto kwa sasa ataishia kuwa busy body tu.
 
Mimi swali langu ni dogo tu sifa ya ubunge lazima upewe udhamini na chama,sasa hawa 19 wakifutwa unachama je bado watakuwa wabunge?maaana kuna wanachana CUF waliwaiiii fukuzwa uanachama wakakosa sifa ya kuwa wabunge je hawa19 wakifukuzwa uanachama bado watakua na sifa ya kuwa wabunge?
 
Nimeona Halima Mdee na kundi lake wakila kiapo kwa spika wa bunge kama wabunge wa viti maalumu CHADEMA, kama kweli wamerubuniwa na CCM na hatimaye kula kiapo bila kuwa na ridhaa ya chama wafukuzwe unachama Mara mmoja...
Hakuna mwenye ubavu wa kumfukuza Mbowe aliyrtajwa na Halima. Hakuna. Lro ndio utaijua chadema
 
Mlimfukuza ZZK kwa kile mlichoita usaliti, leo hii mnamhitaji kila siku kwenye maridhiano.

Mliwakaribisha mamluki Kina Sumaye na Masha hadi jikoni, kuna nini wasichokijua?

Kama ni usaliti, nyie ndo mmetusaliti pakubwa wananchi tuliowahi kuwaamini.
Duu
 
Back
Top Bottom